Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Mwamba haeleweki. Alivyoingia kwa mikwara miksa na matusi nikajua Dangote kaingia sasa. Kamtisha jamaa aweke fixed account documents jamaa chap kashusha muamala wa 50 million cash (11% interest paid monthly for 2 yrs). Na yeye badala ajibu mapigo anaongea tu yaani....

JF bana! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji28][emoji28]
 
Hahahaaa!! Maneno mengiiii weka na ww ushahidi wa mzigo mezani hapa.oh mara kiingeleza kingi kiingeleza bila pesa sw n makelele tu.

[emoji28]

Kwa kifupi aliyetaka ushaur keshasikia TCB wanatoa 11% aende alete mrejesho

Mi Nipo safarin ningekua home ningeleta mrejesho wa slip ya bank sms kwenye simu sina...
 
We nawe tumia mpososo wako vizuri, we hiuo biashara ya vyupi hadi ushinde hapo, utt unaweka mzigo unasepa mwisho wa mwezi unakinga debe lako, mara waaa 70K
We papai kweli yani.
Kyupi aliyekwambia ukiuza kwa kukaa eneo moja utauza nani?

Wewe hapo ulipo masikini na utakufa masikini MARK THIS
Elfu 70 ni pesa ya kuingiza mwezi mzima kmavsjsvkac wewe
 
Mwamba haeleweki. Alivyoingia kwa mikwara miksa na matusi nikajua Dangote kaingia sasa. Kamtisha jamaa aweke fixed account documents jamaa chap kashusha muamala wa 50 million cash (11% interest paid monthly for 2 yrs). Na yeye badala ajibu mapigo anaongea tu yaani....

JF bana! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wabongo wengi tunapenda kubisha kuliko kujifunza mwisho tunapishana na maarifa muhimu.
 
Mzeya nielekeze wapi naweza pata mzigo wa chupi na bra na mie nianze hiyo biashara nina mtaji wa laki sita
Kokote uliko kanunue bra za mtumba moja utapata kwa 700 - 1000 wakiwa wanafungua mzigo hii ni kwa mikoani

Ila ukikuta washazitundika utapata kuanzia 2k
Vyupi nunua vya les material alafu usiende kuweka dukani wateja wakufate biashara matangazo (sijasema ufanye umachinga)
 
[emoji28]

Kwa kifupi aliyetaka ushaur keshasikia TCB wanatoa 11% aende alete mrejesho

Mi Nipo safarin ningekua home ningeleta mrejesho wa slip ya bank sms kwenye simu sina...
Mkuu unaweza ukawa umeweka kwa 5% au 6% lakini hivi vitu kama biashara nyingine lazima ufanye research ili upate value 4 money, Sisi wengine hatuwezi kununua kitu eg. TV duka la kwanza tu mpk tuzunguke tuone nafuu wapi japo lile la kwanza ndio linaweza kuwa nafuu. Nina uhakika akienda TCB na bank nyingine ataleta mrejesho hapa. Kifupi asiwe mvivu aingie kila website ya bank achukue namba apige kisha hawaulize hana haja ya kuacha shughuli zake na kwenda kwenye branch direct.
 
Kwa aliye na ufahamu mzuri na UTT naomba anifahamishe kidogo.
Ikitokea jamaa kaweka hiyo 10M kwa mwezi gawio kiasi gani ili tulinganishe na fixed za mabenki yenye rate nzuri?
 
Kakaa umeongea kwa sautii kalii mnooo na ubayaa Hiyo piki piki mwisho wa mkataba anachukua boda mwenyeweee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmh hizi biasharaa ngumu sana aiseee...
Biashara zote zingeendeshwa kama biashara ya bodaboda aisee ingekuwa ni kituko 😃 huu mfumo sijui ulitokea na wapi
 
Wataalamu wa bank, je naweza kuweka deposit kiasi cha hela kama 10m halafu kila mwezi bank inanilipa riba? Na je watanilipa kiasi gani kila mwezi? Wakati huo hela yangu ipo tu bank?
Hiyo hela ni ndogo sana kwa fixed deposit. Sijui una umri gani, kama ni kijana kuweka fixed deposit ni uvivu wa kufikiri. Changamsha akili fanya biashara huo ni mtaji tosha.
 
Mkuu interest rate inapigwa per annum ila period ni 2 years hivi vitu mbona rahisi tu.

Achana na huyu kichaa muokota makopo, hana akili kichwani huyu. Ajifanya mjuaji wakati akili kichwani sifuri, hata umwambieje yeye anajifanya kujua yote... mara nyingi nimemwambia afike TCB auulizie hataki kazi ni kuendeleza ligi kipumbavu tu. Amenikera sana huyu taahira.
 
IMG_0668.jpg

IMG_0669.jpg
 
Back
Top Bottom