Nikki Mbishi aamua kuacha Muziki Rasmi

Sasa na wewe mtu anamuiga chid benz unamuita wa kitambo? Yaani la familia imekua ya kitambo? Hujielewi wewe nenda kalale

nikki mbishi ana umri gani unajua ?
la familia ipo tangu lini ?
unajua kabla ya kujiita chidi benzi alikua anajiita nani??
Unaijua nyimbo ya kwanza ya chidi benz katoa lini au unafikiri dsm stand up ndio ya kwanza ??
 

Kuna siku Joh Makini na Nikki Mbishi walikuwa wote studio Cloudz, mtangazaji (sikumbuki alikuwa nani) akawaambia kila mmoja afreestyle, akaanza Nikki Mbishi kafreestyle kinoma, ikaja zamu ya Joh Makini akaanza oh leo sijisikii vizuri, ooh siko katika mood ya kuchana teh teh teh wote huo woga maana kakutana na kichwa!
 
nikki mbishi ana umri gani unajua ?
la familia ipo tangu lini ?
unajua kabla ya kujiita chidi benzi alikua anajiita nani??
Unaijua nyimbo ya kwanza ya chidi benz katoa lini au unafikiri dsm stand up ndio ya kwanza ??

Chiddi Benzino lol
 
nikki mbishi ana umri gani unajua ?
la familia ipo tangu lini ?
unajua kabla ya kujiita chidi benzi alikua anajiita nani??
Unaijua nyimbo ya kwanza ya chidi benz katoa lini au unafikiri dsm stand up ndio ya kwanza ??

Field marshal nawachek mp vitani……

huyu jamaaa ni miongon mwa watu wenye uthubutu wa kusimamia mising yao na si kupelekwa na mabadiliko ya game...ila angeendleea kuwepo lundun ilikuw inawanya vizur..
 
nikki mbishi ni mdogo kiumri ulitaka ahustle mwaka gani ??
ameahustle kutokana na umri wake
nikki mbishi nuksi waulize wasanii wako wakubwa wakutajie top five ya wasanii wakali wa hip hop at this time ukimkosa nikki mbishi

kiongozi
Roho 7 ivi alienda wapi ?
 
Kuhusu game ya bongo na wasanii wa bongo niache kama nilivyo...kwanza tambua mwanahip hop haachi utamaduni. ..pili tambua nikki hajapitia hustle za mziki aulize kaka zake,yeye game kaanza juzi tu..anatafuta attention tu!

hemed PhD na wewe ni wa hip hop? by the way Nikki anapo amua kususa mziki kisa tu harakati zake hazikubaliki huo ni uchanga na kukosa msimamo wa kihiphop,awaulize wakina saigon,balozi,sosB wamepitia njia ngumu zenye kila aina ya vikwazo but hawa kususa mziki mpk leo niki anapata jina ana takiwa ajue ni njia zilizo chongwa kwa mikono ya kaka zake je wangesusa na wao leo nani ange mjua nikki?....asilete umama, anatakiwa akomae kuikomboa hiphop na sio kukimbia harakati. ana jiita "mbishi" kumbe nyoronyoro tu.
 

Natoka tanzania tz bongo nchi amboyo viongozi wana CV za uongo-niki mbishi(sijui tutapata wp HV vitu)
 

Achana na hawa much know
Kama MTU hajui kitu si anakula kimya aaah
 

I bet u never knew Nikki kama no hvyo
U never bought any mix tape from him neither his songs
Sikiliza natoka Tanzania au tafuta the last mixtape ndo utamwelewa nikki
 
Bora aache kwani mziki wake haukui uko palepale..baadhi ya fans wake wanamtia ujinga na kujiona bonge la mwanamuziki na kuwavimbia hata kaka zake. .huyu hajaacha mziki ila mziki umemuacha yeye

Mnaofuatilia mziki kwenye media MNA matatizo sana aisee
 

At least ww u one nikki
Haya majitu yanayoropok topoka yanakera sana kama hilo #muuzasura hata ukimuuliza maana ya freestyle hajui halaf snajifanya anajua mziki
 
Kuhusu game ya bongo na wasanii wa bongo niache kama nilivyo...kwanza tambua mwanahip hop haachi utamaduni. ..pili tambua nikki hajapitia hustle za mziki aulize kaka zake,yeye game kaanza juzi tu..anatafuta attention tu!

Unajua nn kuhusu hustle za muziki jamaa au unatafuta attention tu?watu inatuuama tutakosa radha za maana we unaropoka tu manina kauze sura ukimaliza uza hadi mwili pambaaf
 

Kutomjua haimaanishi.hana mchango
 
nikki mbishi ana umri gani unajua ?
la familia ipo tangu lini ?
unajua kabla ya kujiita chidi benzi alikua anajiita nani??
Unaijua nyimbo ya kwanza ya chidi benz katoa lini au unafikiri dsm stand up ndio ya kwanza ??

Temana nao hawajui chochote wanatopoka tu
 
Bora aache kwani mziki wake haukui uko palepale..baadhi ya fans wake wanamtia ujinga na kujiona bonge la mwanamuziki na kuwavimbia hata kaka zake. .huyu hajaacha mziki ila mziki umemuacha yeye

Una facts zozote wewe mpaka poda na shabiki mkubwa wa khadija kopa mbona yu mnafk ivyo umewai kusikia anacho rap huyu jamaa au umekurupushwa na maumiv ya panya road....Tulia sio kila sehem u can reply ur shit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…