Nikiwa kama Mtanzania nawatakia kila la Kheri Watunisia Wote kwa tukio lolote lile liliko Kwao leo

Nikiwa kama Mtanzania nawatakia kila la Kheri Watunisia Wote kwa tukio lolote lile liliko Kwao leo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na wakitaka nifurahi zaidi nawaomba Watunisia hawa waiishi ile Kauli yao ya Kusema Revenge has no Mercy (Kisasi hakina Huruma) na kwakweli Watunisia leo wasio na huruma kwa tukio lolote lile la leo Kwao huko nchini Tunisia.
 
Sijui kwanini toka uvungu wa moyo wangu napenda majitu makorofi🤣🤣
Halafu unajua / unatambua kuwa moja ya Characters za Watu Genius ni kuwa na Kasoro fulani isiyorekebishika Kiasili japo inaweza tu Kupungua / Kupunguzwa kwa Ushauri wa Watu au Maombi ya Viongozi wa Dini mbalimbali kutokana na Imani yake husika?
 
Halafu unajua / unatambua kuwa moja ya Characters za Watu Genius ni kuwa na Kasoro fulani isiyorekebishika Kiasili japo inaweza tu Kupungua / Kupunguzwa kwa Ushauri wa Watu au Maombi ya Viongozi wa Dini mbalimbali kutokana na Imani yake husika?

Nakubaliana nawe.
Iko hivi; kwa upande mmojs jiniaz ni bora sana lkn kwa upande wa pili huwa ana uzuzu flani...fuatilia utajua
 
Nakubaliana nawe.
Iko hivi; kwa upande mmojs jiniaz ni bora sana lkn kwa upande wa pili huwa ana uzuzu flani...fuatilia utajua
Uzuzu nilionao pamoja na kuwa 'Genius' ni Upopoma kupenda mno 'Mbunye' na Kuichukia Klabu ya Yanga na wale Watu ambao nawajua ni wana Yanga SC.
 
Na wakitaka nifurahi zaidi nawaomba Watunisia hawa waiishi ile Kauli yao ya Kusema Revenge has no Mercy (Kisasi hakina Huruma) na kwakweli Watunisia leo wasio na huruma kwa tukio lolote lile la leo Kwao huko nchini Tunisia.
We utakuwa ndo ulimzuia Majaliwa kumuokoa rubani
 
Na wakitaka nifurahi zaidi nawaomba Watunisia hawa waiishi ile Kauli yao ya Kusema Revenge has no Mercy (Kisasi hakina Huruma) na kwakweli Watunisia leo wasio na huruma kwa tukio lolote lile la leo Kwao huko nchini Tunisia.
Sema "ukiwa kama Mtanzania usiye na akili,. aka Popoma........"
 
Back
Top Bottom