Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Hii nayo ina machangamoto yake kibao tu ila inakutoa ukiwa seriousMkuu biashara ya vinywaji mkuu Ni aina gan I wish nipate uzoefu wa hii biashara mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayo ina machangamoto yake kibao tu ila inakutoa ukiwa seriousMkuu biashara ya vinywaji mkuu Ni aina gan I wish nipate uzoefu wa hii biashara mkuu.
upo kundi gani hapo mkuuKuna Masikini,Tajiri na maisha ya kati
Masikini:- Akipata hela matumizi tu hela haikai.
Maisha ya kati:- Hawa mara nyingi huishi maisha ya uigizaji lakini waoga wa kujaribu kufikia utajiri. Na waoga kurudi kwenye umasikini
Tajiri:- Akipata hela anataka imzalishie hela, hutumia njia ya kuwekeza ili azidi kuwa tajiri.
Huo niliotoa ni mfano tu sijasema anunue bodaboda au nimeandika anunue bodaboda??. Kuna njia nyingi sana tu za kujitoa kimaisha kama mamantilie ana dada saidia unajua kama anapata faida kwa uwekezaji wa dada saidia. Mfano Bakhresa ana wauza ice cream,mikate,juice na maji lakini ana viwanda, boti na apartment.
kuuza sabuni haimaanishi hawana hizo bondMatajiri kama nani brother?
Mo huyu anayeniuzia sabuni ya mvhe cha Taifa kwa shilingi 250?
Au ya unga ya safi kwa shilingi 200?
Au bakhresa wa maandazi ya 100?
Mtu anayelipwa laki nane baada ya makato hafikishi 10 million kwa mwaka tena walimu ndo kabisaa hata posho hamna alafu ukabwage hela huko watu wa UTT wafanyie biashara?
Shukrani sana mkuu.UTT riba ni 10% kwa mwaka fixed ,kwa mtu wa 10M kwa mwez gawio linacheza kati ya 83,000/- hapo cash kwa mwaka ni 1M gawio
Kuweka BOT kima cha chini sh ngapi???wanapokea mtu personally ????Matajiri wenye pesa nyingi ndo wana-park pesa zao huko UTT ama ama bond za BOT. Sisi wengine tunaona hasara tu kuweka pesa huko
Soma na elewa "ANATAKA FAIDA" sasa elfu 70 UTT kwa mwezi mzima hiyo biashara ya pipi?kuuza sabuni haimaanishi hawana hizo bond
Kuna kitu inaitwa Kausha damu microfinance za mitaani hizi wakikupa 400 wanakata 15 wanakupa 385 na riba ya 18% jumla utawarejeshea 472.kuuza sabuni haimaanishi hawana hizo bond
Watu binafsi wanapokea ndio na kima cha chini inategemeana na mnada wa hisa zao kwa wakti huo. Ila hata 500k unaweza kuweka ingawa return itakuwa ndogo sana labda uwe unafanya kama uwekezaji wa muda mrefu sana.Kuweka BOT kima cha chini sh ngapi???wanapokea mtu personally ????
TCB, NMB, DCB Wafate kwenye branch zao au piga huduma kwa wateja mkuu uje utoe ushahidi, NMB ni chini ya 10 hao wengine 10-12 inategemea na muda na amountMkuu tusaidie ni bank gani hizo zenye kutoa hizo rate za mpaka 11%
hata sikuelewiSoma na elewa "ANATAKA FAIDA" sasa elfu 70 UTT kwa mwezi mzima hiyo biashara ya pipi?
Hao UTT wataingiza kiasi gani kwa hiyo pesa yake au unafikiri wanalaza na wenyewe?
For the sake of knowledge between UTT liquid fund and TCB. what is the best to go with ?Mkuu unaweza ukawa umeweka kwa 5% au 6% lakini hivi vitu kama biashara nyingine lazima ufanye research ili upate value 4 money, Sisi wengine hatuwezi kununua kitu eg. TV duka la kwanza tu mpk tuzunguke tuone nafuu wapi japo lile la kwanza ndio linaweza kuwa nafuu. Nina uhakika akienda TCB na bank nyingine ataleta mrejesho hapa. Kifupi asiwe mvivu aingie kila website ya bank achukue namba apige kisha hawaulize hana haja ya kuacha shughuli zake na kwenda kwenye branch direct.
Sana....Kuna mtu nilimpa mchongo 2014 mtaji ilikuwa million 2 tu lakini mwaka ilikuwa tupate million 10 hadi 50. Jamaa alinicheka sana alinambia mwanangu mtoto wa kishua wewe unataka kufanya biashara ya kimaskini hio. Mwaka 2020 jamaa amekuja Oohh nilikudharau ile biashara ulosema kuna mwanangu kajenga na sasa ana Harrier anatutesa mtaani tu. Nilinyamaza kimya nikatabasamu na kuondoka
Watanzania wengi waoga kujaribu biashara
Kama umewahi pigana utaelewa kilichotokea.Mwamba haeleweki. Alivyoingia kwa mikwara miksa na matusi nikajua Dangote kaingia sasa. Kamtisha jamaa aweke fixed account documents jamaa chap kashusha muamala wa 50 million cash (11% interest paid monthly for 2 yrs). Na yeye badala ajibu mapigo anaongea tu yaani....
JF bana! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Njoo nikupe odds 2 ,upige 20M achana na bank ni profit organization hawapo Kwa ajili ya kukufaidisha😀😀Wataalamu wa bank, je naweza kuweka deposit kiasi cha hela kama 10m halafu kila mwezi bank inanilipa riba? Na je watanilipa kiasi gani kila mwezi? Wakati huo hela yangu ipo tu bank?
Boss hesabu zako mbona kama za kilimo cha matikikiti😀😀iyo financial plan ,sio poa ni ya kupiga faida tu10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Izo hesabu zinavyopigwa sasa,uyo ata business plan haijui😀😀hajui ata risk assessment,ni mwendo WA mifaida tu🤣😅🤣😅 Wabongo bhaaaana... Mnapenda kurahisisha maisha ya utafutaji kwa kutozingatia kanuni uhalisia na mazingira...
Bro naomba niwe chawa wakoNaona umeleta na risiti kabisa mkuu [emoji122]
Mzee sijaweka mimi hiyo ni huyo mwamba wa juu huyoBro naomba niwe chawa wako
Mkuu anakuzingua huyo hiyo sio offer hizo ni rates zao watu wameweka tangu mwaka juzi wamemaliza mkataba wameweka tena. Offer yao iliku 12% wakaifuta kama miaka 5 nyuma sisi wengine tunaweka fixed kitambo. Ila mjadala uishe "KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE"Majibu wa jamaa wa TIB
Ukiweka mzigo kwa miaka miwili mfurulizo ni 11% kwa kila mwaka ukiweka mzigo kwa mwaka mmoja ni 6%..... na hii ni kama offa imeanza mwez wa kwanza mwaka huu kwa Iyo brother weka 10M kwa miaka miwili utapata 11% kwa mwaka ila ukiweka mwaka mmoja utapata 6%..... mwisho wa mjadala wa mabank leten UTT Amis....[emoji1545]