Nikiukumbuka Muungano: 14-10-2024: Siwezi kumuenzi Mwalimu Nyerere

Mungu hayuko hivyo, anapima kwenye mizani kuwa mema na maovu yapi ni mengi, hii ndio maana ya kufanyiwa HESABU siku ya hukumu
Kwamba uliua mtu mmoja , ukawapa chakula, au ukawavisha, au ukawasaidia kwa namna yoyote masikini wawili, basi utaingia mbinguni?
 
Kwamba uliua mtu mmoja , ukawapa chakula, au ukawavisha, au ukawasaidia kwa namna yoyote masikini wawili, basi utaingia mbinguni?
Sasa kwani Mungu hajui kuwa hakuna binadamu msafi? ndio maana kunafanyika Hesabu ili mazuri yakiwa mengi Mungu anakupa mema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…