Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa ni pesa yako hiyo.Mimi naendaga kutoa 2000 wanakata 300 naondoka na 1700 kibabe
Yes kwangu mimi pesa nyingiiii sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niongezee 550 yangu nipande mwendokasi,.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliwahi kwama mpesa nilikuwa na 1300 nikamuomba mwana anitumie 200 nkatoa 1000 nikapata ya nauli..[emoji23][emoji23][emoji23] Bank huwagana naenda kuweka na kutoa...mfano imebaki 7000haitoki nazama ndani naweka 4000 nakuja kutoa nje 10k...huyo safariii
Raha Ya kutoa hela kwa wakala.. Unamtajia hela alafu cash hana.. Na ukute demi mkali lazima akukariri tu
Ukitoa wapi?Nikitoa 400,000/= pesa za kitanzania
Kwenye begi la nguo mbele ya manziUkitoa wapi?
Hapo ndio nimekuelewa aibu inapo tokeajamani unatoa buku mbili afu unatumia simu ya laki tatu aibu!!
Hii chai imepoa sanaMimi sikumbuki lini mara ya mwisho nimetoa zaidi ya elfu kumi
Unaona aibu kuchukua hizo pesa, au unamuonea aibu teller?Jaman huwa napata aibu nikitoa chini ya tsh.5,000. je wewe huwa unaona so ukitoa sh ngapi?
Hii chai imepoa sana
Kawaida yako nimekuzoea, huwa unadhani kila mtu ni tajiri kama wewe