Nikitizama mlima Kitonga naona pale pia tunaweza pata chanzo cha mapato

Nikitizama mlima Kitonga naona pale pia tunaweza pata chanzo cha mapato

Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
"Hili nalo mkalifanyie kazi.."
 
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Kwa hiyo kodi zetu zitatumika kununulia v8 na kulipia masurufu ya wakubwa siyo?
 
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Hili nalo mkalitizame
 
Una maanisha au unajoki unadhani gari zote zinapita bure barabarani, KILA gari unayoiona barabarani iwe mjini au porini inalipia kodi ya kutumia barabarani. Kitonga tunnel haiwezikani kijiografia sababu kuelekea Iringa ardhi ipo juu kurudi Morogoro ardhi ipo chini ndo maana zinapanda mlima.
Umesoma wapi habari za Kitonga Tunnel? Au umechanganya uzi?
 
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Daaaah we jamaa,nimecheka Sana[emoji1787],wasipasahau na wami...wafanye fasta KABLA daraja jipya halijafunguliwa..
 
Ndiyo, ule mlima kama serikali ikiangalia kwa umakini inaweza ikawa inatoza kiasi flani kwa kila gari inayopita pale. Kuna magari mengi sana yanapita pale kwa siku.

Mengi sana, makubwa kwa madogo. Kule mwanzo kabisa wa mlima chini kungeweka gate. Magari madogo yalipie tsh. 1,000, size ya kati tsh. 2,000, mabasi na malori iwe tsh. 5,000. Kiukweli viongozi wangeongezea vyanzo vya mapato yao.

Pale mlimani piga ua lazima watu wapande. Hakuna wa kukwepa, so uhakika upo mkubwa sana wa kupiga pesa. Hii nchi tulichelewa sana. Sasa tunapaswa kukimbia badala ya kutembea.

Naendelea kuangaza angaza kuona vyanzo vingine vya mapato na tozo mbalimbali.
Unapost ukiwa umekaa kwenye sofa sebuleni kwa shemeji aliyemuoa Dada yako unasubili chajula cha mchana,
Unashindwa kujua ugumu anaoupata kuwahudumia nyie kula kulala.
 
Back
Top Bottom