Nikitizama mlima Kitonga naona pale pia tunaweza pata chanzo cha mapato

Nikitizama mlima Kitonga naona pale pia tunaweza pata chanzo cha mapato

Na hili ñadhani mwende mkalitizame mweshmiwa waziri wa tozo.
Hata pale
 
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.

Pumbavu kabisa ! Chanzo kingine utozwe 1000 kupita corridor ya kuendea chooni kwako ku offload makande uliokula ! Kenge [emoji1656]
 
Wapanue ile Barabara kwanza,ndio ianze kutozwa hiyo tozo.Itapendeza sana.....
 
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Vijana wa ccm walivyo wapumbavu mlima autengeneze Mungu wewe ubuni vyanzo vya mapato ambavyo hata shilingi moja hujawekeza.
 
Mimi nilisema kwanini kusiwe na kodi za mchezo kitaifa kila wiki unatoka mkoa mmoja (wananchi wanapewa minoti)🤣
 
Unapost ukiwa umekaa kwenye sofa sebuleni kwa shemeji aliyemuoa Dada yako unasubili chajula cha mchana,
Unashindwa kujua ugumu anaoupata kuwahudumia nyie kula kulala.
Hasira za wewe kutokuolewa usilete kwa wengine
 
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Ha ha ha

Ina maana mku tanzania imegeuka kuwa nchi ya kutoza toza kila kitu, tumefikia huko.
 
Mm nashauri kila mwenye mke/mpenzi/mchepuko awe analipia 2000 kila anapomnyandua mpenzi wake hiyo ni pesa ya uchafuzi wa hewa maana wengi wakinyanduana huwa wanajamba iwe kabla au baada ya tendo.
Ndugu zangu hii nchi ni tajiri na tulicheleweshwa sana na wapinzani..))
 
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
ni mlima kitonga uleule au una maanisha milima mingine.
 
Back
Top Bottom