Ukiniambia SOS B,Nigga Jay wa HBC(Sio Prof Jay Solo),Mr II,Dogo Hasheem nitakuelewa lakini hao wanna b emcees sinaga habari
Kwa maana iyo artist ili umfuatilie lazima atoke mbali?rap ya kipindi cha fleva in eya CRAIG MAG . BIG L. DILLA. OUTLAWZ. NAS WA ILLMATIC.GURU WA FULL CLIP. DAS EFX NA BAKNEFFEK ilikuwa hiphop but haina maana et emcs wanaanza gemu sasa hivi et hawafanyi hiphop so hatupaswi kuwafuatilia. Kwanza AFRIKA BAMBATAA alitoa misingi mitano leo hii imeongezwa imekuwa tisa (imeboreshwa).so kigezo cha kuwajua artist wa zamani kisikufanye usikilize ril hiphop ya leo..kumbuka fasihi ina change . kumbuka pia Mr 2 wa bongo darreslam sio wa juzi wa hayakuwa mapenzi..
Kwa wanaojifanya wanajua hiphop kwa kuwajua kina lilwyne na young killer mwenyewe nawasorora tuu. ..