Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Tukiachana na maswala ya mwonekano, huu ushauri wako wa kununua spika na power mixer naona ni bora zaidiMkuu mimi nadhani tafuta music system nzuri ya Sony. Hawa jamaa ktk music wa namna hii ni wazuri na inadumu. Ila tafuta hata ya laki 8-9
Kwa Sony hiyo music system ni uhakika. Ila kama wataka mziki hata wa Party hapo nunua fidek mayai moja ile ya doubke, kisha na powered mixer, hapo na mic za UHF utapata.
Mziki wa fidek ni hatari, au nunua zile single mbili, moja weka upande huu na nyingine upande huu, hapo majirani lazima wakutafute wajue mziki unaotumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mkuu kumbe uko humu?Hahah ntamshushia makala soon, amegusa uwanja wangu wa nyumbani kabisa yani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa nakula "Associe" ya Fally Ipupa inaingia mpaka ku moyo kupitia kinu murua cha SONY.
View attachment 1394168
Kwenye kitengo chako [emoji847]Hahah ntamshushia makala soon, amegusa uwanja wangu wa nyumbani kabisa yani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa nakula "Associe" ya Fally Ipupa inaingia mpaka ku moyo kupitia kinu murua cha SONY.
View attachment 1394168
unatumia kinu cha mtengenezaji gani
Mkuu budget kubwa sana unaweza ukajipa homework mwenyewe ukatengeneza hometheatre badala ya kununua pre made.Nimekasirika sana na haya ma radio ya mchina, nataka sound ya nzuri ya kijanja yenye kutoka mziki halisi kuanzia vyombo mpaka mkitobwa haja sio wa pwaaa pwaa pwaa
Naombeni mawazo yenu tafadhali ikiwezekana na location..
😂😂😂😂😂 YaniKwenye kitengo chako [emoji847]
What was the issue with that system mkuu? Ama ilikuwa na factory defect.Ya mwisho kununua ilikuwa ni Sony DAV DZ950, ilini disappoint sana, na sikununua kariakoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu ni kupata speakers zenye impedance na watts za kumatch na Amp ndio kazi. Inahitaji kuwa mjanja kidogo otherwise uki mis-match unaeza jikuta umekaanga Amp.Mkuu budget kubwa sana unaweza ukajipa homework mwenyewe ukatengeneza hometheatre badala ya kununua pre made.
Unanunua speaker la kulia, kushoto, subwoofer etc.unaweka kutokana na eneo lako.
Sawa SawaDah mkuu kumbe uko humu?
Hii wallpaper nilikuwekea Mimi umenikumbuka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni hatari, watts 2,400 ni nyingi sana ndani ya nyumba, huu mziki unapiga hata kweye party ya watu 200.Dundo la Onkyo, hilo weka mbali na watoto braza. Mi siongei sana ila wanaojua sound watakuelekeza zaidi.
Mziki wa fidek hizi spika ndogo za laki 5 ni nzuri sana, kwanza unafanya mziki ndani na nje pia.Tukiachana na maswala ya mwonekano, huu ushauri wako wa kununua spika na power mixer naona ni bora zaidi
Ingia instagram, watafute hawa jamaa : electrohub _Kenya, vitu walivyo navyo ni kwa wanaojua na kupenda muziki mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa wana vinu vile ambavyo waswahili hatujavizoea..Hawa jamaa na mimi niliwaona Instagram then siku moja nikabahatika kutembelea showroom yao, jamaa wana vitu classic hatari.
Wana ma Hi-Fi na ma speakers ya kila aina hela yako tu
Huo mziki mbona ni kama spika za kuuzia flashi kitaani 🤣🤣🤣🤣Mziki wa fidek hizi spika ndogo za laki 5 ni nzuri sana, kwanza unafanya mziki ndani na nje pia.
Una uhakika wa kukaa na mziki wako kwa miaka hata 10 na zaidi.
Unakuwa na mziki mkubwa saana, kiasi kwamba shughuli yote ya furaha ama msiba utautumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa nilikuwa siwajui ila nmeona leo, wako na ukali wa kila aina kina Polk audio, Denon na Klispch...all high end stuff ila bei zake wataziweza wakazi wa kanda ya Oysterbay na Masaki labda hamna hamna wa Mbezi Beach kidogo watafurukuta.Hawa jamaa na mimi niliwaona Instagram then siku moja nikabahatika kutembelea showroom yao, jamaa wana vitu classic hatari.
Wana ma Hi-Fi na ma speakers ya kila aina hela yako tu
Hizo watts ni peak sio rmsHii ni hatari, watts 2,400 ni nyingi sana ndani ya nyumba, huu mziki unapiga hata kweye party ya watu 200.
Sent using Jamii Forums mobile app