Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hili nalo mkaliangalie mtuletee
Kodi ya barabara ipo bossNapendekeza iwe tsh 5000 kwa gari dogo na magari makubwa iwe 10000 tena kwa barabara zote zenye maeneo kaorofi, ili ziweze panuluwa
"Hili nalo mkalifanyie kazi.."Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.
Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.
Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.
Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Kwa hiyo kodi zetu zitatumika kununulia v8 na kulipia masurufu ya wakubwa siyo?Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.
Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.
Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.
Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Hili nalo mkalitizameNdiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.
Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.
Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.
Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Limeishachukuliwa lipo mezani lafanyiwa kaziHili nalo mkalitizame
Umesoma wapi habari za Kitonga Tunnel? Au umechanganya uzi?Una maanisha au unajoki unadhani gari zote zinapita bure barabarani, KILA gari unayoiona barabarani iwe mjini au porini inalipia kodi ya kutumia barabarani. Kitonga tunnel haiwezikani kijiografia sababu kuelekea Iringa ardhi ipo juu kurudi Morogoro ardhi ipo chini ndo maana zinapanda mlima.
Unataka kodi ya nini hali tayari wanalipa kodiUmesoma wapi habari za Kitonga Tunnel? Au umechanganya uzi?
Na pia uende ukaliangalie [emoji23][emoji23]"Hilo nalo nimelichukua"
Hawa jamaa wanafurahisha sana [emoji23][emoji23]Wwe jamaaaaa.....
Daaaah we jamaa,nimecheka Sana[emoji1787],wasipasahau na wami...wafanye fasta KABLA daraja jipya halijafunguliwa..Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.
Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.
Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.
Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Kabisa na viongozi wamelijua hilo vizuri tu........wakati we unakesha kuwadhihaki kwa kuiga sauti na uongeaji wao, wao yao ya tozo yanaenda tu. Raha sanaaaaa!Yaani Tanzania ukifa na stress umejitakia mwenyewe 😀
Unapost ukiwa umekaa kwenye sofa sebuleni kwa shemeji aliyemuoa Dada yako unasubili chajula cha mchana,Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.
Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.
Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.
Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.