wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,432
Inspector Haroun (Babu) amemtembezea kipigo mtoto wake akidai kwamba mtoto amempeleka chuo ila anashangaa kumkuta studio
Yupo sahihi kwasababu uchungu wapesa anayolipa chuo tunaujua tunaolipia ada. Mzazi au mlezi unaweza kutimiza wajibu mtoto aende kusoma shule za serikali bure lakini utaanza kusomesha akifika chuo bila mkopo, vyuo vinagharimu mamilioni, Gharama za kumsomesha mtoto chuoni zipo juu sana, Pocket money, ada, laptop, hostel, n.k. kwa mwaka inafikia mpaka milioni 4.
Nikweli kama nchi tuna tatizo la ajira lakini katika wahitimu 100 wa vyuoni, kwa makadirio 40 wanaweza kuajiriwa ama kujiajiri kwa elimu zao, kwenye Muziki katika wasanii 100 ni watatu wanaweza kufanikiwa tena hao unachanganya na wale wanaotoa wimbo moja na kupotea mazima.
Nakumbuka enzi hizo nikiwa sekondari mpaka chuo kuna washikaji waliojaribu kuingia kwenye muziki wameharibu sana future zao. wapo waliothubutu kutumia ada kulipia studio mpaka Leo hawana ishu za maana muziki uliwakataa,
Muziki wa Tanzania hata ukifanikiwa kutoboa ni ngumu kumaintain zaidi ya miaka kumi, Kuna wasanii wengi sana waliowahi kuzishika chati lakini leo hii wamepotea kabisa
Babu anaujua vema muziki wa hapa Bongo, ameona kabisa mwanae hajui muziki wala hana ujanja kwenye muziki ndio maana kaona bora asome.
Yupo sahihi kwasababu uchungu wapesa anayolipa chuo tunaujua tunaolipia ada. Mzazi au mlezi unaweza kutimiza wajibu mtoto aende kusoma shule za serikali bure lakini utaanza kusomesha akifika chuo bila mkopo, vyuo vinagharimu mamilioni, Gharama za kumsomesha mtoto chuoni zipo juu sana, Pocket money, ada, laptop, hostel, n.k. kwa mwaka inafikia mpaka milioni 4.
Nikweli kama nchi tuna tatizo la ajira lakini katika wahitimu 100 wa vyuoni, kwa makadirio 40 wanaweza kuajiriwa ama kujiajiri kwa elimu zao, kwenye Muziki katika wasanii 100 ni watatu wanaweza kufanikiwa tena hao unachanganya na wale wanaotoa wimbo moja na kupotea mazima.
Nakumbuka enzi hizo nikiwa sekondari mpaka chuo kuna washikaji waliojaribu kuingia kwenye muziki wameharibu sana future zao. wapo waliothubutu kutumia ada kulipia studio mpaka Leo hawana ishu za maana muziki uliwakataa,
Muziki wa Tanzania hata ukifanikiwa kutoboa ni ngumu kumaintain zaidi ya miaka kumi, Kuna wasanii wengi sana waliowahi kuzishika chati lakini leo hii wamepotea kabisa
Babu anaujua vema muziki wa hapa Bongo, ameona kabisa mwanae hajui muziki wala hana ujanja kwenye muziki ndio maana kaona bora asome.