Nikitizama mlima Kitonga naona pale pia tunaweza pata chanzo cha mapato

Nikitizama mlima Kitonga naona pale pia tunaweza pata chanzo cha mapato

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
 
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanza kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Nadhani ushauri wako mzuri ila umekaa kipigaji. Ungeshauri wafanye project financing kwa kutumia private waje watu wenye technologia watoboe mlima, then deni lilipwe kwa kiingilio. Lakini ukisema wachaji sasa sijui ila hiyo hela italiwa na miundombinu ya ovyo
 
Una maanisha au unajoki unadhani gari zote zinapita bure barabarani, KILA gari unayoiona barabarani iwe mjini au porini inalipia kodi ya kutumia barabarani. Kitonga tunnel haiwezikani kijiografia sababu kuelekea Iringa ardhi ipo juu kurudi Morogoro ardhi ipo chini ndo maana zinapanda mlima.
 
Vyanzo bado tunavyo nchi hii,
twende na mifano,wale wanotokea kanda ya ziwa ikiwemo kigoma wanaweza kutuongezea mapato.Cha kufanya iwekwe beria pale igunga au karibu na sekenke kwa maana kwa vyovyote vile lazima gari zipite pale.Kwahiyo ukifika pale kuwepo na kifaa maalmu cha kubaini waliokula samaki au migebuka.Kama ulikulwa basi unatozwa 1000/- na safari inaendelea.

Haiwezekani watu wafunge safari wale samaki bure na kuondoka wakati serikali inatumia nguvu kubwa kudhibiti uvuvi haramu!
 
Back
Top Bottom