Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

We mpumbav mi naongea nlichoweka sio wewe msikia story niambie wewe bank gan inatoa riba zaid ya 6% ? Mimi nitume fixed documents umu na wewe utume unaongea lugha za kifala wakat Huna experience mzee
Mkuu upo?

Jamaa kaweka kweli fixed documents. 50,000,000 cash muamala wake 👇👇👇.

IMG_0929.jpg


Tunakusubiri na wewe uweke ili mpambano unoge.

Kwa mkwara na matusi uliyokuja nayo natumaini hutaikimbia hii mechi 😁😁😁
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Hakuna biashara nzuri kama ya kwenye makaratasi,yaani kila kitu kinaserereka kiulani,ingia field sasa ndio utakiona cha moto...
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Dahh, mkuu umeniokoa kimazo... Asante sana mkuu
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Unafungua
Unafungua
Unafungua? Eeeeeeh?

Akili makalio
 
Pombe hizi kama smart gin au double kick au pub mzee
Bar tena kubwa kwa 10 million unafungua mtaji wa pombe za kumwaga hauzidi 1 million zingine ni za matengenezo ya jengo n.k

N.B sio mjini ndio maana nikasema aseme nimpe location apige hela kwa miaka miwili zikimtosha apite kushoto hatalipia hata senti 1 kwa serikali
 
Mkuu upo?

Jamaa kaweka kweli fixed documents. 50,000,000 cash muamala wake [emoji116][emoji116][emoji116].

View attachment 2660490

Tunakusubiri na wewe uweke ili mpambano unoge.

Kwa mkwara na matusi uliyokuja nayo natumaini hutaikimbia hii mechi [emoji16][emoji16][emoji16]

Kaka nimesema kwa mwaka ni 6% wewe umeweka kwa miaka miwil 11% sasa apo ambacho huelewi nn ? Ina mana kwa hao TCB kwa mwaka riba yao ni 5.5% mkuu...
 
Mkuu upo?

Jamaa kaweka kweli fixed documents. 50,000,000 cash muamala wake [emoji116][emoji116][emoji116].

View attachment 2660490

Tunakusubiri na wewe uweke ili mpambano unoge.

Kwa mkwara na matusi uliyokuja nayo natumaini hutaikimbia hii mechi [emoji16][emoji16][emoji16]

Hiii match ndogo sana kwangu nitakuwekea yangu nipe muda
 
Mkuu upo?

Jamaa kaweka kweli fixed documents. 50,000,000 cash muamala wake [emoji116][emoji116][emoji116].

View attachment 2660490

Tunakusubiri na wewe uweke ili mpambano unoge.

Kwa mkwara na matusi uliyokuja nayo natumaini hutaikimbia hii mechi [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji23][emoji23][emoji23]

Hii ni miaka miwili umekurupuka mzeee mi nlishakwenda apo kipind inaitwa TIB mzee riba yao ikawa 5.5% per annum [emoji28][emoji28]


Acha kukurupuka mzee
 
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Mkuu kama hutojali nambie zaidi kuhusu hizi bra
 
Nbc ulikwenda na kiasi gan mzee? Mana mi walinambia 4%
Nilichokuja kugundua wale jamaa wa mabenki wako flexible sana inapokuja issue ya pesa hasa inategemeana wako desperate kiasi gani kulingana na mahitaji ya pesa wakati huo. Ilifikia kipindi wakawa wananipigia simu nikiwa home ili nisighairi kuweka kwao toka NMB.

Wakati naenda kusaini cheti/mkataba wangu niliona kwenye daftari watu wana rate tofauti tofauti. Kuna mdau aliweka 100M kwa 4% nikashangaa sana.
 
Back
Top Bottom