20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,186
- 7,184
Hhaa ukimaliza hapo unakuwa timamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhaa ukimaliza hapo unakuwa timamu sana
[emoji112]Jamaa wana vinu vile ambavyo waswahili hatujavizoea..
Mswahili akiweka sea piano lake geto anakuambia hakuna kinu cha kutoa mziki kama hiki..
Mwenyewe nimetengeneza wangu wa ofisini kwa kutumia car sub ya sony explod, mid mbili za lg nilizoziwekea capacitor za 25uf each kwa ajili ya kupata mchicha😂😂 na amp ya teac....hapa nasikiliza colonization ya madiluuHiyo pesa inatosha tengeneza mziki wako where hautokuwa disappointed
Nunua car sub la inch 12 hivi kama ni pioneer or jbl or jl audio
Rms ya watts 300 kupanda had 600 ni nyingi sana ...
Sub moja na box lake
Kisha tafuta amp kama ni monoblock unaeza beba cha alpine bei ni nzuri kuliko pioneer ya saizi hiyo hiyo itasukuma tu bass
Kisha tafuta amp 4ch labda ...kisha itaftie speaker kama ni component speaker utafute na coexial pair watts zake altleast zigonge 70w rms
Box zake zipo kibao
Kisha radio na audio processor..na mambo madogo madogo
Result ni zaidi ya vi radio vya ajabu ajabu tena milion mbili haiishi....View attachment 1394544
Hizo ni specs za Sony theate mkuu labda toa elimu kwanini wao wameweka hapo.Msitaje hizo watts kama mnatamka maswala ya Corona...
Unajua real 1000w acha na hizi ma music system wana rate tu kisoko zaidi maana washajua wingi wa watts unauza bidhaa...
If you ever notice seapiano ya watts 120 inapiga kuliko theatre la sony or lg la watts 300
Vivo hivo
We nikikuundia mfumo wa watts 1000
Where nitakuwekea sub 12inch ya 600rms
Then speaker nne za 100w each ambayo hutoweza fikisha saut hata kuikaribia nusu kwa matumiz ya nyumban ndo uje useme watts 2000 tena nyumban ,😁😁 nilipo kuna club ina candy mbili tu club nzima hizo ni za bass 1000w rms each na zingne za saut kawaida!! Pia kuna bar flan ina fidek moja la watts 800 sub linafumua hatari bia zinacheza tumboni afu vijana mnaongelea watts zisizo na uhalisia
Mara paaap tumemfahamu Extrovert [emoji3][emoji3]Dah mkuu kumbe uko humu?
Hii wallpaper nilikuwekea Mimi umenikumbuka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu unataka kuteketeza 2m kwenye mziki tu? Ushamaliza kulipa ada ya watoto? Nyumba ushaifanyia finishing yote? Wazazi vipi unawatumia hela ya kutumia? Vipi ushajenga nyumba nyingine ya kukupatia kodi?Usifanye maamuzi ukiwa umekasirika..
Duuu itakuwa kero sasa humo ndani. Ila ina advantage mana hata siku akijisikia kufanya kapati kadogo na washkaji analiamsha tuTukiachana na maswala ya mwonekano, huu ushauri wako wa kununua spika na power mixer naona ni bora zaidi
[emoji2] [emoji2] jamaa umeamua na wewe umuwashe jamaa japo kimojaEh man, flat TV wake ukuta bana, zama za kuweka ma TV mezani ilikuwa enzi za kina maiko dudikof
Nimekumiss eti mangi fanya basi kesho kunipigia simu kama siku ile kama upo mjini
unataka ya PAKwa hyo mkuu nikiwa na million 5-7, unaweza nipangia sound ya hatari inayosikika hta umbali wa mita 300??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni specs za Sony theate mkuu labda toa elimu kwanini wao wameweka hapo.
Huo mtwango ninao hapa umeshiba sana ingekuwa mara 2 je
Ebu tuelimishe labda kuna kitu sijakijua maana mchina & taiwan ni walewale
Hiyo pesa inatosha tengeneza mziki wako where hautokuwa disappointed
Nunua car sub la inch 12 hivi kama ni pioneer or jbl or jl audio
Rms ya watts 300 kupanda had 600 ni nyingi sana ...
Sub moja na box lake
Kisha tafuta amp kama ni monoblock unaeza beba cha alpine bei ni nzuri kuliko pioneer ya saizi hiyo hiyo itasukuma tu bass
Kisha tafuta amp 4ch labda ...kisha itaftie speaker kama ni component speaker utafute na coexial pair watts zake altleast zigonge 70w rms
Box zake zipo kibao
Kisha radio na audio processor..na mambo madogo madogo
Result ni zaidi ya vi radio vya ajabu ajabu tena milion mbili haiishi....View attachment 1394544
Naona mnyama Dz 650 au sio mkuu?Hahah ntamshushia makala soon, amegusa uwanja wangu wa nyumbani kabisa yani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa nakula "Associe" ya Fally Ipupa inaingia mpaka ku moyo kupitia kinu murua cha SONY.
View attachment 1394168
Okay babe am waiting for ur call [emoji847]Baby now I'm available,
So anytime baby...
Eeh baba, mnyama ananichapia utamu sana huyo! 🤣🤣🤣
Hawa jamaa ni noma sana kwwnye masuala ya sound systems. Na ndiyo maana huwezi kuta maduka mengi sana stock viyu vyao maana ni expensive kweli.
Lakini hapa si tunazungumzia muziki my love?Kwanini unachungulia nyumba za watu?
Hahah