Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba maelezo mahsusi juu ya hili. Na je hao utt hawana utapeli?Nenda utt weka kwenye mfuko wa liquidy fund unaweza pata kuanzia 70000 mpaka laki na usheee kwa mwezi na hela unaweza kutoa wakati wowote unaotaka ndani ya siku tatu hela inakuwa kwenye akaunti yako, achana na fixed deposity za benk mkui
Hao sio wakina kalindaNenda utt weka kwenye mfuko wa liquidy fund unaweza pata kuanzia 70000 mpaka laki na usheee kwa mwezi na hela unaweza kutoa wakati wowote unaotaka ndani ya siku tatu hela inakuwa kwenye akaunti yako, achana na fixed deposity za benk mkui
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapaNenda utt weka kwenye mfuko wa liquidy fund unaweza pata kuanzia 70000 mpaka laki na usheee kwa mwezi na hela unaweza kutoa wakati wowote unaotaka ndani ya siku tatu hela inakuwa kwenye akaunti yako, achana na fixed deposity za benk mkui
Mkuu hiyo UTT si ndio inayohusika na manunuzi ya vipande sijui?! Vipi umesema unaweza ipata hela yako ukiihitaji ikiwa ushafanya manunuzi ssa?Nenda utt weka kwenye mfuko wa liquidy fund unaweza pata kuanzia 70000 mpaka laki na usheee kwa mwezi na hela unaweza kutoa wakati wowote unaotaka ndani ya siku tatu hela inakuwa kwenye akaunti yako, achana na fixed deposity za benk mkui
Mwenzako hataki kufanya biashara anategemea aweke hela baadae atumie kwa matumizi mengineYani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Hii ni taasisi ya Serikali hawana mbambaaaHao sio wakina kalinda
Nenda TCB zamani TPB bank, wanatoa 11% annually. Yaani 0.9166kwa mwezi. Kwa hiyo 10M utapata 91,666 kwa mwezi.
Chagua mwenyewe.
Mmmh hamna iyo kitu NMB bank pekee yenye riba kubwa ya 6% per annum zingine ni paka 3% iyo ni fixed
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Mbona tunafanya mkuu miaka na miaka sasa hesabu na kujiamini tuHakuna biashara mzuri na inalipa kama ya kwenye makaratasi ha ha ha
Yan hapo ni very smooth, sasa nenda kafanye uone balaa lake
Mtandaoni sio wote wanaoweka mkuu, wanaogopa ushindani,Fanya tafiti kila benki acha uvivu, ama lah search mtandaoni kila benki na rate yao.
Ukiendelea kukaa hivi hivi hiyo hela itakata huku hujafanya lolote la maana.
Mbona tunafanya mkuu miaka na miaka sasa hesabu na kujiamini tu
Nielekeze vizuri ndugu yanguYani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think