Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sitaki mimi kuunganishwa na wanyonyaji wazanzibarBara ndio makao makuu ya serikali ya Tanzania, mkiungana kila mtu anapoteza kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki mimi kuunganishwa na wanyonyaji wazanzibarBara ndio makao makuu ya serikali ya Tanzania, mkiungana kila mtu anapoteza kitu
Muungano hauwezi kuvunjwa kama kijitiAlituletea muungano wa hovyo sn uvunjwe haraka
Wanalalamikaje wakati nchi yao bado inaonekana kwenye Muungano na wanakula matunda ya kuwa ndani ya muungano.Tanganyika haipo kwasababu muungano wetu ulizalisha nchi mbili, Zanzibar na Tanzania, makao makuu yote ya Tanzania yapo huku kwenye Tanganyika ya zamani, mbona Wazanzibar hawalalamiki? ni suala la kukubaliana tu
Lazima utavunjwa na wazanzibar warudi kwaoMuungano hauwezi kuvunjwa kama kijiti
Wazanzibar ni watu wa hovyo sn, wabaguzi na wadiniWanalalamikaje wakati nchi yao bado inaonekana kwenye Muungano na wanakula matunda ya kuwa ndani ya muungano.
Issue ni kwanini unapotoka huko makao makuu ya muungano ukiwa unaenda Zanzibar unakuwa kama mgeni.? Kwanini wao wanafaidia na kila kipengele cha kimuungano kama nchi ila watanganyika hawafaidiki.?
Zanzibar hajawai kuwa mnyonyaji, hata wakati wana ungana Tanganyika ilikuwa imara kuliko Zanzibar, kwahiyo Nyerere alifanya muungano akiwa yeye ndio anajiweza kuliko Karume, nakataa unyonyaji hapaSitaki mimi kuunganishwa na wanyonyaji wazanzibar
Hizo ni gharama ndogo ndogo za muungano, kila mmoja lazima apoteze kituWanalalamikaje wakati nchi yao bado inaonekana kwenye Muungano na wanakula matunda ya kuwa ndani ya muungano.
Issue ni kwanini unapotoka huko makao makuu ya muungano ukiwa unaenda Zanzibar unakuwa kama mgeni.? Kwanini wao wanafaidia na kila kipengele cha kimuungano kama nchi ila watanganyika hawafaidiki.?
Sahivi tunanyonywa na wazanzibar balaa wamejaa mpk kwenye ngazi za chini VEOsZanzibar hajawai kuwa mnyonyaji, hata wakati wana ungana Tanganyika ilikuwa imara kuliko Zanzibar, kwahiyo Nyerere alifanya muungano akiwa yeye ndio anajiweza kuliko Karume, nakataa unyonyaji hapa
Kama hapa kuna Wa US , Wasomali n.k hata wazanzibar hawaendi popoteLazima utavunjwa na wazanzibar warudi kwao
Lazima waje kama wageni hatuwataki ni watu wa hovyo snKama hapa kuna Wa US , Wasomali n.k hata wazanzibar hawaendi popote
Mawazo yako tu bado Wazanzibar ni wachache sana kwetu sisi wa Bara, tumewaacha mbaliSahivi tunanyonywa na wazanzibar balaa wamejaa mpk kwenye ngazi za chini VEOs
Hizi ni ndoto za Ali Nacha, Zanzibar ni Tanzania full stopLazima waje kama wageni hatuwataki ni watu wa hovyo sn
Milele aminaNinaandika haya kwa hisia za kina kuhusu Muungano wa Tanzania, hasa katika muktadha wa kumuenzi Mwalimu Julius Nyerere. Kutokana na muktadha wa kisiasa na kijamii wa sasa, ninahisi kuwa siwezi kumuenzi Mwalimu Nyerere bila kuangazia ukweli kuhusu Muungano.
Muungano huu, ambao ulianzishwa kwa matumaini makubwa, sasa umeonekana kuwa na kasoro nyingi na kutoleta faida kwa pande zote mbili.
Mwalimu Nyerere alikusudia kuunganisha watu wa Tanzania ili kuleta umoja na maendeleo. Hata hivyo, muungano huu umekuwa na athari za kiuchumi na kijamii ambazo zinaweza kuonekana kama unyonyaji.
Pande mbili, yaani Tanganyika na Zanzibar, zinakabiliwa na changamoto nyingi zinazohusiana na usawa wa kisiasa na kiuchumi. Wakati wa kuanzishwa kwa muungano, wengi walikuwa na matarajio ya ushirikiano wa dhati, lakini ukweli ni kwamba kuna hisia za kutengwa na kutokukurubiana baina ya maeneo mbalimbali ya nchi.
Katika muktadha wa kisasa, Muungano umekosa muono wa pamoja. Huku Zanzibar ikikabiliwa na changamoto za kiuchumi na kisiasa, Tanganyika pia inakumbana na matatizo yake.
Wakati mwingine, inaonekana kana kwamba Muungano unalenga zaidi kuimarisha nguvu za kisiasa za upande mmoja, huku upande mwingine ukihisi kutelekezwa. Hii inafanya watu wengi kujiuliza: Je, Muungano huu ni wa watu wote au ni wa kuburuzwa?
Kukosekana kwa usawa katika ugawaji wa rasilimali na mamlaka ni miongoni mwa sababu zinazomfanya mtu anayejiita muungano kufikiri zaidi juu ya kukataa muungano. Hali hii inahatarisha umoja wa kitaifa na kuleta mifarakano baina ya wananchi. Ni muhimu kwa jamii kuangalia jinsi Muungano unavyoweza kuboresha hali za maisha za watu wa pande zote mbili, badala ya kuwa ni zana ya unyonyaji.
Kila wakati tunapozungumzia Muungano, ni muhimu kukumbuka maono ya Mwalimu Nyerere. Alitaka kuwa na umoja wa kweli. Hata hivyo, ukweli wa sasa unakumbusha kwamba tunaweza kuwa na umoja bila kuwa na muungano unaonyonya. Ni wakati wa kuangalia njia mbadala za kuimarisha ushirikiano kati ya watu wa Zanzibar na Tanganyika bila kuathiri haki na ustawi wa kila upande.
Katika kukabiliana na changamoto hizi, ni muhimu kufungua majadiliano ya wazi kuhusu mustakabali wa Muungano. Watu wanapaswa kushiriki katika maamuzi yanayowahusu, na si tu kusikia kutoka kwa viongozi. Ni lazima kuunda mfumo ambao unawawezesha wananchi wa pande zote mbili kuhisi kwamba wanashiriki kikamilifu katika ujenzi wa nchi yao. Hii itasaidia kuondoa hisia za kutengwa na kuimarisha umoja wa kitaifa.
Kwa kumalizia, nadhani ni muhimu kufahamu kwamba kumuenzi Mwalimu Nyerere si tu suala la kuadhimisha legacy yake, bali pia ni jukumu letu kutafuta ukweli na haki katika Muungano wetu. Siwezi kumuenzi Mwalimu Nyerere bila kuangazia ukweli kuhusu Muungano huu, ambao umeonekana kuwa ni chanzo cha mgawanyiko badala ya umoja.
Ni wakati wa kuzungumza waziwazi kuhusu changamoto za Muungano na kuangalia njia bora zaidi za kuendeleza umoja wa kitaifa.
Ahsante.kukumbuka tu 14-10-2024 ni siku kumbukizi ya hayati Baba wa Taifa letu JK Nyerere inatossha..
hayo mengine ni mbwembwe na si muhimu sana 🐒
Mkuu kwani wanaokataa Tanganyika isiwepo ni kina nani??Wanalalamikaje wakati nchi yao bado inaonekana kwenye Muungano na wanakula matunda ya kuwa ndani ya muungano.
Issue ni kwanini unapotoka huko makao makuu ya muungano ukiwa unaenda Zanzibar unakuwa kama mgeni.? Kwanini wao wanafaidia na kila kipengele cha kimuungano kama nchi ila watanganyika hawafaidiki.?
Kwanza naheshimu mawazo yako na sio lazima kila mtu amuenzi Mwalimu Nyerere kama ilivyo sio kila mtu anamwamini Mungu, wengine wanamwamini shetani.Ninaandika haya kwa hisia za kina kuhusu Muungano wa Tanzania, hasa katika muktadha wa kumuenzi Mwalimu Julius Nyerere. Kutokana na muktadha wa kisiasa na kijamii wa sasa, ninahisi kuwa siwezi kumuenzi.
nadhani ni muhimu kufahamu kwamba kumuenzi Mwalimu Nyerere si tu suala la kuadhimisha legacy yake, bali pia ni jukumu letu kutafuta ukweli na haki katika Muungano wetu. Siwezi kumuenzi Mwalimu Nyerere bila kuangazia ukweli kuhusu Muungano huu, ambao umeonekana kuwa ni chanzo cha mgawanyiko badala ya umoja.
Ni wakati wa kuzungumza waziwazi kuhusu changamoto za Muungano na kuangalia njia bora zaidi za kuendeleza umoja wa kitaifa.
Waziri wa Mambo ya nje.Waziri WA mambo ya ndani
Waziri wa ujenzi
Chura kiziwi
Ni wananchi wa wapi?
Rais wa Tanganyika anaitwa nani?