Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Mkuu habari
 
Yani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****

Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
We nawe tumia mpososo wako vizuri, we hiuo biashara ya vyupi hadi ushinde hapo, utt unaweka mzigo unasepa mwisho wa mwezi unakinga debe lako, mara waaa 70K
 
mkuu jifunze kwenye mambo yako yote usitangulize fikra za kufeli mbele, jiamini omba mungu, waswahili wanasema awazalo mjinga..... Utamalizia
Mimi nafanya biashara za usafirishaji ,najua changamoto zake.Umepiga hesabu kama vile:- hakuna service,dereva haumwi,mabao ya trafki,Kula mzinga(Ajali) n.k
Biashara zote Zina changamoto zake,Siyo kama mnavyo dhani au Kupiga hesabu kwenye karatasi.
 
Mimi nafanya biashara za usafirishaji ,najua changamoto zake.Umepiga hesabu kama vile:- hakuna service,dereva haumwi,mabao ya trafki,Kula mzinga(Ajali) n.k
Biashara zote Zina changamoto zake,Siyo kama mnavyo dhani au Kupiga hesabu kwenye karatasi.
hatujakataa hilo mkuu ila ninachokataa mimi binafsi ni kutanguliza mikosi kwenye biashara kwasabab ndio mwanzo wa kukata tamaa
 
Changamoto kila sekta zipo hazikwepeki, ila ukija ukaanza kunitajia majanga na mabalaa ya huko barabarani unamaanisha nin? Si nisifanye au? Kwan wewe na wengne munaofanya hamuogopi hzo fain, kuibiwa? Chombo kupata ajali? Mbona hamuachi? Basi nae aje tu na atumie hzo changamoto kujifunza.
 
hatujakataa hilo mkuu ila ninachokataa mimi binafsi ni kutanguliza mikosi kwenye biashara kwasabab ndio mwanzo wa kukata tamaa
Hakuna anayependa yamkute ,ila yapo na yanatokea.Kama Ningekuwa mwoga basi nisingekuwa na biashara ya usafirishaji.Matarajio.yasiwe makubwa kupitiliza...Maisha ni kujaribu na kuwa hodari na shujaa mwingi.
 
Changamoto kila sekta zipo hazikwepeki, ila ukija ukaanza kunitajia majanga na mabalaa ya huko barabarani unamaanisha nin? Si nisifanye au? Kwan wewe na wengne munaofanya hamuogopi hzo fain, kuibiwa? Chombo kupata ajali? Mbona hamuachi? Basi nae aje tu na atumie hzo changamoto kujifunza.
Kama mwanaume,utakiwi kuwa mwoga wakujaribu na hata ukianguka unabidi urudi tena kwenye mapambano.Mimi nachoongea matarajio yawe Kwa kiasi .. mtu anajua kuwa biashara ya bajaji itamletea 20000 Kila siku, lakini Kuna siku haifikii hiyo hesabu au Kuna service za kufanya n.k

Daima usiache kujaribu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Hii ni miaka miwili umekurupuka mzeee mi nlishakwenda apo kipind inaitwa TIB mzee riba yao ikawa 5.5% per annum [emoji28][emoji28]


Acha kukurupuka mzee
Unanijibu mimi tena?

Kamjibu mliyekuwa mnatunishiana naye misuli huko...

Mi nachochea moto tu ili zipigwe 😁😁😁

Au jamaa amekuogopesha na muamala wa 50 million?

...na wamesema hapo kwenye risti yake kwamba rate ni 11% paid monthly na period ni 24 months (2yrs). Anyway haya ni mambo yenu matajiri mtajuana huko ila kwa mikwara uliyoingia nayo nilifikiri utamnyorosha na vimilioni vyake 50 mapema tu 😁😁😁
 
Una nijibu mimi tena?

Kamjibu mliyekuwa mnatunishiana naye misuli huko...

Mi nachochea moto tu ili zipigwe [emoji16][emoji16][emoji16]

Au jamaa amekuogopesha na muamala wa 50 million?

...na wamesema hapo kwenye risti yake kwamba rate ni 11% paid monthly na period ni 24 months (2yrs). Anyway haya ni mambo yenu matajiri mtajuana huko ila kwa mikwara uliyoingia nayo nilifikiri utamnyorosha na vimilioni vyake 50 mapema tu [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji28]
 
Mkuu biashara ya boda boda anae pata faida ni dereva. Twende taratibu utanielewa. Tufanye umenunua piki piki hadi inaingia barabarani umetumia 2.5m ,hesabu kwa siku elfu 10 kwa mwezi laki tatu kwa mwaka hadi mkataba unaisha utakua umeingiza 3.6m .sasa toa gharama uliyo nunulia hiyo piki piki una baki na 1.1m , Gawanya hiyo pesa kwa miez 12 uone kwa mwezi unapata kiasi gani na ukipata kwa mwezi gawa kwa siku 30 uone kwa siku moja unapata kiasi gani. Hapo utajua wewe uliye wekeza 2.5m na dada anae saidia mama ntilie na kulipwa buku 3 mpo sawa
Bodaboda no kupoteza muda tuu
 
Nyie ndio ambao hufungua biashara na kuweka vibahasha vya kiganga au stika za manabii.

Kanuni za biashara brother ni rahisi sana wala sio za business school.
Amini nilikuwa kama wewe huu mwaka wa nne toka nijiingize kwenye mabiashara tofauti tofauti hadi natamani kuacha kazi
Tupe somo mkuu. Beginers tufatilia huu uzi kwa makini sana.
 
Una nijibu mimi tena?

Kamjibu mliyekuwa mnatunishiana naye misuli huko...

Mi nachochea moto tu ili zipigwe [emoji16][emoji16][emoji16]

Au jamaa amekuogopesha na muamala wa 50 million?

...na wamesema hapo kwenye risti yake kwamba rate ni 11% paid monthly na period ni 24 months (2yrs). Anyway haya ni mambo yenu matajiri mtajuana huko ila kwa mikwara uliyoingia nayo nilifikiri utamnyorosha na vimilioni vyake 50 mapema tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Mwamba kaleta risiti 50m kawapa watu kwa mwezi wanampa 412,500 hesabu nyepesi tu.
 
Bar tena kubwa kwa 10 million unafungua mtaji wa pombe za kumwaga hauzidi 1 million zingine ni za matengenezo ya jengo n.k

N.B sio mjini ndio maana nikasema aseme nimpe location apige hela kwa miaka miwili zikimtosha apite kushoto hatalipia hata senti 1 kwa serikali
Tupe wengine hii tunaweza kufanya
 
Back
Top Bottom