Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Biashara Sio kwa ajili ya Kila mtu.
Biashara uendana na nyota
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
🤣😅🤣😅 Wabongo bhaaaana... Mnapenda kurahisisha maisha ya utafutaji kwa kutozingatia kanuni uhalisia na mazingira...
 
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Punguza ujuaji usio na faida... Soma uelewe
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Hesabu za haraka boda boda moja kwa siku faida 3055 kwa mwezi 91700 biashara kichaa
 
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Milion 10 kwa return ya 70k kwa mwezi dah, noma
 
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Mwenye hela hana huo mpango yeye anataka kujua Benk gani ina riba nzuri …
 
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think

Nafikiri jina lako ni tofauti na huyo mtu mwingine? Yeye hawezi uza bra na hataki stress
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Majamaa kawa ninyi tunawaita motivational speaker yani mnalipwa kushawishi watu vitu visivyo na uhalisia kabisaaaaaaa😅😅
 
Kama hujui kitu jaribu kuulizia mzee. Kupinga kitu bila kufahamu ni matumizi mabaya ya akili na hekima ambavyo tumepewa na Mungu bure.

We mpumbav mi naongea nlichoweka sio wewe msikia story niambie wewe bank gan inatoa riba zaid ya 6% ? Mimi nitume fixed documents umu na wewe utume unaongea lugha za kifala wakat Huna experience mzee
 
We mpumbav mi naongea nlichoweka sio wewe msikia story niambie wewe bank gan inatoa riba zaid ya 6% ? Mimi nitume fixed documents umu na wewe utume unaongea lugha za kifala wakat Huna experience mzee

Mtu mwenyewe hekima hatoi matusi kinywani mwake bali asiye na utashi komavu. Haya soma hapa chini kisha urudi tena
IMG_0929.jpg
 
We mpumbav mi naongea nlichoweka sio wewe msikia story niambie wewe bank gan inatoa riba zaid ya 6% ? Mimi nitume fixed documents umu na wewe utume unaongea lugha za kifala wakat Huna experience mzee

Jaribu kufuatilia ndugu yangu kama unaishi sehemu inayostahili mtu kuishi basi fika bank ya TCB uulizie juu ya hili kisha urudi hapa na matusi yako. Kwa taarifa yako hata CRDB walikuwa na FDA inayotoa riba ya 9% inaitwa Mzigo Flex. Sasa wewe unashupaza shingo na kutoa matusi pasipo kujua mambo
 
Back
Top Bottom