Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Jaribu kufuatilia ndugu yangu kama unaishi sehemu inayostahili mtu kuishi basi fika bank ya TCB uulizie juu ya hili kisha urudi hapa na matusi yako. Kwa taarifa yako hata CRDB walikuwa na FDA inayotoa riba ya 9% inaitwa Mzigo Flex. Sasa wewe unashupaza shingo na kutoa matusi pasipo kujua mambo

TCB ama TIB zamani riba yao per year ni 5.5 sasa ulichonibishia sijui ni kipi mzee wangu
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Motivational speakers bwana,wazuri sana kwenye makaratasi,matikiti 5000 tufanye kila tikiti uuze 1000,utapata pesa kiasi kikubwa,blah blah mingi kwenye makaratasi,kazi ni kuhamisha haya maandishi yako kwenye uharisia
 
Nilichokuja kugundua wale jamaa wa mabenki wako flexible sana inapokuja issue ya pesa hasa inategemeana wako desperate kiasi gani kulingana na mahitaji ya pesa wakati huo. Ilifikia kipindi wakawa wananipigia simu nikiwa home ili nisighairi kuweka kwao toka NMB.

Wakati naenda kusaini cheti/mkataba wangu niliona kwenye daftari watu wana rate tofauti tofauti. Kuna mdau aliweka 100M kwa 4% nikashangaa sana.

Yes we umenikubusha kitu kipind Nipo field bank moja hiv walikua na shida sana na deposit kipind hicho ivo walipandisha sana kiwango cha riba wakat huo na kwa kiwango flan cha pesa
 
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Mzeya nielekeze wapi naweza pata mzigo wa chupi na bra na mie nianze hiyo biashara nina mtaji wa laki sita
 
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Mwambie anikumbushe.asubuhi nimtumie vipeperu ndio atajua😂😂😂😂
 
Nenda utt weka kwenye mfuko wa liquidy fund unaweza pata kuanzia 70000 mpaka laki na usheee kwa mwezi na hela unaweza kutoa wakati wowote unaotaka ndani ya siku tatu hela inakuwa kwenye akaunti yako, achana na fixed deposity za benk mkui
naomba muongozo kwa hili
 
Hio ni 50M na sio 10M...na ni ya 24 months sio 12 months. Kwa kiasi chake 10M kwa mwaka interest rate inarange 2.5 mpk 5 tu
Mkuu ingia branch yeyote ya TCB ni 11% per annum lakin mkataba unakua wa miaka 2 kwa hiyo kwa miaka 2 utalamba 22% utaondoa asilimia 10 ya gawio lote kama kodi. Hivi vitu mbona rahisi hata ukipiga huduma kwa wateja
 
Mkuu biashara ya boda boda anae pata faida ni dereva. Twende taratibu utanielewa. Tufanye umenunua piki piki hadi inaingia barabarani umetumia 2.5m ,hesabu kwa siku elfu 10 kwa mwezi laki tatu kwa mwaka hadi mkataba unaisha utakua umeingiza 3.6m .sasa toa gharama uliyo nunulia hiyo piki piki una baki na 1.1m , Gawanya hiyo pesa kwa miez 12 uone kwa mwezi unapata kiasi gani na ukipata kwa mwezi gawa kwa siku 30 uone kwa siku moja unapata kiasi gani. Hapo utajua wewe uliye wekeza 2.5m na dada anae saidia mama ntilie na kulipwa buku 3 mpo sawa
[emoji3578][emoji3578]
 
Back
Top Bottom