Kwetu kaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 582
- 475
Na hili ñadhani mwende mkalitizame mweshmiwa waziri wa tozo.
Hata pale
Hata pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.
Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.
Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.
Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Vijana wa ccm walivyo wapumbavu mlima autengeneze Mungu wewe ubuni vyanzo vya mapato ambavyo hata shilingi moja hujawekeza.Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.
Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.
Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.
Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Amewekeza lami mkuu[emoji28][emoji28]Vijana wa ccm walivyo wapumbavu mlima autengeneze Mungu wewe ubuni vyanzo vya mapato ambavyo hata shilingi moja hujawekeza.
Lami ilikuwepo tangu enzi za mkoloni.Amewekeza lami mkuu[emoji28][emoji28]
Duuuh, acha nicheke.Mimi napendekeza hata mlima wa nyoka mbeya kuwekwe tozo watu wakiwa wanapandisha walipie..hili nalo likatazamwe vizuri
Hasira za wewe kutokuolewa usilete kwa wengineUnapost ukiwa umekaa kwenye sofa sebuleni kwa shemeji aliyemuoa Dada yako unasubili chajula cha mchana,
Unashindwa kujua ugumu anaoupata kuwahudumia nyie kula kulala.
😂😂Hamtaki maendeleo? Maendeleo ya nchi huletwa na wenye nchi.Tuacheni jamani.
Sasa hapo tozo ina ulazima gani kuwapo hapo zaidi ya kulazimisha maisha kuwa magumu
Ha ha haNdiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.
Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.
Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.
Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Hili pia mh waziri mkuu na kamati yako mkaliangalieWote wanaoingia Posta - K.koo - M.city uwepo utaratibu wa kulipia hayo maeneo hasa K.koo
ni mlima kitonga uleule au una maanisha milima mingine.Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.
Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.
Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.
Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.