Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Ila nimegundua kuna kizazi kimepita hapa kati ya miaka ya 2000-2019,wengi hawajui sound quality zenya akili,mimi nawaunga mkono Sony wana mashine nzuri sana,ila nafagilia sana mziki wa Bose,ingawa huku kwetu ni chache sana,kwanza quality ya mziki unaotoka ni wa hali ya juu sana,umechujwa na ukachujika,Bass quality yao imesimama sana,sio sawa na mispika ya sikuhizi kariakoo,spika kubwa linadunda kama ndoo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nimegundua kuna kizazi kimepita hapa kati ya miaka ya 2000-2019,wengi hawajui sound quality zenya akili,mimi nawaunga mkono Sony wana mashine nzuri sana,ila nafagilia sana mziki wa Bose,ingawa huku kwetu ni chache sana,kwanza quality ya mziki unaotoka ni wa hali ya juu sana,umechujwa na ukachujika,Bass quality yao imesimama sana,sio sawa na mispika ya sikuhizi kariakoo,spika kubwa linadunda kama ndoo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchawi bei babaa.

Kule insta kuna page ya Kenya,wanauza system za haja,ila hizo bei ndio mtafaruku.kwahiyo hata kuku zikiletwa utazikuta mcity maybe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila nimegundua kuna kizazi kimepita hapa kati ya miaka ya 2000-2019,wengi hawajui sound quality zenya akili,mimi nawaunga mkono Sony wana mashine nzuri sana,ila nafagilia sana mziki wa Bose,ingawa huku kwetu ni chache sana,kwanza quality ya mziki unaotoka ni wa hali ya juu sana,umechujwa na ukachujika,Bass quality yao imesimama sana,sio sawa na mispika ya sikuhizi kariakoo,spika kubwa linadunda kama ndoo...

Sent using Jamii Forums mobile app
spika kama ndoo tena
 
Polk, Pioneer, Elac, KEF, Klipsch, svsound & Arendal 1723...ni ghali kidogo ila unaweza kuujenga mziki wako tararibu...ukifikisha speaker 2 na subwofer moja tu...hizo LG or Sony weka hata mia ila sound quality itabaki km mbingu na ardhi...take ur time kufanya research amazon & ebay...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio watu hawazijui system kalii...sema hizo system bongo adim na ni gharama sana..sasa kama jbl extreme tu ni bei ya Sony dav 650 unafkr labda homethetre za jamaa zitakuaje?
Ila nimegundua kuna kizazi kimepita hapa kati ya miaka ya 2000-2019,wengi hawajui sound quality zenya akili,mimi nawaunga mkono Sony wana mashine nzuri sana,ila nafagilia sana mziki wa Bose,ingawa huku kwetu ni chache sana,kwanza quality ya mziki unaotoka ni wa hali ya juu sana,umechujwa na ukachujika,Bass quality yao imesimama sana,sio sawa na mispika ya sikuhizi kariakoo,spika kubwa linadunda kama ndoo...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nimecheki bei zimechanganya balaa.nilikuwa nacheki AV receiver ya Onkyo TXNR696.Bei dola 600.


Polk, Pioneer, Elac, KEF, Klipsch, svsound & Arendal 1723...ni ghali kidogo ila unaweza kuujenga mziki wako tararibu...ukifikisha speaker 2 na subwofer moja tu...hizo LG or Sony weka hata mia ila sound quality itabaki km mbingu na ardhi...take ur time kufanya research amazon & ebay...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AV receiver kali in the Market ni Marantz na Denon...kwakuanzia unaweza anza na 5.2 channel AV receiver, check ebay Denon AVR-S540BT...$200,u can upgrade in future to 7.2 or 11.2 for Dolby Atmos...speaker anza na Pioneer SP-BS22A bookshelf speaker or SP-FS52 Floor standing speaker(Cheap compare na brand nyingine)...next yr nununua Subwofer, SVS PB-1000....kifupi anza taratibu usiwe na haraka ila by the time unafikisha 5.2 kila mtu atataka umuuzie mziki wako sema tu mtashindwana bei..
Dah nimecheki bei zimechanganya balaa.nilikuwa nacheki AV receiver ya Onkyo TXNR696.Bei dola 600.




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuna mtu ashawahi kutembelea studio za kutayarishia muziki au studio za redio humu?

Kuna muziki unatokaga kwenye monitor zao huwa nauelewa sana..
 
Mkuu kwenye Presets za EQ weka "Multi" hii itaongeza clarity ya speaker na zote zitaongea.
Ukitaka enhanced bass weka "Standard"

Kwenye Presets za Sorround weka "Bongo" this is the best preset so far. Ina blend vizuri na Presets zote za Sorround.

Kisha ingia kwenye System setup specifically kwenye speaker setup.

Pandisha dB count toka 0 mpaka +6dB kwa kila speaker za front, rear, centre na Subwoofer. Utapata sound bora zaidi. Kwa wale wanaosema System haina sauti ya kutosha hapa ndipo mtego ulipo.

Unaweza pia kuset distance ya speaker toka zilipo mpaka kwenye makochi unapokaa ili ziweze ku calibrate sauti kulingana na umbali wa sikio lako.

Ukimaliza hayo njoo unishukuru.
Nimejaribu maelezo yako kwenye DAV dz650 lakini nimekutana na changamoto mbili
1. Kwenye kuadjust sound, speaker za Mbele Right na Left inawezekana tu kuadjust kati ya -6.0 dB hadi 0.0 dB. Hata manual yake inaonyesha hivyo (angalia picha)
Je kuna uwezekano wa kuiforce?
IMG_20200329_074603.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwenye Presets za EQ weka "Multi" hii itaongeza clarity ya speaker na zote zitaongea.
Ukitaka enhanced bass weka "Standard"

Kwenye Presets za Sorround weka "Bongo" this is the best preset so far. Ina blend vizuri na Presets zote za Sorround.

Kisha ingia kwenye System setup specifically kwenye speaker setup.

Pandisha dB count toka 0 mpaka +6dB kwa kila speaker za front, rear, centre na Subwoofer. Utapata sound bora zaidi. Kwa wale wanaosema System haina sauti ya kutosha hapa ndipo mtego ulipo.

Unaweza pia kuset distance ya speaker toka zilipo mpaka kwenye makochi unapokaa ili ziweze ku calibrate sauti kulingana na umbali wa sikio lako.

Ukimaliza hayo njoo unishukuru.
2. Nikienda kwenye EQ present zilizopo ni Auto, Movie, Music, TV na Game
Na kwenye surround present zilizo ni Doldy Pl, 2 CH ST, Standard na Multi

Hiyo "Bongo" unayosemea sijaiona kabisa Mkuu
JPEG_20200329_080109_5832951117662975114.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Perfomance iko sawa maana zote ni watts 1000 on same machine. Tofauti ni umbile la midrange speakers.

Za DZ350 ni fupi zote ila za DZ650 mbili ni ndefu ndio kinatofautisha bei.
TZ140 kumbe ndiyp watt 300 dah nilikuwa nazifananisha hizi vitu viwli.
 
2. Nikienda kwenye EQ present zilizopo ni Auto, Movie, Music, TV na Game
Na kwenye surround present zilizo ni Doldy Pl, 2 CH ST, Standard na Multi

Hiyo "Bongo" unayosemea sijaiona kabisa Mkuu
View attachment 1402622

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hio AV System yako ni toleo la kwanza. Ukiangalia nyuma ya deki utakuta imeandikwa Made in Malaysia ambazo hizo ndio ziliuzwa worldwide.

Ambayo nmeizungumzia mimi ni zile kwa ajili ya East African market ambazo ndio wengi tunazo na ni toleo la pili ndio utakuta zina preset ya "bongo"!

Kwa wewe tunachofanana ni Preset za Sorround mkuu, napendekeza tumia "multi" ambayo itakuza sauti katika sorround speakers zote hivyo utaskia sauti vizuri.
 
TZ140 kumbe ndiyp watt 300 dah nilikuwa nazifananisha hizi vitu viwli.
Hio jau mkuu watts 300 itakuwa haina boom ya kutosha. Nilishakuwaga na Samsung na LG watts 300 ilikuwa ni ushuzi wa dengu. They suck as https://jamii.app/JFUserGuide yani kisabufa cha sea piano cha 110,000 cha watts 60 kina mdundo kuliko HT ya watts 300!
 
Nimejaribu maelezo yako kwenye DAV dz650 lakini nimekutana na changamoto mbili
1. Kwenye kuadjust sound, speaker za Mbele Right na Left inawezekana tu kuadjust kati ya -6.0 dB hadi 0.0 dB. Hata manual yake inaonyesha hivyo (angalia picha)
Je kuna uwezekano wa kuiforce? View attachment 1402619

Sent using Jamii Forums mobile app
Pandisha hizo ambazo zinaenda mpaka +6db it will add up something hasa kwenye bass na sorround impact utaifeel kinoma.

Nadhani wameweka hivyo maana speaker za sorround zinatakiwa kukaa nyuma yako katika configuration ya system hapo sebuleni kwako
 
2. Nikienda kwenye EQ present zilizopo ni Auto, Movie, Music, TV na Game
Na kwenye surround present zilizo ni Doldy Pl, 2 CH ST, Standard na Multi

Hiyo "Bongo" unayosemea sijaiona kabisa Mkuu
View attachment 1402622

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaeza nipa picha ya subwoofer speaker yako pia. Bila shaka itakuwa na speaker yenye kitovu na sio flat. Ila hizi 2nd generation za African Market zina flat surfaced speaker.
 
Sawa mkuu inabd hapa kwenda taratibu kiukweli.kama nafanya ujenzi hv
AV receiver kali in the Market ni Marantz na Denon...kwakuanzia unaweza anza na 5.2 channel AV receiver, check ebay Denon AVR-S540BT...$200,u can upgrade in future to 7.2 or 11.2 for Dolby Atmos...speaker anza na Pioneer SP-BS22A bookshelf speaker or SP-FS52 Floor standing speaker(Cheap compare na brand nyingine)...next yr nununua Subwofer, SVS PB-1000....kifupi anza taratibu usiwe na haraka ila by the time unafikisha 5.2 kila mtu atataka umuuzie mziki wako sema tu mtashindwana bei..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom