Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Wataalamu wa bank, je naweza kuweka deposit kiasi cha hela kama 10m halafu kila mwezi bank inanilipa riba? Na je watanilipa kiasi gani kila mwezi? Wakati huo hela yangu ipo tu bank?
weka pesa kwa treasury bills 364 day
 
Majibu wa jamaa wa TIB

Ukiweka mzigo kwa miaka miwili mfurulizo ni 11% kwa kila mwaka ukiweka mzigo kwa mwaka mmoja ni 6%..... na hii ni kama offa imeanza mwez wa kwanza mwaka huu kwa Iyo brother weka 10M kwa miaka miwili utapata 11% kwa mwaka ila ukiweka mwaka mmoja utapata 6%..... mwisho wa mjadala wa mabank leten UTT Amis....[emoji1545]
Hii ni DCB Lamba kwanza 12% kuanzia 100m na 10% kuanzia 50m mpk 99m lakin miaka 4 nyuma walitoa offer ya 14% wajanja wakawapa ela zote wakae nazo.
IMG_20230620_104531.jpg
 
Majibu wa jamaa wa TIB

Ukiweka mzigo kwa miaka miwili mfurulizo ni 11% kwa kila mwaka ukiweka mzigo kwa mwaka mmoja ni 6%..... na hii ni kama offa imeanza mwez wa kwanza mwaka huu kwa Iyo brother weka 10M kwa miaka miwili utapata 11% kwa mwaka ila ukiweka mwaka mmoja utapata 6%..... mwisho wa mjadala wa mabank leten UTT Amis....[emoji1545]
ACCESS BANK 14% offer ukiweka kuanzia 100m kwa mwaka unavuta 12.6m net faida ukishatoa kodi bila kunyanyua kidole unalipia ada za watoto.
Screenshot_2023-06-20-10-51-27-593_com.kiwibrowser.browser.jpg
 
Mkuu anakuzingua huyo hiyo sio offer hizo ni rates zao watu wameweka tangu mwaka juzi wamemaliza mkataba wameweka tena. Offer yao iliku 12% wakaifuta kama miaka 5 nyuma sisi wengine tunaweka fixed kitambo. Ila mjadala uishe "KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE"

Huyu mwamba ana shida sehemu! Ameambiwa ukweli lakini hapa anaanza kuweka uongo eti imeeanza mwaka huu. Mimi baada ya kuona biashara ni changamoto pesa nyingi nimeweka fixed bank tofauti tofauti na wanangu pia nimewafungulia fixed. Hii ya TCB nimemwekea mwanangu mwenye week 2 tu hivyo ataanza kuramba >450K kila mwezi. Nitacheki hii ya DCB ya 14%. Shukrani sana mkuu.
 
Majibu wa jamaa wa TIB

Ukiweka mzigo kwa miaka miwili mfurulizo ni 11% kwa kila mwaka ukiweka mzigo kwa mwaka mmoja ni 6%..... na hii ni kama offa imeanza mwez wa kwanza mwaka huu kwa Iyo brother weka 10M kwa miaka miwili utapata 11% kwa mwaka ila ukiweka mwaka mmoja utapata 6%..... mwisho wa mjadala wa mabank leten UTT Amis....[emoji1545]

Kiungwana sasa inabidi uniombe msamaha kwa matusi yako.
 
Huyu mwamba ana shida sehemu! Ameambiwa ukweli lakini hapa anaanza kuweka uongo eti imeeanza mwaka huu. Mimi baada ya kuona biashara ni changamoto pesa nyingi nimeweka fixed bank tofauti tofauti na wanangu pia nimewafungulia fixed. Hii ya TCB nimemwekea mwanangu mwenye week 2 tu hivyo ataanza kuramba >450K kila mwezi. Nitacheki hii ya DCB ya 14%. Shukrani sana mkuu.
DCB offer imesitishwa wanatoa 12% tu kwa sasa kuanzia 100m ila Access wanatoa 14% kila la kheri mkuu" mapambano lazima yaendelee"
 
Huyu mwamba ana shida sehemu! Ameambiwa ukweli lakini hapa anaanza kuweka uongo eti imeeanza mwaka huu. Mimi baada ya kuona biashara ni changamoto pesa nyingi nimeweka fixed bank tofauti tofauti na wanangu pia nimewafungulia fixed. Hii ya TCB nimemwekea mwanangu mwenye week 2 tu hivyo ataanza kuramba >450K kila mwezi. Nitacheki hii ya DCB ya 14%. Shukrani sana mkuu.
Biashara zinachangamoto sana mpk unaona heri nusu shari niweke fixed nipate kidogo kuliko kuchoma ela usikilizie upepo unaendaje
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Watanzania wanataka hela zinazokuja kimaajabu yaani sio kwa kuzitengeneza kwa akili au mbinu za kijasiliamali. Mtu anataka aweke tu milioni 10 somewhere then awe anapokea hela kila mwisho wa mwezi. Na milioni kumi yake iwe available kuipata muda wowote.

Kimsingi wabongo ni wavivu and they hate working or projects hawataki wanapenda kulipwa for nothing so they can spend without caution.

Umemshauri vema lakini mimi nimekuelewa.
 
Hakuna biashara mzuri na inalipa kama ya kwenye makaratasi ha ha ha

Yan hapo ni very smooth, sasa nenda kafanye uone balaa lake
But ni muhimu kuwa na projection ya kibiashara ili uweze kujua unaelekea wapi.
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Haya saww na yale niliwahi kuandika humu ya wale mnaita ___speaker kwenye events huko, sijui kuku mmoja na mayai.

But ingia field alafu uje na uhalisia ndo utajua kwa nini?.
 
Watanzania wanataka hela zinazokuja kimaajabu yaani sio kwa kuzitengeneza kwa akili au mbinu za kijasiliamali. Mtu anataka aweke tu milioni 10 somewhere then awe anapokea hela kila mwisho wa mwezi. Na milioni kumi yake iwe available kuipata muda wowote.

Kimsingi wabongo ni wavivu and they hate working or projects hawataki wanapenda kulipwa for nothing so they can spend without caution.

Umemshauri vema lakini mimi nimekuelewa.

Watu wengine hua mnafurahisha sana. Jiulize hiyo Milioni 10 anayotaka kuiweka benki ili awe anapata gawio bila kufanya kazi ameitoa wapi? Yani 10 Milioni ameitoa wapi? Ameiokota? Ujue sometimes muwe mnfkr pande zote. Lengo la jamaa kuweka huko itakua Kuna mchongo anausoma. Mm nimeweka UTT lengo ni kusoma game maana biashara niliyokua naifanya ikanipa hiyo 10m kwa sasa haisomeki so nimeamua niweke UTT ili niwe napata hela nikisubiri mambo yakae sawa. Je hili ni kosa? Tufikiri kwa mapana na marefu kabla ya kutoa maoni
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.

Hawa ndo wanakwambia walianza mgahawa na punje moja ya Mchele na sasa wanapika wali zaidi ya kilo 5[emoji23]
 
Kuna mtu nilimpa mchongo 2014 mtaji ilikuwa million 2 tu lakini mwaka ilikuwa tupate million 10 hadi 50. Jamaa alinicheka sana alinambia mwanangu mtoto wa kishua wewe unataka kufanya biashara ya kimaskini hio. Mwaka 2020 jamaa amekuja Oohh nilikudharau ile biashara ulosema kuna mwanangu kajenga na sasa ana Harrier anatutesa mtaani tu. Nilinyamaza kimya nikatabasamu na kuondoka

Watanzania wengi waoga kujaribu biashara
Mchongo gani huo mkuu...Tupe Nondo.
 
Haya saww na yale niliwahi kuandika humu ya wale mnaita ___speaker kwenye events huko, sijui kuku mmoja na mayai.

But ingia field alafu uje na uhalisia ndo utajua kwa nini?.
Kwahio nisisome chuo kisa wanachuo wengi wapo mitaani?

Nimeandika kwenye maneno ya mwisho atumie akili yake ili azalishe hela. Hio ya bodaboda ni kamfano tu. Sijui umenielewa?.
 
Watanzania wanataka hela zinazokuja kimaajabu yaani sio kwa kuzitengeneza kwa akili au mbinu za kijasiliamali. Mtu anataka aweke tu milioni 10 somewhere then awe anapokea hela kila mwisho wa mwezi. Na milioni kumi yake iwe available kuipata muda wowote.

Kimsingi wabongo ni wavivu and they hate working or projects hawataki wanapenda kulipwa for nothing so they can spend without caution.

Umemshauri vema lakini mimi nimekuelewa.
Kitu kimoja nakijua binafsi watanzania wengi waoga wa kujaribu, wengi wao wana akili ya kuajiriwa na utajiri wa haraka.

Nimetembea nchi nyingi duniani watanzania wengi wao wanatumwa tu, hawana vision ya kujitoa wenyewe kimaisha.

Ndio maana mimi huwa karibu na waNigeria na waKenya hawa jamaa wao kujituma ndio kwao.

Mfano hapa jamaa ana 10M anafikiria kuwekeza bank apate laki 1. Wakati bank wao ukiomba mkopo 10M riba yake 10% hio ni 1M. Sasa nani kanufaika hapo?.
 
Back
Top Bottom