billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,443
- 1,656
Mwambie huyo,biashara Siyo kama mnavyo dhani,mziki unaanza boda boda inaibiwa au anakimbia nayo....Hakuna biashara mzuri na inalipa kama ya kwenye makaratasi ha ha ha
Yan hapo ni very smooth, sasa nenda kafanye uone balaa lake