Nikiwaza kua ndoa yaweza vunjika hata baada ya miaka 15, nakosa furaha

Ili hilo liwezekane mkuu jifanye mjinga siku zote za maisha yenu...though kuchokana kupo. Ila hakikisha unaziba masikio na kufumba macho.

KunA mambo ukiyafuatilia kwa umakini utayaona ukizidi kukodoa macho lazima mtagombana {fumba macho}

KunA mambo ukiyafuatilia sana kwa kuyaulizia ulizia utaambiwa haswa na ndugu zako. Watamponda sana mkeo maneno yao yatakufanya umchukie mkeo {ziba masikio}

Ukiona watu wazima wamedumu miaka mingi hadi wamezeheka pamoja ujue mmoja alijifanya mjinga "FAHARI WAWILI AWAISHI ZIZI MOJA"​
 
oiiiii nimkute na mwanaume mwingine ohoho mbona hapo hapo nakutema, mm hata ndoa ingefungwa na malaika wakiwepo , siku nikikufuma na mwanaume mwingine tuna separate vizuuuri.
 
Don't worry mkuu vitu vingi kwenye dunia vinatokea kwasababu ya msukumo wa nje hatuna control navyo we are all creatures and children of environment acquired charactestics and our surroundings saa zingine ni watu wa nje ndio huwa wanachangia mkuu so don't worry just enjoy.
 
Sure bro, i have to live the moment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…