Benki hawana faida ya kuelewekaFanya tafiti kila benki acha uvivu, ama lah search mtandaoni kila benki na rate yao.
Ukiendelea kukaa hivi hivi hiyo hela itakata huku hujafanya lolote la maana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Benki hawana faida ya kuelewekaFanya tafiti kila benki acha uvivu, ama lah search mtandaoni kila benki na rate yao.
Ukiendelea kukaa hivi hivi hiyo hela itakata huku hujafanya lolote la maana.
Biashara Sio kwa ajili ya Kila mtu.Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Ukiingia field ni story tofaut kabisaHata wale wa biashara ya milion kumi Kwa mwez ya watermelon kule kigamboni unadhani hawana mashamba? Ha ha ha wanayo vizuri Tu
Nenda wewe sasa ukalime ndio utaona balaa lake
Aombe tu asikutane na wazee wa mitandao tuBro mi ushauri wng wekeza kwenye biashara za miamala ya fedha,tafuta lokesheni iliyo busy sana utapiga sana makamisheni na mtaji wako utabakia pale,pale,mil10 ni mtaji mzuri sana
🤣😅🤣😅 Wabongo bhaaaana... Mnapenda kurahisisha maisha ya utafutaji kwa kutozingatia kanuni uhalisia na mazingira...10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Punguza ujuaji usio na faida... Soma ueleweYani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Hesabu za haraka boda boda moja kwa siku faida 3055 kwa mwezi 91700 biashara kichaa10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Ukiingia field ni story tofaut kabisa
Akikaa na wenye uzoefu watampa mbinu mkuuAombe tu asikutane na wazee wa mitandao tu
Milion 10 kwa return ya 70k kwa mwezi dah, nomaYani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Mwenye hela hana huo mpango yeye anataka kujua Benk gani ina riba nzuri …Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Majamaa kawa ninyi tunawaita motivational speaker yani mnalipwa kushawishi watu vitu visivyo na uhalisia kabisaaaaaaa😅😅10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Kama hujui kitu jaribu kuulizia mzee. Kupinga kitu bila kufahamu ni matumizi mabaya ya akili na hekima ambavyo tumepewa na Mungu bure.
Achana na bank , kanunue government bonds , UTTWataalamu wa bank je naweza kuweka deposit kiasi cha hela kama 10m halafu kila mwezi bank inanilipa riba? Na je watanilipa kiasi gani kila mwezi? Wakati huo hela yangu ipo tu bank ?
Achana na bank , kanunue government bonds , UTT
We mpumbav mi naongea nlichoweka sio wewe msikia story niambie wewe bank gan inatoa riba zaid ya 6% ? Mimi nitume fixed documents umu na wewe utume unaongea lugha za kifala wakat Huna experience mzee
We mpumbav mi naongea nlichoweka sio wewe msikia story niambie wewe bank gan inatoa riba zaid ya 6% ? Mimi nitume fixed documents umu na wewe utume unaongea lugha za kifala wakat Huna experience mzee