Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Watu binafsi wanapokea ndio na kima cha chini inategemeana na mnada wa hisa zao kwa wakti huo. Ila hata 500k unaweza kuweka ingawa return itakuwa ndogo sana labda uwe unafanya kama uwekezaji wa muda mrefu sana.

Kila ijumaa wanatoa seminar kwa wanaohitaji kufahamu mambo ya uwekezaji kwenye hati fungani zao,kawasikilize mkuu.
Okay asante ntafanyia kazi na maswali mengi ya kuuliza i have to go.
 
nilicho gundua humu ndani kuna watu wako nyuma sana kwenye masuala haya ya Fixed deposit account/fixed deposit reserve (fdr)
kuna kampuni zinapewa rates za 10% mpaka 11% ama 11.5 % tena kwa miezi mitatu tuu (3)
sasa kuna mshamba mmoja ata toka uko na povu kukataa hili!..
Hakuna mtu anakataa weka ushahidi watu wanatafuta profit sio ubishani
 
Kimsingi hizi rates wanazotoa bank zote siyo kwamba hiyo pesa unaipata kama ilivyo; NO.

Kwa mfano CRDB watakwambia utapata 9% kwa mfano, lakini kama mwezi unaishia tarehe 28, au 30 au 31 pesa utakayopata ni tofauti sana. Tatizo kwenye ile 10% ya kodi watakata ya 9%.

Nitakupatieni mifano hapa: Mimi nilimwekea kijana wangu wa kwanza 100M, kwa rate ya 9% kwa miaka 3, ambapo ilibidi kila mwezi nipate 750,000/= lakini sasa baadhi ya miezi inaingia 739,000/= wakati mwingine 750,000/= wakati mwingine 755,000/= lakini kwenye makato wanataka 76,000/= kila pesa inapoingia.

Kwa hiyo kuna wakati unajikuta unapata 670,000/= kama faida ya mwezi hapa wakianza tena makato yao unabakia na 665,000/=

Kwa hiyo uwekezaji wa bank ni security tu siyo business; this goes to UTT-Amis as well.
 
Kimsingi hizi rates wanazotoa bank zote siyo kwamba hiyo pesa unaipata kama ilivyo; NO.

Kwa mfano CRDB watakwambia utapata 9% kwa mfano, lakini kama mwezi unaishia tarehe 28, au 30 au 31 pesa utakayopata ni tofauti sana. Tatizo kwenye ile 10% ya kodi watakata ya 9%.

Nitakupatieni mifano hapa: Mimi nilimwekea kijana wangu wa kwanza 100M, kwa rate ya 9% kwa miaka 3, ambapo ilibidi kila mwezi nipate 750,000/= lakini sasa baadhi ya miezi inaingia 739,000/= wakati mwingine 750,000/= wakati mwingine 755,000/= lakini kwenye makato wanataka 76,000/= kila pesa inapoingia.

Kwa hiyo kuna wakati unajikuta unapata 670,000/= kama faida ya mwezi hapa wakianza tena makato yao unabakia na 665,000/=

Kwa hiyo uwekezaji wa bank ni security tu siyo business; this goes to UTT-Amis as well.

Kwa hela hiyo UTT ungepata 883,390/= kila mwezi bila makato plus mtaji wako unaongezeka taratiibu. Kupanga ni kuchagua[emoji2957]
 
Nimeweka UTT tokea mwaka Jana mwezi wa 9. Nakula elfu 88 kila mwezi kwa niliyoweka 10m.
Aiseee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mil 10 mtaji unapata Elfu 88 maana akee ni 3000 kwa sikuu.. kwa mtaji wa mil 10???? Ilaa hata kama ni Uogaa huu umezidii mkuuu... Tokaa kwenye hicho kifungo cha kuogopa kupotezaa helaaaaa...
 
Kwa hela hiyo UTT ungepata 883,390/= kila mwezi bila makato plus mtaji wako unaongezeka taratiibu. Kupanga ni kuchagua[emoji2957]
Hamna mtaji wala hela inayoongezeka ni ufinyu tu wa maarifa yako ya maswala ya fedha ndio inakufanya uone hivyo,Uki weka hiyo 100M kwa malipo ya 750K kila mwezi-hiyo unayolipwa ni thamani ya kiasi ambacho hela yako inapoteza thamani kila siku ikiwepo huko.
 
Inflation rate ya Tanzania kwa mwezi ni wastani ni 4.0% huku hiyo riba ni 0.5-1% kwa mwezi,so obviously kila siku hela yako inashuka thamani zaidi.kwa lugha nyingine uwekezaji wako unapoteza thamani mara 3 zaidi ya unachokipata katika mwezi.

Kwa kijana ambaye unaweza kutumia hicho kiasi ukahangaika ni mara 100, ufanye hivyo kisha ukipata fedha nyingi kama faida katika biashara ndio uwekeze huko.
 
Inflation rate ya Tanzania kwa mwezi ni wastani ni 4.0% huku hiyo riba ni 0.5-1% kwa mwezi,so obviously kila siku hela yako inashuka thamani zaidi.kwa lugha nyingine uwekezaji wako unapoteza thamani mara 3 zaidi ya unachokipata katika mwezi.

Kwa kijana ambaye unaweza kutumia hicho kiasi ukahangaika ni mara 100, ufanye hivyo kisha ukipata fedha nyingi kama faida katika biashara ndio uwekeze huko.
Utawekezaje sehemu ambayo mtaji wako unapoteza thamani mara 3 unachokipata kwa mwezi? Au una maanisha akishakuwa bilioneya hatajali mtaji wake kushuka thamani?
 
UTT riba ni 10% kwa mwaka fixed ,kwa mtu wa 10M kwa mwez gawio linacheza kati ya 83,000/- hapo cash kwa mwaka ni 1M gawio
Huku inachezwa bei ya vipande Mf leo kianauzwa say 250 baada ya wiki mbili ni 252 hivyo thamani ya hela yako inabadilika kutokana na bei ya hiki kipande.Hivyo fix riba sio rahisi ila labda mwisho wa siku ina range kati ya 10 - 12 au zaidi kidogo kwa uzoefu wangu wa miaka kadhaa na hawa utt(liquid).
Hii 10% fixed labda ni utt(bond?)
 
Aiseee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mil 10 mtaji unapata Elfu 88 maana akee ni 3000 kwa sikuu.. kwa mtaji wa mil 10???? Ilaa hata kama ni Uogaa huu umezidii mkuuu... Tokaa kwenye hicho kifungo cha kuogopa kupotezaa helaaaaa...

Sijaweka hela huko ili nifanye biashara na UTT..nimehifadhi ili biashara yangu itakapokaa vzr nitoe hela huko niingize kwny mzunguko. Hiyo 10m nimeipata kwny hiyo biashara yangu ambayo kwa sasa haifanyi vzr.

Tuelewane hapa: sifanyi biashara inayoitwa UTT. kule nimehifadhi km tu benki sema benki hawana tija ukifananisha na UTT. Nfkr nimeeleweka. Over
 
Back
Top Bottom