Nenda Hardware nunua Cable Trunking,we wambie wakupe trunkingMkuu CONTROLA ebu tupeane mbinu zakuficha hizo nyaya hasa kwa Tv iliyotundikwa ukutani
Kuna TV kuiweka ukutani ni haki yake maana stand zake ni mbayaTv me kukaa ukutani mimi hapana. Napendaga iwe chini chini.
Yaani mimi tv zile zenye makalio huku na huku sizipendi balaa. Halafu siku hizi nashangaa ndio wengi wanazinunua.Kuna TV kuiweka ukutani ni haki yake maana stand zake ni mbaya
stand ya tv imekaa kama masikio ya popo,ila kuna ukiwa na hizi tv
za Sony Bravia ambazo stand za TV tu zimekaa kama urembo nauhakika
huwezi kupata ujasiri wa kutoa stand ya sony eti uweke tv ukutani otherwise
mtu awe anaogopa tu watoto,ila kwa wale risk taker tunaweka chini hvyo hvyo.
mimi tv ikishakua na stand huku na huku sinunui,labdaYaani mimi tv zile zenye makalio huku na huku sizipendi balaa. Halafu siku hizi nashangaa ndio wengi wanazinunua.
Tv nzuri iwe na stand katikati basi.
kuna mwamba yeye humwambii kitu na simu za infinix[emoji23][emoji23][emoji23].Niliingia k.koo majuzi kati hapa kwenye duka la Haya makitu akaja m.tandale
anaulizia SEA PIANO ile yenye disco light,hilo duka wakawa hawana ila wakawa
wanamshauri achukue sabufa nyingine,yeye akawambia sitaki zaidi ya sea piano
yenye disco lights,mimi nikawa najiuliza hii sea piano yenye disco light ipoje na maajabu
yake ni yapi kwann ing'ang'aniwe hivyo? basi jamaa mmoja akamwambia yule mteja asubiri
akae chini akamletee store nyingine,Jamaa akaenda kama dk 5 akarudi na sea piano lenye disco light
Jamaa (mteja) akasema YEEEEES huyo ndio mnyama sasa,naomba nitestie kbsa,chukua na hela yako
seapiano likachomekwa likaekwa flash,Mziki ukaekwa Aseee mteja mwenye bufa lake nikamuona
anatikisa kichwa kwamba mziki umemgusa hadi kunako,ila huwezi amini Nilishkwa hasira nikatamani
nimzabue yule jamaa kofi nimuulizee,huu n mziki unanunua au unanunua tambara?!
Jamaa alipewa bufa lake akaondoka anachekelea ndio nmesoma comment yako nikamkumbuka jamaa.
Shukrani mkuu natumai umesaidia wengiNenda Hardware nunua Cable Trunking,we wambie wakupe trunking
Zipo aina nyingi kwa size kulingana na wingi/unene wa wire unaopitisha ndani
utachagua utakayoipenda wewe kulingana na ukuta/rangi/wallpaper yako
kisha utaenda hom kuficha nyaya zote ndani ya hiyo trunker yako ulonunua.
Hapo umemaliza kila kituDundo la Onkyo, hilo weka mbali na watoto braza. Mi siongei sana ila wanaojua sound watakuelekeza zaidi.
Mkuu, ni lugha tu za kibiashara hizo. Hujawahi ona karedio ka kichina kameandikwa eti 5000watts pmpo wakati kenyewe kiuhalisia ukihitaji kupima uwezo wake unaweza ambulia kama watts 10 tu. Ni utapeli mtupu.Dah...mie hapo kwenye watts ndiyo huwa pananichanganya sana...kwanini wasiwe wanafanya rating ya vyombo vyenye mifumo ya sauti kwa dB au ohms tu?
Sent using Beretta ARX 160
Hebu niambie hyu mnyama, ukifanikiwa kuwa nae itakuwaje, halafu ulisema sony wako nyuma sama upande bass, vip kuhusu sony xplod 1800watts peak power??Imagine having a sound ambayo unaeza i modify muda wowote unaeza itune utakavyo...
Kitu sipend kwenye mziki ulio complete ni kwamba kuna baadh ya vitu huezi fanya afu kumfanya mtu aridhike ni ngumu sana ...kama kwenye market naona some hi-fi zenye bufa ake system ya watts 750 LG naona ka spika za saut zina watts za kutosha but wamekubana kwenye bass kuwa na spika midrange inch 6.5 afu bass inch saba saba hata watts hasijatofautiana sana
Ila huu upande mwngine kuna mambo unaeza fanya eg kuamua kila spika icheze frequency zipi yan i base pale ..mfano hizi sub zetu za kichina unakuta au nyingi mpaka theatre kale ka sub unakuta kana system kanacheza as low as 40hz or 20hz to 250hz where milio yote mizito inasikika pale na tunajua gitaa pia linaeza piga as low as 50hz means milio pia ya gitaa itasikika kwenye spika la bass manake kuna mingurumo ya kila saa isio na tija kwenye spika la bass....milio ya gitaa haisaund vizuri sana
Ila huku pengine naeza set sub icheze dundo zito tu eg 20hz to 50hz tu where above hapo zitasikika kwenye spika za midrange ambazo zitabeba saut nene nene eg milio ya gitaa ngoma ambazo si nzito za kawaida
Ukiset hivo ukasikiliza nyimbo ya malaika band Ile umeondokaa huku nyuma hali yangu sio shwari uliniahd hatochel3wa atarudi [emoji16] nimesahau jina lake ..ila ile nyimbo jinsi ilivopigwa na kila kitu ukisikiliza kwenye mziki wa kawaida sub litakuwa linanguruma kila saa ila kwa setting hiyo unaeza kaa sekunde 50 sub imenyamaza unaeza jua waya umekatika kumbe muda huo zinapokezana midrange na full range speakers kutoa sauti za hiyo nyimbo ila inafika a point where mid haitoweza play frequency ndogo vile basi ndo hapo sub kubwa la nch 12 peak ya 1400w or 2000w linapokea linanguruma kama simba deep bass had unaisikia kwenye mishipa ya fahamu daaa asiwaambie mtu
Setting kama hiyo hakuna nyimbo utaichukia kila ukitaka futa afu usikilize hapo unaona aaa hapana acha iwepo....
Faida ingne unaeza nunua chombo kimoja kimoja pia unaeza fanya upgrade kirahisi sana leo unaeza kuja kwangu ukakuta nina nina mziki wa watts 800 kesho ukaja ukakuta nimeongeza sub moja na full range mbil tayar system imeongezeka...
Mfano complete system ya mutek iwe milion mfano huwez nunua labda spika mbil za saut na bass moja afu vingne siku ingne NO lazima ununue yote
Kingne ni kwamba kila kampuni iko fresh kwenye upande flan mfano me napenda sony component spika najua wanazo za sauti nzuri sana but kwenye bass wako nyuma sana hvo hapo ndo natafuta kampuni ingine mfano jbl,JL audio, pioneer, polks ama alpine wako njema sana
Nakadhalika
Ulimwengu huu mkuu utaplay hio cd?Nimependa hii ila reviews zake kuna hiyo feni a dvd player kuwa ina kelele ya feni sana.Hii kitu ni made in malaysia
Ushauri wakuu
Extrovert View attachment 1471453
Ni kweli mkuu ninaweza nisitumie sana lakini huwa nina tabia ya ku download movie huko yify za HD then kwenye flash na ku play kwenye hiyo dvd.Vipi ikiwa kupitia flash haita zalisha hizo kelele zinasosemwa kwenye ŕeviewsUlimwengu huu mkuu utaplay hio cd?
Hapana hutasikia kelele, na ukiwa na mziki kama huo sikushauri kudownload Yify tafuta movies zinazoendana Na sorround yako. Mfano kama ni sabufa 1 na spika 5 tafuta zinazoishiwa na 5.1Ni kweli mkuu ninaweza nisitumie sana lakini huwa nina tabia ya ku download movie huko yify za HD then kwenye flash na ku play kwenye hiyo dvd.Vipi ikiwa kupitia flash haita zalisha hizo kelele zinasosemwa kwenye ŕeviews
Sawa chief.asante kwa ushauri.Hapana hutasikia kelele, na ukiwa na mziki kama huo sikushauri kudownload Yify tafuta movies zinazoendana Na sorround yako. Mfano kama ni sabufa 1 na spika 5 tafuta zinazoishiwa na 5.1
Tofauti kati ya hii ya DZ650 Na DZ350 ni ipi mkuu ukiachana na urefu wa spika?Hapana hutasikia kelele, na ukiwa na mziki kama huo sikushauri kudownload Yify tafuta movies zinazoendana Na sorround yako. Mfano kama ni sabufa 1 na spika 5 tafuta zinazoishiwa na 5.1
Mkuu nimeaziangalia online kama zipo sawa, nikiwa kwenye pc naweza ziangalia zaidi side to side.Tofauti kati ya hii ya DZ650 Na DZ350 ni ipi mkuu ukiachana na urefu wa spika?
Na vipi haya ma Sea piano unayazungumziaje!
Sound enginierMkuu kwenye Presets za EQ weka "Multi" hii itaongeza clarity ya speaker na zote zitaongea.
Ukitaka enhanced bass weka "Standard"
Kwenye Presets za Sorround weka "Bongo" this is the best preset so far. Ina blend vizuri na Presets zote za Sorround.
Kisha ingia kwenye System setup specifically kwenye speaker setup.
Pandisha dB count toka 0 mpaka +6dB kwa kila speaker za front, rear, centre na Subwoofer. Utapata sound bora zaidi. Kwa wale wanaosema System haina sauti ya kutosha hapa ndipo mtego ulipo.
Unaweza pia kuset distance ya speaker toka zilipo mpaka kwenye makochi unapokaa ili ziweze ku calibrate sauti kulingana na umbali wa sikio lako.
Ukimaliza hayo njoo unishukuru.
yes banaSound enginier