jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
PIC TAFADHALI!! ILI TUMUOMBEE APATE MUME MWEMAAiseee,sijui niseme ni kitu gani chema kipo katika ukoo wetu maana nimebarikiwa kuwa na wadada wazuri mpaka nikiwatazama....dah!
Huwa najiuliza hivi huyo kidume atakae muopoa sister halafu nikasikia amemtenda sijui itakuaje maana kunae chalii mmoja alimletea mashauzi sister angu mmoja tulipiga hadi akalazwa siku tano,,
SASA ATAKAE OA DADA AKAMUACHA ATAJUA KWANINI NI UKOO WA KIRIA. hasa huyu chalii naniiii....tunamuwinda sana
ujiandae kung'oka meno piaNiweke mimi hapo nikae kwa dada ako.. Am sure hutojuta kuwa na shem wa ukweli kama mie...
Haiwezi kutokea kula dada angu hata kama ni mrembo sanaUnapoelekea utaibuka na singo "haina udada mnakulaga."
Anyway, kwa ulichoandika inaonekana bado utoto unakusumbua.
Haiwez kua hvyoDuuuhh kazi kweli kweli.
Shemeji unamtafuta kupitia "ANDIKO" hili!?
Mkuu weka picha zao tukupe kura kama ni kweli wamesimamia ukucha!!Aiseee,sijui niseme ni kitu gani chema kipo katika ukoo wetu maana nimebarikiwa kuwa na wadada wazuri mpaka nikiwatazama....dah!
Huwa najiuliza hivi huyo kidume atakae muopoa sister halafu nikasikia amemtenda sijui itakuaje maana kunae chalii mmoja alimletea mashauzi sister angu mmoja tulipiga hadi akalazwa siku tano,,
SASA ATAKAE OA DADA AKAMUACHA ATAJUA KWANINI NI UKOO WA KIRIA. hasa huyu chalii naniiii....tunamuwinda sana