Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Mwisho utausemea mpaka ukuta. Sikujua we ni mdukuzi namna hii
Haha
Sio hivyo bana. Nilikosa cha kuchangia kwenye music system nikaona nitambae na pazia πŸ™ƒπŸ™ƒ
 
Hahah ntamshushia makala soon, amegusa uwanja wangu wa nyumbani kabisa yani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa nakula "Associe" ya Fally Ipupa inaingia mpaka ku moyo kupitia kinu murua cha SONY.
View attachment 1394168
.............Pic kwangu imekataa kufunguka mkuu nilitaka niione hii material.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Mkuu mimi nadhani tafuta music system nzuri ya Sony. Hawa jamaa ktk music wa namna hii ni wazuri na inadumu. Ila tafuta hata ya laki 8-9

Kwa Sony hiyo music system ni uhakika. Ila kama wataka mziki hata wa Party hapo nunua fidek mayai moja ile ya doubke, kisha na powered mixer, hapo na mic za UHF utapata.

Mziki wa fidek ni hatari, au nunua zile single mbili, moja weka upande huu na nyingine upande huu, hapo majirani lazima wakutafute wajue mziki unaotumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu hiyo Fidek nyumba si ataigeuza club???

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Nimekasirika sana na haya ma radio ya mchina, nataka sound ya nzuri ya kijanja yenye kutoka mziki halisi kuanzia vyombo mpaka mkitobwa haja sio wa pwaaa pwaa pwaa

Naombeni mawazo yenu tafadhali ikiwezekana na location..
Mkuu unajua keyboard yako inahifadhi maneno unayotumia ili badae ikupe suggestion au wakati mwingine inafanyika auto correct
 
Nimekasirika sana na haya ma radio ya mchina, nataka sound ya nzuri ya kijanja yenye kutoka mziki halisi kuanzia vyombo mpaka mkitobwa haja sio wa pwaaa pwaa pwaa

Naombeni mawazo yenu tafadhali ikiwezekana na location..
Lete hiyo 2m yko nikupe hiyo
IMG-20200321-WA0019.jpeg
IMG-20200321-WA0018.jpeg
IMG-20200321-WA0020.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo pesa inatosha tengeneza mziki wako where hautokuwa disappointed

Nunua car sub la inch 12 hivi kama ni pioneer or jbl or jl audio

Rms ya watts 300 kupanda had 600 ni nyingi sana ...


Sub moja na box lake

Kisha tafuta amp kama ni monoblock unaeza beba cha alpine bei ni nzuri kuliko pioneer ya saizi hiyo hiyo itasukuma tu bass

Kisha tafuta amp 4ch labda ...kisha itaftie speaker kama ni component speaker utafute na coexial pair watts zake altleast zigonge 70w rms

Box zake zipo kibao

Kisha radio na audio processor..na mambo madogo madogo

Result ni zaidi ya vi radio vya ajabu ajabu tena milion mbili haiishi....View attachment 1394544
mavitu kibaooooo, sasa mavitu yote hayo yakikaa geto si kutakuwa kama gereji? au dukani kwa fundi redio wa mtaani, mshauri kwa bajeti yake atafute h/theatre yenye option zote kuanzia radio mpaka Bluetooth na watts angalau 1000 afurahie maisha, sio akitaka kusikiliza redio lazima awe na testa za kufungulia waya ili abadili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa nilikuwa siwajui ila nmeona leo, wako na ukali wa kila aina kina Polk audio, Denon na Klispch...all high end stuff ila bei zake wataziweza wakazi wa kanda ya Oysterbay na Masaki labda hamna hamna wa Mbezi Beach kidogo watafurukuta.

Kwa budget ya mtoa mada anaweza pata mziki wa maana tu, mimi nilipata sound bar ya Polk audio kwa 1.7 ambayo mziki wake hizi home theater za Sony zinasubiri
 
mavitu kibaooooo, sasa mavitu yote hayo yakikaa geto si kutakuwa kama gereji? au dukani kwa fundi redio wa mtaani, mshauri kwa bajeti yake atafute h/theatre yenye option zote kuanzia radio mpaka Bluetooth na watts angalau 1000 afurahie maisha, sio akitaka kusikiliza redio lazima awe na testa za kufungulia waya ili abadili.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo mziki huo niliokutajia unataka fananisha na hometheatre??😁😁 We hauko sawa ..... hometheatre zina mziki wa kawaida sana sasa hizo mnazoita za watts 1000 ni swala la market tu ...unajua hizo watts zilivopatikana ?? Mziki wa watts 1000 true rms ushawah usikia? ...hizo zilizoandikwa zinatoa 167w per channel akili yako kale ka sub kanabeba hizo watts?? Je zile za pembeni zinabeba hizo watts ?? Ulishawah fungua ukakuta umewekewa spika za watts ngapπŸ˜‚πŸ˜‚ acha kudanganywa na manufacturer wao wanapiga hela we kaa ukisema watts 1000 huku distortion ni more than 10%
 
Back
Top Bottom