Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mwisho utausemea mpaka ukuta. Sikujua we ni mdukuzi namna hiiπππ macho hayana pazia jamani.
Nimesahau niliona hadi dining table iko π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho utausemea mpaka ukuta. Sikujua we ni mdukuzi namna hiiπππ macho hayana pazia jamani.
Nimesahau niliona hadi dining table iko π
HahaMwisho utausemea mpaka ukuta. Sikujua we ni mdukuzi namna hii
Ungezungumzia music murua unaoupata kupitia hako kaTecno nilokokuzawadia kwenye birthday yako.Haha
Sio hivyo bana. Nilikosa cha kuchangia kwenye music system nikaona nitambae na pazia ππ
.............Pic kwangu imekataa kufunguka mkuu nilitaka niione hii material.Hahah ntamshushia makala soon, amegusa uwanja wangu wa nyumbani kabisa yani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa nakula "Associe" ya Fally Ipupa inaingia mpaka ku moyo kupitia kinu murua cha SONY.
View attachment 1394168
Sasa mkuu hiyo Fidek nyumba si ataigeuza club???Mkuu mimi nadhani tafuta music system nzuri ya Sony. Hawa jamaa ktk music wa namna hii ni wazuri na inadumu. Ila tafuta hata ya laki 8-9
Kwa Sony hiyo music system ni uhakika. Ila kama wataka mziki hata wa Party hapo nunua fidek mayai moja ile ya doubke, kisha na powered mixer, hapo na mic za UHF utapata.
Mziki wa fidek ni hatari, au nunua zile single mbili, moja weka upande huu na nyingine upande huu, hapo majirani lazima wakutafute wajue mziki unaotumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
π watts ni buku moya 1000w!Ina WATT ngapi hiyo mkuu??
Hio kitu ni Sony DAV-DZ650 mkuu, google tu utaipata picha yake..............Pic kwangu imekataa kufunguka mkuu nilitaka niione hii material.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mkuu unajua keyboard yako inahifadhi maneno unayotumia ili badae ikupe suggestion au wakati mwingine inafanyika auto correctNimekasirika sana na haya ma radio ya mchina, nataka sound ya nzuri ya kijanja yenye kutoka mziki halisi kuanzia vyombo mpaka mkitobwa haja sio wa pwaaa pwaa pwaa
Naombeni mawazo yenu tafadhali ikiwezekana na location..
Yeah inakaa poa sana ikilala na ukuta, hata watengenezaji waliziandaa kwa dhumuni hilo ndio maana zikanyimwa tumbo!
Eh man, flat TV wake ukuta bana, zama za kuweka ma TV mezani ilikuwa enzi za kina maiko dudikofUnamaanisha chogo
Kameanguka sahivi hata speaker haipigi vizuri πUngezungumzia music murua unaoupata kupitia hako kaTecno nilokokuzawadia kwenye birthday yako.
Lete hiyo 2m yko nikupe hiyoNimekasirika sana na haya ma radio ya mchina, nataka sound ya nzuri ya kijanja yenye kutoka mziki halisi kuanzia vyombo mpaka mkitobwa haja sio wa pwaaa pwaa pwaa
Naombeni mawazo yenu tafadhali ikiwezekana na location..
mavitu kibaooooo, sasa mavitu yote hayo yakikaa geto si kutakuwa kama gereji? au dukani kwa fundi redio wa mtaani, mshauri kwa bajeti yake atafute h/theatre yenye option zote kuanzia radio mpaka Bluetooth na watts angalau 1000 afurahie maisha, sio akitaka kusikiliza redio lazima awe na testa za kufungulia waya ili abadili.Hiyo pesa inatosha tengeneza mziki wako where hautokuwa disappointed
Nunua car sub la inch 12 hivi kama ni pioneer or jbl or jl audio
Rms ya watts 300 kupanda had 600 ni nyingi sana ...
Sub moja na box lake
Kisha tafuta amp kama ni monoblock unaeza beba cha alpine bei ni nzuri kuliko pioneer ya saizi hiyo hiyo itasukuma tu bass
Kisha tafuta amp 4ch labda ...kisha itaftie speaker kama ni component speaker utafute na coexial pair watts zake altleast zigonge 70w rms
Box zake zipo kibao
Kisha radio na audio processor..na mambo madogo madogo
Result ni zaidi ya vi radio vya ajabu ajabu tena milion mbili haiishi....View attachment 1394544
Angalia tuliotengeneza ulaya kama wanazitundika ukutani mkuu. Kwanza yale mawaya kuchuruzika chini yakaonekana hayapendezi na wala mkao wa TV haupendezei.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa nilikuwa siwajui ila nmeona leo, wako na ukali wa kila aina kina Polk audio, Denon na Klispch...all high end stuff ila bei zake wataziweza wakazi wa kanda ya Oysterbay na Masaki labda hamna hamna wa Mbezi Beach kidogo watafurukuta.
Eh man, flat TV wake ukuta bana, zama za kuweka ma TV mezani ilikuwa enzi za kina maiko dudikof
[emoji38] watts ni buku moya 1000w!
167watts per channel...Ni sorround system ya 5.1!
mavitu kibaooooo, sasa mavitu yote hayo yakikaa geto si kutakuwa kama gereji? au dukani kwa fundi redio wa mtaani, mshauri kwa bajeti yake atafute h/theatre yenye option zote kuanzia radio mpaka Bluetooth na watts angalau 1000 afurahie maisha, sio akitaka kusikiliza redio lazima awe na testa za kufungulia waya ili abadili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh kwahiyo KiloWatt Moja kwa Lisaa, hiyo mashine utakiwi kuweka Luku ya kuunga unga