jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
Aiseee,sijui niseme ni kitu gani chema kipo katika ukoo wetu maana nimebarikiwa kuwa na wadada wazuri mpaka nikiwatazama....dah!
Huwa najiuliza hivi huyo kidume atakae muopoa sister halafu nikasikia amemtenda sijui itakuaje maana kunae chalii mmoja alimletea mashauzi sister angu mmoja tulipiga hadi akalazwa siku tano,,
SASA ATAKAE OA DADA AKAMUACHA ATAJUA KWANINI NI UKOO WA KIRIA. hasa huyu chalii naniiii....tunamuwinda sana
Huwa najiuliza hivi huyo kidume atakae muopoa sister halafu nikasikia amemtenda sijui itakuaje maana kunae chalii mmoja alimletea mashauzi sister angu mmoja tulipiga hadi akalazwa siku tano,,
SASA ATAKAE OA DADA AKAMUACHA ATAJUA KWANINI NI UKOO WA KIRIA. hasa huyu chalii naniiii....tunamuwinda sana