Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

Millioni kumi. Tafuta chuo kikuu haps dsm chenye demand kubwa ya wanachuo , angalia eneo zuri ununue ujenge vyuumba vya kupsngisha wanachuo tena kama ukipata eneo la million 3 , ukajenga vyumba 15 (au ndan yake 6 ni self) ukaongezea pindi ikipelea ,,aseewe hiyo investment itazalisha hela Vitukuuu na vining'ina....
Kuna eneo gani la karibu na chuo utapata kwa hiyo bei?
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Nimekumbuka kilimo cha tikiti maji. Nao huwa wanachanganua hivi hivi halafu hawaweki changamoto associated
 
Hii ni ukweli mkuu na mimi nilideposit 1M nikijua rate ni 9.5% ila nikapewa karatasi et rate ni 3.5% duuh nilichoka. Sikua na matumizi nayo muda ule basi nikaondoka. Nadhani hii issue ya fixed ni biashara ya benki kujipatia pesa za kurun activities na wateja hawaelewi.
Hio huduma ni benki walikaa wakafiri namna ya kujiongezea mapato na mzunguko kwenye utoaji wao wa pesa
Hivyo mteja kama unataka faida kubwa ni jukumu lako na ww kuwaza namna ya kuzungusha pesa uliyonayo ili izalishe zaidi
 
Kuna mzee yeye kaona isiwe tabu, kachukua 100m yake, kaenda BOT(sijajua hasa ni wapi) nadhani kupitia benki yake ya Absa, kanunua bond za serikali kwa miaka 25, anapata 12.35% p/a.

Kila baada ya miezi sita anachukua 6m, anasema hataki kuumiza kichwa...sijui.kama kapatia au vipi ila kwa mtu asiojua biashara za.kukimbizana naona ni sawa tu.
 
Hii ni ukweli mkuu na mimi nilideposit 1M nikijua rate ni 9.5% ila nikapewa karatasi et rate ni 3.5% duuh nilichoka. Sikua na matumizi nayo muda ule basi nikaondoka. Nadhani hii issue ya fixed ni biashara ya benki kujipatia pesa za kurun activities na wateja hawaelewi.
Jamaa wakatili sana yani wanachukua 1 M wanakaa nayo mwaka mzima wanakuja kukupa 35,000 SI MCHEZO
 
Ila jamani tupo tofauti mtu milioni kumi uweke bank upewe riba hata haizid laki kwa mwezi....Mimi huyu na bangi zang za chuga kabisa hata nipewe laki kwa milioni mbili sikubali abadani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Inategemeana na umri wako , kama bado una nguvu hizo hesabu hazikufai , kwa mstaafu akiweka milioni 100 anapata karibu laki tisa kwa mwezi , ni bora kuliko kuhangaika na biashara kichaa mwisho pesa inapotea
 
Nenda TCB zamani TPB bank, wanatoa 11% annually. Yaani 0.9166 kwa mwezi. Kwa hiyo 10M utapata 91,666 kwa mwezi.
Chagua mwenyewe.
Hiyo 11 % ni per year sio kwa mwezi ok...

Kwa mwezi au miezi aizidi 5
 
10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.

Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.

Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua

Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.

Ww ni chizi
 
NMB fixed deposit intest 9.5% , una swali jingine?
Hii ni kwenye matangazo yao tu. Lakini siyo uhalisia kwamba kila amount unayoweka utalipwa hiyo 9.5% . Utapewa interest rate baada ya kufika NMB branch, Watakuuliza ni kiasi gani cha pesa unataka kuweka kwenye fixed, na kwa muda gani. Then wanapiga simu au kutuma email makao yao makuu then unapewa jibu la asilimia ngapi utapewa kwa mwaka. Aliyesema about 6% kwa mwaka hayuko mbali na uhalisia. Mfano ukiweka 150 million kwa mwaka, wanaweza wakakwambia utapata faida ya 7%. Lakini hapo kuna makato yao ya 10% kwenye faida. Kwa hiyo kiuhalisia unaweza kukuta unapata faida ya 6% baada ya makato yao.
 
Hii ni kwenye matangazo yao tu. Lakini siyo uhalisia kwamba kila amount unayoweka utalipwa hiyo 9.5% . Utapewa interest rate baada ya kufika NMB branch, Watakuuliza ni kiasi gani cha pesa unataka kuweka kwenye fixed, na kwa muda gani. Then wanapiga simu au kutuma email makao yao makuu then unapewa jibu la asilimia ngapi utapewa kwa mwaka. Aliyesema about 6% kwa mwaka hayuko mbali na uhalisia. Mfano ukiweka 150 million kwa mwaka, wanaweza wakakwambia utapata faida ya 7%. Lakini hapo kuna makato yao ya 10% kwenye faida. Kwa hiyo kiuhalisia unaweza kukuta unapata faida ya 6% baada ya makato yao.
Na hii UTT liquid fundi? Niliwapigia simu juzi wakaniambia ni 12% kwa mwaka. Sijui na wao wana 10% kama withholding tax?
 
Millioni kumi. Tafuta chuo kikuu haps dsm chenye demand kubwa ya wanachuo , angalia eneo zuri ununue ujenge vyuumba vya kupsngisha wanachuo tena kama ukipata eneo la million 3 , ukajenga vyumba 15 (au ndan yake 6 ni self) ukaongezea pindi ikipelea ,,aseewe hiyo investment itazalisha hela Vitukuuu na vining'ina....
Jinga kweli wewe
 
Kuna mzee yeye kaona isiwe tabu, kachukua 100m yake, kaenda BOT(sijajua hasa ni wapi) nadhani kupitia benki yake ya Absa, kanunua bond za serikali kwa miaka 25, anapata 12.35% p/a.

Kila baada ya miezi sita anachukua 6m, anasema hataki kuumiza kichwa...sijui.kama kapatia au vipi ila kwa mtu asiojua biashara za.kukimbizana naona ni sawa tu.

Huyo ana akili mingi sana. Kwa umri wake hawezi kusimamia wala kubuni biashara yyte ile. Hapo ndo panamfaa. Hamna kelele wala usumbufu wwte
 
[emoji95] Brand New[emoji95]
[emoji617]Nokia 105 original[emoji736]
[emoji617]Batter 1200mAh[emoji736]
[emoji617]Full box[emoji736]
[emoji617] Bei 25000/=rejareja [emoji736]
[emoji617]Jumla 23000/=[emoji736]
[emoji617]No:+255788906890[emoji736]
[emoji95]Mikoani tunatuma[emoji736]
[emoji95] Delivery ipo [emoji1666]
IMG_20230724_075124_186.jpg
 
Back
Top Bottom