skate-board
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 490
- 577
Ndo maana yanamtoka maneno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana yanamtoka maneno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe...
Ahaaa kumbe ni Romantically thinkingNampenda sana mke wangu, natamani niwe nae na kifo tu ndo kitutenganishe, kama watoto wetu watakua wakubwa, basi bora tufe pamoja.
Ila nikisikia kesi kua wapenzi wanaachana hata baada ya miaka 20 ya ndoa, huwa naumia sana, naomba mungu Huyu binti asibadilike, niwe nae siku zote.
I real don't see ahead without her, romantically speaking.
Hahaha....naomba mungu Huyu binti asibadilike, niwe nae siku zote.
I real don't see ahead without her, romantically speaking.
I just wonder how wanaume tuna adopt hii fact tukiwa na ushahidi mkononi kuwaa tayari ameshatumika sana tu lakini tukichapiwa tunaumia.Your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
You are just a greed person who never felt love probably.
Original purpose is not the same to everyone"Out of original purpose" shida ujaelewa nimeandika nini, usipokuwa na original purpose ya ndoa, ndoa or anything is difficult.
Original purpose is not the same to everyone
Some marry for sex
some for children
Some for companionship
Others for money
And some mix or both,
May be you are new to the term “ original purpose” go and read again
Kule upareni kuna waliachana ndoa ina miaka 50. Hizi ndoa bwana. Hawakurudiana mpaka mume amekufa. Jamaa yangu 35 years eti wameachana tena vibaya mno. Jamaa kaharibikiwa maisha yuko upareni anakula kwa dada yake. Ndoa inaweza kukutoa nje ya msitari.Kuna mzee aliachana na mke wake yeye akiwa na kama 60+ na mke 50+, mpaka mzee anakata moto miaka ya karibu na 70 bado hawakurudiana.
Hizi ndoa jau sana sometimes, ilikua ni ajabu wanandoa wazee kuachana.
If you wont change the way you think, you gonna have a lot of problems.That narrow thinking
Kabisa mkuu, mtu mmoja anakuharibia almost kila kitu. Yeye anadunda tu mjini we unachapika kitaa.Kule upareni kuna waliachana ndoa ina miaka 50. Hizi ndoa bwana. Hawakurudiana mpaka mume amekufa. Jamaa yangu 35 years eti wameachana tena vibaya mno. Jamaa kaharibikiwa maisha yuko upareni anakula kwa dada yake. Ndoa inaweza kukutoa nje ya msitari.
Kuchapiwa hakuepukikiI just wonder how wanaume tuna adopt hii fact tukiwa na ushahidi mkononi kuwaa tayari ameshatumika sana tu lakini tukichapiwa tunaumia.
Waligawana mali?Kule upareni kuna waliachana ndoa ina miaka 50. Hizi ndoa bwana. Hawakurudiana mpaka mume amekufa. Jamaa yangu 35 years eti wameachana tena vibaya mno. Jamaa kaharibikiwa maisha yuko upareni anakula kwa dada yake. Ndoa inaweza kukutoa nje ya msitari.
We zombie, haujui?Ni matamanio mazuri ambayo yanazungumzwaga na honeymooner pekee(wasio na zaidi ya miaka 5-7) kwenye ndoa,
Mara nyingi visa vya mapenzi anaemhofia mwenzake ndiye huleta shida.
Ondoa negative thoughts kichwani,ishi vizuri na mwenzako na mheshimiane