Nikitizama mlima Kitonga naona pale pia tunaweza pata chanzo cha mapato

Aiseeee
 
Maninaaaaa! Hahahahaaa... Nimecheka kinomaaa! Loh... Tozo zitatuua!
 
Akili au Matope ?
 
Hufai hata kuongoza mbuzi wewe🀣
 
Unatozaje hii kodi wakati kuna fuel levy? Acheni kufikiria like a castrated goat
 
Vijana wa ccm walivyo wapumbavu mlima autengeneze Mungu wewe ubuni vyanzo vya mapato ambavyo hata shilingi moja hujawekeza.

Hawa ndo think tank wa KiJaNi!!
Mnasikitisha mnoooooo!!!!
 
🀣🀣🀣🀣 "Hili nalo muende mkalitizame Kaka yangu Profesa Mbarawa na timu yako"
hivi hajapatikana wa kuigiza sauti tu mpaka sasa?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kiongozi dhahabu iliomo humu nnchini almasi gesi tanzanite mbuga za wanyama na vyanzo vingine vya mapato vimetumikaje kulikwamuwa taifa hili mpaka ionekane icho nacho kiongezwe kiwe chanzo cha mapato?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…