Lipo mkuu ongea na watu vizurii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ila hizi bhangiiii..eti mil 10 ajenge hostel..Eneo lililokaribu na chuo kikuu liuzwe million 3?
Lenye uwezo wa kujenga vyumba 15?
Self contained bedroom 6?
Nyie jamani Nyie mbona mambo ya kufikirika haya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Lipo mkuu ongea na watu vizurii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ila hizi bhangiiii..eti mil 10 ajenge hostel..
Kijanaa hajuii hata thamani ya kiwanjaa huyooo akisikia mil 10 anahisii ni helaa flanii ya kufanya maajabuu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ujue hadi nmeogopa nikasema hivi me ndio sioni hizi fursa yani nimeenda kutafuta kiwanja cha million 8 huko pori kumbe karibu na vyuo vikuu kuna maeneo ya million 3 tu kwahiyo ningeongeza million 2 tu ningejenga na hostels niwe navuta mpunga tu saa hizi
JF DAH.
Yani nili scan kweli kweli kwanza kuona chuo gani anazungumzia maana hata kwa 10M hilo eneo hupati kwa location za hivi vyuo vilipo.Kijanaa hajuii hata thamani ya kiwanjaa huyooo akisikia mil 10 anahisii ni helaa flanii ya kufanya maajabuu.
hata kiwanja cha kujengaa kiduka kidogo hupatiiYani nili scan kweli kweli kwanza kuona chuo gani anazungumzia maana hata kwa 10M hilo eneo hupati kwa location za hivi vyuo vilipo.
Utajikuta umevaa chupi kichwani km kofia
Motivation speaker naona uko kazini.Millioni kumi. Tafuta chuo kikuu haps dsm chenye demand kubwa ya wanachuo , angalia eneo zuri ununue ujenge vyuumba vya kupsngisha wanachuo tena kama ukipata eneo la million 3 , ukajenga vyumba 15 (au ndan yake 6 ni self) ukaongezea pindi ikipelea ,,aseewe hiyo investment itazalisha hela Vitukuuu na vining'ina....
Umetisha huu ushauri wako.kwamba aache tabia ya kijinga ya kuweka hela fixed? kuna mwamba biblia bibilia inasema yeye alizichimbia chiniMil 10 unaweka ili iweje? Acha ufala wewe. Hiyo pesa ya kutumia tu kwa week moja unamaliza. Wewe eti ukaweke fixed account ili iweje? Ndo maana mnakuwa maskini tu daily
Hizo ni hesabu tu ila ingiza ela uone zinavyo kataa10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Pesa ndogo sana hiyoWataalamu wa bank, je naweza kuweka deposit kiasi cha hela kama 10m halafu kila mwezi bank inanilipa riba? Na je watanilipa kiasi gani kila mwezi? Wakati huo hela yangu ipo tu bank?
Kwa kiwango gani?NMB fixed deposit intest 9.5% , una swali jingine?
Pesa za wizi au savings au madili tuu ila ingekuwa ya jasho Wala asingeuliza Cha kuifanyiaWatu wengine hua mnafurahisha sana. Jiulize hiyo Milioni 10 anayotaka kuiweka benki ili awe anapata gawio bila kufanya kazi ameitoa wapi? Yani 10 Milioni ameitoa wapi? Ameiokota? Ujue sometimes muwe mnfkr pande zote. Lengo la jamaa kuweka huko itakua Kuna mchongo anausoma. Mm nimeweka UTT lengo ni kusoma game maana biashara niliyokua naifanya ikanipa hiyo 10m kwa sasa haisomeki so nimeamua niweke UTT ili niwe napata hela nikisubiri mambo yakae sawa. Je hili ni kosa? Tufikiri kwa mapana na marefu kabla ya kutoa maoni
Acha bangi10 Milion Unaweza Jenga Vyumba 2 , Sebule , Jiko ,Choo ?
Mkuu biashara ya boda boda anae pata faida ni dereva. Twende taratibu utanielewa. Tufanye umenunua piki piki hadi inaingia barabarani umetumia 2.5m ,hesabu kwa siku elfu 10 kwa mwezi laki tatu kwa mwaka hadi mkataba unaisha utakua umeingiza 3.6m .sasa toa gharama uliyo nunulia hiyo piki piki una baki na 1.1m , Gawanya hiyo pesa kwa miez 12 uone kwa mwezi unapata kiasi gani na ukipata kwa mwezi gawa kwa siku 30 uone kwa siku moja unapata kiasi gani. Hapo utajua wewe uliye wekeza 2.5m na dada anae saidia mama ntilie na kulipwa buku 3 mpo sawa
Nmb hawana RIBA YA 9.5%Kuanzia 1m na kuendelea.
We jamaa hiyo hela ya kujenga chumba kimoja tena kibamba huko au Chalinze.Millioni kumi. Tafuta chuo kikuu haps dsm chenye demand kubwa ya wanachuo , angalia eneo zuri ununue ujenge vyuumba vya kupsngisha wanachuo
Anaogopa hela italiwa kimasikara katika uwekezaji wa kibiasharaAiseee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mil 10 mtaji unapata Elfu 88 maana akee ni 3000 kwa sikuu.. kwa mtaji wa mil 10???? Ilaa hata kama ni Uogaa huu umezidii mkuuu... Tokaa kwenye hicho kifungo cha kuogopa kupotezaa helaaaaa...
Hizo ni hesabu tu ila ingiza ela uone zinavyo kataa
Hii ni ukweli mkuu na mimi nilideposit 1M nikijua rate ni 9.5% ila nikapewa karatasi et rate ni 3.5% duuh nilichoka. Sikua na matumizi nayo muda ule basi nikaondoka. Nadhani hii issue ya fixed ni biashara ya benki kujipatia pesa za kurun activities na wateja hawaelewi.Ukicheki calculator yao riba inasoma 9.5 ila ukienda kuweka unaletewa risiti inasoma 5 au 6 percent… ukilalamika wanakupa semina ooh hii imekosewa mara hii sio riba ya fixed kuna sijui uwekezaji wa maisha , kimsingi maelezo yao hayaeleweki