KoreaKaskazini
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 219
- 51
Cuzzo mi nakuunga mkono kua mwanaharakati hawezi sanda kiboya kama yeye alafu amekuta wendawazimu wameweka misingi ya huu muziki kwa tabia ya kuzira kama zake leo kusingekua na hii bongo fleva alafu kiroho safi hana mchango wowote kwenye industry kiasi kwamba tukasema tutamkumbuka.
Acha aende hakuna PENGO.
Rap wewe basi tuone kama utaacha hata ilo jina kwny industry