Nikki Mbishi aamua kuacha Muziki Rasmi

Nikki Mbishi aamua kuacha Muziki Rasmi

Baba malcom daaaa ila nasikia alifuta tweets alizoandika MO11

Leo kila nikisoma post zake naona kama anatania tu

mara ya kwanza anapanda stejini ilikuwa fiesta anapewa shavu na chidi wa ilala mbeya hii huko alikuwa anasoma chuo
kila siku alikuwa anawakuta watu wana battle freestyles akawa anasimama anawaskiliza weee halafua anatikisa kichwa anaondoka
siku wakampa nafasi alichowafanya wakawa wakimuona wanabadilisha mada kutoka kuimba na kufanya kitu kingine

wakati anapanda show ya mbeya kwa mara ya kwanza alikuwa hana hata nyimbo alikuwa anafreestyle tu
ndipo akawa anashiriki freestyle battle za clouds akachukua laki laki na nusu

alipopotea ilikuwa coco mashindano ya freestyles tatu bora ilikuwa
Nikki mbishi kipindi hicho amesuka halafu anavuta kishenzi
Kuna godzila huyu alikuwa mweusi halafu anatisha ndio sababu ya kujiita godzila siku hizi anang'aa kidogo
Wa mwisho lusajo huyu alikuwa konda wa daladala alikuwa watu wakishuka anawachana kwa vina vya kuimba

Mwisho anabaki lusajo na nikki mbishi ila lusajo anakuwa bingwa anamchana nikki mbishi hadi aibu niliona mimi

ila kaliacha game mapema sana nikki kama fan wake namba moja nimeshangas sana sana
 
Last edited by a moderator:
Bora aache kwani mziki wake haukui uko palepale..baadhi ya fans wake wanamtia ujinga na kujiona bonge la mwanamuziki na kuwavimbia hata kaka zake. .huyu hajaacha mziki ila mziki umemuacha yeye

nahisi unaijua nymbo moja tu ya nikki mbishi
 
nahisi unaijua nymbo moja tu ya nikki mbishi

Kuhusu game ya bongo na wasanii wa bongo niache kama nilivyo...kwanza tambua mwanahip hop haachi utamaduni. ..pili tambua nikki hajapitia hustle za mziki aulize kaka zake,yeye game kaanza juzi tu..anatafuta attention tu!
 
Leo kila nikisoma post zake naona kama anatania tu

mara ya kwanza anapanda stejini ilikuwa fiesta anapewa shavu na chidi wa ilala mbeya hii huko alikuwa anasoma chuo
kila siku alikuwa anawakuta watu wana battle freestyles akawa anasimama anawaskiliza weee halafua anatikisa kichwa anaondoka
siku wakampa nafasi alichowafanya wakawa wakimuona wanabadilisha mada kutoka kuimba na kufanya kitu kingine

wakati anapanda show ya mbeya kwa mara ya kwanza alikuwa hana hata nyimbo alikuwa anafreestyle tu
ndipo akawa anashiriki freestyle battle za clouds akachukua laki laki na nusu

alipopotea ilikuwa coco mashindano ya freestyles tatu bora ilikuwa
Nikki mbishi kipindi hicho amesuka halafu anavuta kishenzi
Kuna godzila huyu alikuwa mweusi halafu anatisha ndio sababu ya kujiita godzila siku hizi anang'aa kidogo
Wa mwisho lusajo huyu alikuwa konda wa daladala alikuwa watu wakishuka anawachana kwa vina vya kuimba

Mwisho anabaki lusajo na nikki mbishi ila lusajo anakuwa bingwa anamchana nikki mbishi hadi aibu niliona mimi

ila kaliacha game mapema sana nikki kama fan wake namba moja nimeshangas sana sana

Ndio mana nilikuita aisee uko na history nzuri sana ya hiphop
 
Kuhusu game ya bongo na wasanii wa bongo niache kama nilivyo...kwanza tambua mwanahip hop haachi utamaduni. ..pili tambua nikki hajapitia hustle za mziki aulize kaka zake,yeye game kaanza juzi tu..anatafuta attention tu!

juzi lini unajua kwamba huyu jamaa kipindi cha mwanzo alikuwa anaflow kama chidi benz ??
unajua kwamba alikuwa la familia ?
unajua ametumia nguvu kubwa kuisimamisha lunduno na tamaduni muzik
au unataka naye ashinde mlangoni kwa p funk ndio ujue ame hustle ??
acha kukariri
 
juzi lini unajua kwamba huyu jamaa kipindi cha mwanzo alikuwa anaflow kama chidi benz ??
unajua kwamba alikuwa la familia ?
unajua ametumia nguvu kubwa kuisimamisha lunduno na tamaduni muzik
au unataka naye ashinde mlangoni kwa p funk ndio ujue ame hustle ??
acha kukariri

Sasa na wewe mtu anamuiga chid benz unamuita wa kitambo? Yaani la familia imekua ya kitambo? Hujielewi wewe nenda kalale
 
Kuhusu game ya bongo na wasanii wa bongo niache kama nilivyo...kwanza tambua mwanahip hop haachi utamaduni. ..pili tambua nikki hajapitia hustle za mziki aulize kaka zake,yeye game kaanza juzi tu..anatafuta attention tu!

Cuzzo mi nakuunga mkono kua mwanaharakati hawezi sanda kiboya kama yeye alafu amekuta wendawazimu wameweka misingi ya huu muziki kwa tabia ya kuzira kama zake leo kusingekua na hii bongo fleva alafu kiroho safi hana mchango wowote kwenye industry kiasi kwamba tukasema tutamkumbuka.
Acha aende hakuna PENGO.
 
juzi lini unajua kwamba huyu jamaa kipindi cha mwanzo alikuwa anaflow kama chidi benz ??
unajua kwamba alikuwa la familia ?
unajua ametumia nguvu kubwa kuisimamisha lunduno na tamaduni muzik
au unataka naye ashinde mlangoni kwa p funk ndio ujue ame hustle ??
acha kukariri

Naamini haujui chochote kuhusu huu muziki na ni ruhusa ukinitukana,hauwezi kumtaja Nikki Mbishi kwenye hustle za kuuweka muziki huu kwenye ramani eti kisa lunduno ni UPUUZI uliopotiliza kama vipi kaulize alafu uje upya mimi najitolea kukufundisha BURE ila jua Nikki ni mwepesi kuliko neno mwepesi lenyewe.
Alafu jua uyo Chid Benz ni binti kama ma-binti wengine tukizungumzia utamaduni huu na La Familia sio kitu cha kukijadili kwenye utamaduni.
 
Hiyo sauti ya jogoo si unaisikilizaga wewe na mvuta bangi mwenzio geto? Nani anaijua? Mnaijua wenyewe na bangi zenu

"Those that smoke marijuana Wanna thank you father For making it grow internationally, They wanna thank you lord Even though police cut it down, Sometimes they burn it down But it grows again Thank you father ..... "
Lucky Dube - Rasta man Prayers


After Nikki Mbishi bongo hip hop industry cut-off, i see those who claim to be mcee's n die hard hip hop fans, they can't stop being hypocrisy by posting statuses hypocritically... Without saying truth from deep inside their hearts

By looking them third eyed you may identify it....

To be honest Mbishi Abdication was so easly n one night standing idea (matter of re-thinking twice)
at first i was thinking that mbishi decision could have to be sarcastic untill i realize it has been spreaded overall media(s) like plague

I had been a hip hop fan since fid q unaishi wapi, fid q naishi ghetto till now, n if those lengendaries were doing the same i don't know if Ujamaa Hip-hop Darasa n all Fidstyle Friday shows could have to exist.....

Am kinda waiting to see who's next to repudiate.......

No pun intended.
 
Naamini haujui chochote kuhusu huu muziki na ni ruhusa ukinitukana,hauwezi kumtaja Nikki Mbishi kwenye hustle za kuuweka muziki huu kwenye ramani eti kisa lunduno ni UPUUZI uliopotiliza kama vipi kaulize alafu uje upya mimi najitolea kukufundisha BURE ila jua Nikki ni mwepesi kuliko neno mwepesi lenyewe.
Alafu jua uyo Chid Benz ni binti kama ma-binti wengine tukizungumzia utamaduni huu na La Familia sio kitu cha kukijadili kwenye utamaduni.

People who think they know everything are a great annoyance to those of us who do. "Isaac"

You may know a thing untill you realize you know nothing.
 
Naamini haujui chochote kuhusu huu muziki na ni ruhusa ukinitukana,hauwezi kumtaja Nikki Mbishi kwenye hustle za kuuweka muziki huu kwenye ramani eti kisa lunduno ni UPUUZI uliopotiliza kama vipi kaulize alafu uje upya mimi najitolea kukufundisha BURE ila jua Nikki ni mwepesi kuliko neno mwepesi lenyewe.
Alafu jua uyo Chid Benz ni binti kama ma-binti wengine tukizungumzia utamaduni huu na La Familia sio kitu cha kukijadili kwenye utamaduni.

nikki mbishi ni mdogo kiumri ulitaka ahustle mwaka gani ??
ameahustle kutokana na umri wake
nikki mbishi nuksi waulize wasanii wako wakubwa wakutajie top five ya wasanii wakali wa hip hop at this time ukimkosa nikki mbishi najiondoa jamiiforums
jamaa kaimba kila aina ya jambo usimlinganishe na akina sugu waliompita umri wa zaidi ya miaka 10 guy be serious
nikki nuksi kuanzia kuandika hadi kuflow wale wanaojiita weusi hata kumuimba wanamuogopa
-sauti ya jogoo
-nyakati za mashaka
-play boy
-kijusi
-au
hebu tafuta hizi nyimbo
usikie jinsi mtu anavyoimba hakuna kama huyu at this time
 
Nikki Mbishi huwa simuamini,mambo yake kama Diva wa Clouds kupenda attention,naamin hawez kuacha game anazingua tu. Kama kweli anaacha basi namsapoti coz ni moja kati ya vichwa vikali vya Hiphop kupata kutokea Tanzania but mziki haumpatii hela
 
Back
Top Bottom