Nikiwaambia msioe muwe mnasikia; kwa miezi 4 mwamba kaishi maisha magumu bila mshahara kumbe mkewe ana laki 8 ndani, na usaliti juu kaambulia

Storee nzuri ila mwandiko wa kingese asee
 
Eeeh bwana ehh ni Mimi Mr. Liverpool Tena.

Weekend hii tumempiga Manure na nyundo Kali sanaa mpaka kapoteana.!!
Sasa jiulize ile ilikua Old Traford, je wakija Anfield..!!!
Vijana mnashida sana, kwa hiyo matatizo ya John una Generalize kuwa ndoa ni mbaya ahaaa come on, huu ni ujinga uliopitiliza, Kwa hiyo umesikiliza upande mmoja ukajanna story zako za kimbea hapa.

Kwa maelezo yako ingawa yamekaa kipaahukuna sana sana, John naye ni Tatizo, hivi kwa akili yako Ukinunua gari then ukakuta hiyo gari ni mbovu utailaumu gari au wewe uchaguzi wako?
 
Tunapaswa tumsikilize nani kati ya MUNGU na wewe mleta mada Liverpool VPN ???

Mwasisi wa taasisi ya ndoa ni MUNGU. Ikiwa wanadamu wote wake kwa waume tukidumu katika UTIIFU wa Amri za MUNGU hayo matatizo ya kwenye ndoa hayatakuwepo.

Sasa wewe unapowaambia watu wasioe maana yake unawashawishi watu wavunje Amri za MUNGU kwa kushiriki zinaa.

Yeyote anayezivunja Amri za MUNGU atakutana na adhabu kali sana. Itakufaidia nini kuishi maisha ya zinaa halafu baada ya maisha haya ukaishia kwenye adhabu kali na mateso?????

Mwenye masikio na asikie!!!!!
 
Tatizo wanawake ni watu wachoyo sana, walafi mno, wana tamaa sana, roho mbaya, wana chuki, wabinafsi, watu wenye mashindano, wasiotulia, wachawi, wasiowafikiria wengine Na ndoa ni biashara kwao
Salute,wanawake wapumbavu sana halafu wanajihisi wanapower sana pale wanaume tunapowaambia sorry.

#No woman No cry.
 
Teh, jamaa alioa mke wa mwingine
 
Naona Mr. Livapuli anazidi kujipatia tu wafuasi yaan anasepa na kijiji cha JF kila day[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vijana mnashida sana, kwa hiyo matatizo ya John una Generalize kuwa ndoa ni mbaya ahaaa come on,
Braza kwamba ndoa zenye matatizo ndio hii ya kwanza kwako kuisikia?

huu ni ujinga uliopitiliza, Kwa hiyo umesikiliza upande mmoja ukajanna story zako za kimbea hapa.
Ngoja nikushauri jambo.

Siku zotee unapo toa hoja usiwe una "attack" mtoa mada, hebu jaribu kutoa hoja bila aina yoyote ya abuse "Kwani ungeandika bila kutumia neno umbea" UNADHANI USINGEELEWEKA?
Kwa maelezo yako ingawa yamekaa kipaahukuna sana sana,
By referring nilicho andika hapo juu; kama unahisi huna cha kuongea/kuandika na hoja ukubaliani nazo basi JUST AGREE TO DISAGREE basi.

Ila kutoa maneno ya abuse na kum attack mtoa mada SIO ISHU.

Just toa hoja yako ipingwe na hoja ila sio abuse.

John naye ni Tatizo, hivi kwa akili yako Ukinunua gari then ukakuta hiyo gari ni mbovu utailaumu gari au wewe uchaguzi wako?
Binadamu wanakawaida ya kuficha makucha yao ili wasijulikane tabia zao.

#YNWA
 
Nimekuelewa asante kwa kunishairi kiungwana, nitalifanyia kazi sorry kwa kukukwaza ndugu.
 
Kama wewe ni mwanaume kweli, I mean rijali basi kuna nati imechomoka[emoji848]
Mbona kaongea ukweli.Eleza kakosea wapii Sio kujudge bila reason.Nati imechomoka Kwa kipi Kwani hayaonekani kwenye jamiii
 
MKE NI ADUI UNAYEMMUDU ukioa usiyemmudu hilo ni TATIZO LINGINE.
 
Visa kama hivi vinatokea hata kwa wazinifu wa kawaida ambao hawajaoana.napenda kusema ubaya hauna kwao.






Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu inataka moyo sana kuishi nao! Yani kimsingi hamna haja ya kushangaa huyo mke jamaa alifosi yeye
Kuna Lecturer kasafiri majirani tunaona baada ya wiki mke kaleta mkenta ule sijui fuso kasomba kila kitu wamama wenzake wanamuuliza kulikoni ... Akawajibu tumehamishiwa singida Mme wangubkahamishiwa huko ...hahaahahaaaa siku ngapingapi kama tatu hivi Mme huyu hapa karudi kutoka alipoenda kumbe alienda workshop Uganda. Mke wake kasomba kila kitu na mifugo kauza kubabeki.
 
Yani mke kasafisha mjengo mubasharaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…