Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Hawa jamaa ni noma sana kwwnye masuala ya sound systems. Na ndiyo maana huwezi kuta maduka mengi sana stock viyu vyao maana ni expensive kweli.
Dealer wa sony wa pale twiga house mtaa wa samora alikua na vitu vya maana,ila last time nilipopita nilikuta duka limechoka mbaya,sijui walipatwa na nini!
 
Mkuu mimi nadhani tafuta music system nzuri ya Sony. Hawa jamaa ktk music wa namna hii ni wazuri na inadumu. Ila tafuta hata ya laki 8-9

Kwa Sony hiyo music system ni uhakika. Ila kama wataka mziki hata wa Party hapo nunua fidek mayai moja ile ya doubke, kisha na powered mixer, hapo na mic za UHF utapata.

Mziki wa fidek ni hatari, au nunua zile single mbili, moja weka upande huu na nyingine upande huu, hapo majirani lazima wakutafute wajue mziki unaotumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna spika ndefu zile za Sony SS-F6000P, four way floor standing speakers, ukifunga mbili hizo, halafu na zile ndogo za bookshelf SS-B3000 (au hata SB-1000) mbili, halafu ukafunga na 5.1 channel audio system yenye watts za heshima na bluray, FM, bluetooth na audio jack, kwa muziki wa nyumbani tu utatesa.

Nilinunua hizi miaka kadhaa nyuma, pamoja na LG player. Nilipenda sana sound yake nikaishia kununua set 4 tofauti na kuzipanga, moja basement, mbiki ghorofa ya kati, na moja juu kabisa chumbani.

Ila siku hizi nazimikia zaidi speakers ambazo zina in built FM na bluetooth. Nil8nunua TW-J5500 nayo niliipenda sana. Speaker Ina FM, bluetooth, inapiga MP3s kutoka USB stick, ina audio jack . Kila kitu kipo kwenye speaker huhitaji mazagazaga na mawayawaya mengi.

Niliipenda nayo nikanunua nne tofauti na kuziweka all over my house.

Kwa muziki wa nyumbani tu zinatesa sana.

Sony SS-F6000 4-Way Floor-Standing Speaker (pair)

Sony SS-B3000 3-Way Bookshelf Speakers (Pair)




Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Boss kipi ni kiko vizuri hapa kati ya hizi
DAV-DZ650 SONY hii ni 1000w kwa 600k
Au
LG LHD655BT hii ni 1000W kwa 500k
Au unaweza nishauri pia.
 
Huyu sijamuelewa kwani hao fidek si wanatengeneza miziki ya club, bar ets. Wana miziki ya ndani kweli?
Ndio maana nikaomba picha maana sidhani kama mtu anaenunua mziki wa nyumbani anaweza weka maspika kama ya kanisani ukubwa wa fridge sebuleni. 🤣🤣🤣
 
Extrovert Lg naona now ana full soround Av receiver kuna 5.2(2floorstanding, 1center, soroun 2 na sub 2) kwa macho nimeona ni vinu si mchezo, najaribu kuappload picha inazingua.
Labda walio/wanaozitumia waje watupe uzoefu.
Model gani mkuu, hebu nchapie Model niidekeree
 
Panasonic Hiyo.

Inaenda mwaka wa 13 nw tangu nautumia kuanzia 2007. Unanisumbua kidogo kwenye njia ya 1:5 nabaki kutumia 2 way channel. Na Nimepoteza Remote na Front Speaker Moja ila bado nawapa shida wenzangu nikiwasha wanaleta flash zao dj nakua mimi.

Kama kuna Mafundi watundu wa haya madude nisaidieni., maana hapa natwanga home party zote hata hivi ilivyo, kwa wanaojua sound wataelewa namaanisha nini juu ya huyu mnyama, kama atapatikana wakubadilishana nae atangaze dau atanipa system gani, nipo Dar.

Description:
Panasonic SA-HT928 5 Disc DVD/CD Changer
FM/AM Tuner
Component/SVideo Output
**REMOTE CONTROL EXCLUDED**
**TIDAK TERMASUK REMOTE CONTROL**
SB-WA928 Subwoofer

Type: 20 cm Cone type
Impedance: 4 ohm
Frequency Range: 34 Hz–220 Hz (j16 dB)
2 * SB-PF921 Front Speakers

Type: 2 way, 3 speaker system (Bass reflex)
Impedance: 6 ohms
Frequency Range: 92 Hz–50 kHz (j16 dB)
SB-PC920 Center Speaker

Type: 2 way, 3 speaker system (Bass reflex)
Impedance: 4 ohms
Frequency Range: 110 Hz–50 kHz (j16 dB)

- Still in good condition
- Self pick up

For more enquiries, whatsapp /Wechat or sms to me:-

JC - 011-56755337View attachment 1395316

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu Nyoko, naijua hii mashine... Kuna jamaa mmoja alikuwa rafiki wa shemeji yangu. Aliitungua Mlimani City, enzi Prison Break iko kwa Hit!

Siku moja tukamuibukia tukawa tunacheki movie ya Notorious BIG ile kama documentary. Aisee zile sound track mara "Hypnotize" , "Juicy", "Big Poppa" that feeling siwezi elezea ukizingatia ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kukutana na system inagonga namna ile, excitement level haielezeki. Thats when i started falling in love na hometheatre systems. Pale ndio nilitambua uongozi wa HT!
 
Hii kitu Nyoko, naijua hii mashine... Kuna jamaa mmoja alikuwa rafiki wa shemeji yangu. Aliitungua Mlimani City, enzi Prison Break iko kwa Hit!

Siku moja tukamuibukia tukawa tunacheki movie ya Notorious BIG ile kama documentary. Aisee zile sound track mara "Hypnotize" , "Juicy", "Big Poppa" that feeling siwezi elezea ukizingatia ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kukutana na system inagonga namna ile, excitement level haielezeki. Thats when i started falling in love na hometheatre systems. Pale ndio nilitambua uongozi wa HT!

Naaaaam


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu tupe detail vzr kwa ss ambao hatujui kitu kweny music system kwamba kam unatak mzik mzur labda tafta hik then kile ukiunganisha unapat kitu kizur.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mziki wa kuunda mwenyewe mtamu sana kama una idea lakini

Lazima tujue inaekwa wap kama ni sebule ndogo haina haja ya
Kuweka channe nyingi za spika ...pia utaweza pangilia vizur wap uweke spika lako lakukung'uta low frequency pia utaamua kutokana na sebule yako basi utundike spika kama space itakuwa limited ambapo huwez tundika spika za baadhi ya radio hvo katika set up yako utatafuta spika na box lake mahususi kwa ajili ya kutundika

Viko vitu vingi vya kufanya inategemea una idea gani wewe kama una ufundi kiasi basi ni rahisi tena bei inakuwa nafuu kiasi

1.Sound processor ni kila kitu
2 amplifiers
3 receiver nzuri
4 good power supply
5 speaker zenye quality yake

Ukionganisha tayari unamziki wako utakao
 
Back
Top Bottom