Nikki Mbishi aamua kuacha Muziki Rasmi

Nikki Mbishi aamua kuacha Muziki Rasmi

Kufikia kumfananisha izzo b na Nikki duuu sijui mmejifunzia wp mziki
Haya ubarikiwe bwana hipuhopu

Hip hop tunaijua na bongo fleva tunaielewa. Usijifanye wewe ndio unaijua sana hip hop, hapa tunamueleza ukweli Huyu jamaa na wenzake wote wa tamaduni. Mbishi atatafuta mchawi nani wakati kajiloga mwenyewe.

Music kama kitu kingine chochote unabadilika, huwezi kuimba vitu hivyo hivyo kila siku beat hiyo hiyo na flow hiyo hiyo na bado watu wakuelewe. Mbaya zaidi huyu jamaa alianza vizuri ila akazidi kuporomoka bila mwenyewe kujua anashuka.

Hajatengeneza soko lake bado anataka asikike Kwa lipi! Kazi kulalamika kama demu. ManSu Li hahit radioni ila hajawahi lalamika na anafanya harakati kivyake nyuma ya pazia.

Hip hop kama aina nyingine ya music lazima uwe na ladha, msikie FidQ akiflow unapata kila kitu unachohitaji Kwa music yani flow, msg na kila kitu sio hawa tamaduni kukaza mashairi huku beat na flow hamna kitu.

Wafikishie salam tamaduni wote waambie kama wanafanya muziki for fan basi sawa waendelee kurapurapu ila wasilalamike kama mademu kama wanafanya mziki ili waingize kipato bora waache maana wanapoteza muda. Huu sio muda wa kumpamba mtu ilhali hakuna kitu anafanya.
 
After play boy swahiba angu Nikki Mbishi hajafanya joint ambayo ina kila kitu(beats,lyrics,style n flow) uku kwingine alikua ana panic sana mfn sauti ya jogoo ilikua na message tight ila mdundo na flow hapana.
Wishin' him ol the best kwenye kila anachoenda kufanya baada kuacha muziki though kukimbia harakati ni sehemu ya uwoga ambao sipendi kuusikia kabisa maana kaka zake wangekua wepesi kusanda asingekuta misingi hii iliopo.

Kama Hujui Kitu Ni Bora Ukakaa Kinywa USIKUTE NYIE NDIO TEAM WEUSI tu
 
Leo kila nikisoma post zake naona kama anatania tu

mara ya kwanza anapanda stejini ilikuwa fiesta anapewa shavu na chidi wa ilala mbeya hii huko alikuwa anasoma chuo
kila siku alikuwa anawakuta watu wana battle freestyles akawa anasimama anawaskiliza weee halafua anatikisa kichwa anaondoka
siku wakampa nafasi alichowafanya wakawa wakimuona wanabadilisha mada kutoka kuimba na kufanya kitu kingine

wakati anapanda show ya mbeya kwa mara ya kwanza alikuwa hana hata nyimbo alikuwa anafreestyle tu
ndipo akawa anashiriki freestyle battle za clouds akachukua laki laki na nusu

alipopotea ilikuwa coco mashindano ya freestyles tatu bora ilikuwa
Nikki mbishi kipindi hicho amesuka halafu anavuta kishenzi
Kuna godzila huyu alikuwa mweusi halafu anatisha ndio sababu ya kujiita godzila siku hizi anang'aa kidogo
Wa mwisho lusajo huyu alikuwa konda wa daladala alikuwa watu wakishuka anawachana kwa vina vya kuimba

Mwisho anabaki lusajo na nikki mbishi ila lusajo anakuwa bingwa anamchana nikki mbishi hadi aibu niliona mimi

ila kaliacha game mapema sana nikki kama fan wake namba moja nimeshangas sana sana

We tunaweza Jaa Moja Tukaongea Unajua!!
 
Kiuhalisia nikk ana mchango katika gemu ya hiphop kwa kiasi chake so huwezi sema hana mchango labda kwa kuweka felling zako..ila pia nakubaliana na wanaosema ata akiondoka hiphop haifi..but me siombi aondoke aache stress arudi afanye kazi but kama ataamua kuondoka kila la kheri....
Kuna kitu kimoja nshindwaga kuelewa katika hiphop japo kwa kiasi fulani na uelewa nayo . jambo lenyewe ni hivi...kuna marapper ambao huwa wanatajwa hawafanyi real hiphop na naona wametajwa huku huku ndani ya thread mfano FA . FID. lilwyne. Na wengineo. .sasa me nachotaka mnisaidie humu ndani ni kwamba real hiphop ni ipi?emc ni yupi fake emc ni yupi?kwa kutumia mifano halisia inayoonekana bila kuingiza UWEUSI UTAMADUNI UWEST COAST UEASTCOST UWATENGWA AU felling za aina yeyote..naipenda hiphop saana coz is all about amani upendo umoja na ukweli. ...tufunguane kwa hilo aseeh. ..

Hip is the knowledge n hop is the movement, angalia msanii anaespread iyo knowledge katika mitaa ndo utajua huyo ndio mc, mfano nikki wa pili, anaelimisha mitaa juu ya kujiajiri, umuhimu wa elimu na mambo ya madawa ya kulevya, uyo ndo mc, rapper ni kama mr.blue na kina country boy wao ni entertainers.. na kuna wengine wanaitwa losers hehehe hawa ni wale wanaotafta kuonewa huruma na jamii, sympathy seekers mfano ni nikki mbishi na nash mc, hawa utawaona wanavyolaumu media zinawadidimiza na kadhalika, we ni mtu wa aina gani udidimizwe na media zote?? Hawa ndo huanzisha movement zisizoleta improvements.. mpaka saivi utakua umewajua mcz, rappers n losers brother.. losers mfano mzuri ni nikki mbishi, the quiter.. man su lee ana ages kwenye game lakini hajwai kusema anaquit, ye asepe tu, krs one wa mbele hajaquit, aache tu mziki, akaoshe wadada kucha saluni, manicure n pedicure, atafanya vzuri uko
 
What is the knowledge? Msanii aimbe nini ndo tuseme hii ni knowledge na hii sio knowledge? Mr blue kaimba nyimbo na jide (nlishakuwaga na wangu ila alinitesa)apo ajaelimisha? Pia ameimba pesa hajaencourage watu kutafuta pesa? Na msanii anatakiwa tu kila siku aimbe nyimbo za knowlege ndo aitwe emcee?nikk mbishi kaimba ngoma inaitwa kila siku ni ya kuintertain na nikk wa pili nae kaimba niacheni kidogo ameintertain pia...tofauti tuu Mr blue kaimba nyingi za kuintertain. ..
B
Mgumu wa ara...nmekuelewa kwa kiasi fulani but ebu endelea kunifafanulia apo chini nauliza ivi ili nielewe sio kitu kingine arifuu
 
What is the knowledge? Msanii aimbe nini ndo tuseme hii ni knowledge na hii sio knowledge? Mr blue kaimba nyimbo na jide (nlishakuwaga na wangu ila alinitesa)apo ajaelimisha? Pia ameimba pesa hajaencourage watu kutafuta pesa? Na msanii anatakiwa tu kila siku aimbe nyimbo za knowlege ndo aitwe emcee?nikk mbishi kaimba ngoma inaitwa kila siku ni ya kuintertain na nikk wa pili nae kaimba niacheni kidogo ameintertain pia...tofauti tuu Mr blue kaimba nyingi za kuintertain.
Mgumu wa ara...nmekuelewa kwa kiasi fulani but ebu endelea kunifafanulia apo chini nauliza ivi ili nielewe sio kitu kingine arifuu.
Na umesema nikk2 ni emc but nikk mbishi ni loser(fake)so msanii akilalamika kwa media ndo anaitwa fake rapper?how abt mtu kama immortal ambae daily analalamikia media za mbele huku akiwa ametoa track za kuelimisha kama harlem city . industry revolution. Point of no return. Nae tumuite fake rapper?
How abt fid anaimba nyimbo za knowlege alafu analalamikia media.mfano mzuri ni track yake inayoitwa hiphop bongo .sio bongo tu mpaka ng'ambo hakuna uhuru wa habari ila kuna uhuru wa wenye vyombo.akaja tena akasema nachojua ni kamwe ipp haitampinga mengi...labda tofauti ni njia za kukosoa media tu.
Aya krsone katika ngoma yake inayoitwa mc's act like they don know. Itafute ata sasa ivi kadis pia vyombo....so me naona kigezo chako cha kulalamika kwa media ndo tumuite nikk fake kama hakijitoshelez.navyojua hiphop ni kusema ukweli so how kama media kweli zinazingua?
Nikk asiziambie ukweli?je kusema ukweli ndo tumuite fake?simtetei mtu ila najaribu kufahamu y baadhi ya artist wanaitwa fake na wengine real emcs.....anaejua hili anifafanulie kwa mifano hasa kwa kuzingatia artist wa mbele na wa bongo
 
Hip hop tunaijua na bongo fleva tunaielewa. Usijifanye wewe ndio unaijua sana hip hop, hapa tunamueleza ukweli Huyu jamaa na wenzake wote wa tamaduni. Mbishi atatafuta mchawi nani wakati kajiloga mwenyewe.

Music kama kitu kingine chochote unabadilika, huwezi kuimba vitu hivyo hivyo kila siku beat hiyo hiyo na flow hiyo hiyo na bado watu wakuelewe. Mbaya zaidi huyu jamaa alianza vizuri ila akazidi kuporomoka bila mwenyewe kujua anashuka.

Hajatengeneza soko lake bado anataka asikike Kwa lipi! Kazi kulalamika kama demu. ManSu Li hahit radioni ila hajawahi lalamika na anafanya harakati kivyake nyuma ya pazia.

Hip hop kama aina nyingine ya music lazima uwe na ladha, msikie FidQ akiflow unapata kila kitu unachohitaji Kwa music yani flow, msg na kila kitu sio hawa tamaduni kukaza mashairi huku beat na flow hamna kitu.

Wafikishie salam tamaduni wote waambie kama wanafanya muziki for fan basi sawa waendelee kurapurapu ila wasilalamike kama mademu kama wanafanya mziki ili waingize kipato bora waache maana wanapoteza muda. Huu sio muda wa kumpamba mtu ilhali hakuna kitu anafanya.

So tatizo lako ni tamaduni kukaza?okay basi sawa
Maini Yangu kama hauhusiki nayo usisikilize maana haitakusaidia
 
Ninefatilia kwa kina huu mjadala nilikuwa nataka kutochangia ila nimeona sitowatendea haki mashabiki wa damu wa hiphop.

Kifupi ni hivi Niki Mbishi hajawahi baniwa na mtu ila amejibania mwenyewe miaka yote.....Hivyo kutangaza kwake kuacha game ni kitendo cha msingi sana (kama hatafuti kick za kitoto) kwani alikuwa anapoteza muda kwenye muziki coz muziki usingekuja kumlipa kamwe.

Mimi nawashauri na watoto wa Tamaduni wengine wamuunge mkono wafanye ishu nyingine coz mzk washachemsha. Na hii yote kutokana na usela mavi wao na akili za kushikiwa.

Niki kafanya uamuzi wa busara sana, tunawasubiria kina Nash mc, Zaiid, Azma na wahuni wengine wafate mkondo.

https://m.youtube.com/watch?v=ggVsdYfegYE
loose yourself inaitwa
Kula burudani hutaki kunya tikiti tumechoka kubishana na msiojua kitu
 
Kiuhalisia nikk ana mchango katika gemu ya hiphop kwa kiasi chake so huwezi sema hana mchango labda kwa kuweka felling zako..ila pia nakubaliana na wanaosema ata akiondoka hiphop haifi..but me siombi aondoke aache stress arudi afanye kazi but kama ataamua kuondoka kila la kheri....
Kuna kitu kimoja nshindwaga kuelewa katika hiphop japo kwa kiasi fulani na uelewa nayo . jambo lenyewe ni hivi...kuna marapper ambao huwa wanatajwa hawafanyi real hiphop na naona wametajwa huku huku ndani ya thread mfano FA . FID. lilwyne. Na wengineo. .sasa me nachotaka mnisaidie humu ndani ni kwamba real hiphop ni ipi?emc ni yupi fake emc ni yupi?kwa kutumia mifano halisia inayoonekana bila kuingiza UWEUSI UTAMADUNI UWEST COAST UEASTCOST UWATENGWA AU felling za aina yeyote..naipenda hiphop saana coz is all about amani upendo umoja na ukweli. ...tufunguane kwa hilo aseeh. ..

Simple yyte anayefanya mziki handaki/underground hip hop is emc
Mainstream rappaz mostly are fake
 
Kama hamuelew sio mnaropoka tu na nyie muwe mmechangia
Kukaa kimya ni busara zaidi

Wewe unayeelewa si ndio utueleweshe..kinachomtofautisha afande na niki ni nini tueleweshe tusioielewa hiphop,ili tuelewe kwa nini afande hafanyi hiphop na anachoimba tukiite nini....usiwe much know kama Nash mc kujifanya anaijua hiphop kuliko KBC.
 
Hip is the knowledge n hop is the movement, angalia msanii anaespread iyo knowledge katika mitaa ndo utajua huyo ndio mc, mfano nikki wa pili, anaelimisha mitaa juu ya kujiajiri, umuhimu wa elimu na mambo ya madawa ya kulevya, uyo ndo mc, rapper ni kama mr.blue na kina country boy wao ni entertainers.. na kuna wengine wanaitwa losers hehehe hawa ni wale wanaotafta kuonewa huruma na jamii, sympathy seekers mfano ni nikki mbishi na nash mc, hawa utawaona wanavyolaumu media zinawadidimiza na kadhalika, we ni mtu wa aina gani udidimizwe na media zote?? Hawa ndo huanzisha movement zisizoleta improvements.. mpaka saivi utakua umewajua mcz, rappers n losers brother.. losers mfano mzuri ni nikki mbishi, the quiter.. man su lee ana ages kwenye game lakini hajwai kusema anaquit, ye asepe tu, krs one wa mbele hajaquit, aache tu mziki, akaoshe wadada kucha saluni, manicure n pedicure, atafanya vzuri uko

Nahtaj kujua ugumu wako ni nn hasa
Just be honest tu humpend nikki sababu anavyowachana weusi that's all huna lolote
Kama hujui kitu sio lazima kuongea guys nasisitiza hilo bwana mgumu mavi
 
What is the knowledge? Msanii aimbe nini ndo tuseme hii ni knowledge na hii sio knowledge? Mr blue kaimba nyimbo na jide (nlishakuwaga na wangu ila alinitesa)apo ajaelimisha? Pia ameimba pesa hajaencourage watu kutafuta pesa? Na msanii anatakiwa tu kila siku aimbe nyimbo za knowlege ndo aitwe emcee?nikk mbishi kaimba ngoma inaitwa kila siku ni ya kuintertain na nikk wa pili nae kaimba niacheni kidogo ameintertain pia...tofauti tuu Mr blue kaimba nyingi za kuintertain. ..
B
Mgumu wa ara...nmekuelewa kwa kiasi fulani but ebu endelea kunifafanulia apo chini nauliza ivi ili nielewe sio kitu kingine arifuu

Giving up ndio sign ya ufakeness na uwaki wa nikki, real hip hop is not about money, saigon mbna anaelimisha jamii hajagive up, hiphop is somethin pipo do with passion, hip hop ni culture sio mziki tu, ni maisha kiujumla ya mtu. Sasa we utakapo give up ulichokua unafanya kisa hakikulipi kwaio ina maana we ni fake, we hukuwa unafanya kwa ajili ya mitaa ulkua una kifanya kwa ajili ya pesa, unaona hiphop hailipi sio kuacha kurap unatfta kazi ingine unaifanya na uku unaendelea kurap, sio kufanya kwajili ya money n fame, real hiphop is for the pipo, we ni voice of the pipo, givin up means kuwasnitch raia, kusnitch fan base yako yote.
 
Giving up ndio sign ya ufakeness na uwaki wa nikki, real hip hop is not about money, saigon mbna anaelimisha jamii hajagive up, hiphop is somethin pipo do with passion, hip hop ni culture sio mziki tu, ni maisha kiujumla ya mtu. Sasa we utakapo give up ulichokua unafanya kisa hakikulipi kwaio ina maana we ni fake, we hukuwa unafanya kwa ajili ya mitaa ulkua una kifanya kwa ajili ya pesa, unaona hiphop hailipi sio kuacha kurap unatfta kazi ingine unaifanya na uku unaendelea kurap, sio kufanya kwajili ya money n fame, real hiphop is for the pipo, we ni voice of the pipo, givin up means kuwasnitch raia, kusnitch fan base yako yote.

Aya ara tuachane na nikk mbishi. .tuje kwa nlichoouliza fake na real emcs..how! FA fid lilwyne.izzo ni fake lakini wengine real mnatumia vigezo gan apo
 
Simple yyte anayefanya mziki handaki/underground hip hop is emc
Mainstream rappaz mostly are fake

Gwijimimi unaniacha...who is underground emc's and who is maistream?tunatumia vigezo gan kuwatofautisha? Toa mifano usiogope wataje ili nielewe hiphop is all about truth. ......naomba unielimishe
 
Nahtaj kujua ugumu wako ni nn hasa
Just be honest tu humpend nikki sababu anavyowachana weusi that's all huna lolote
Kama hujui kitu sio lazima kuongea guys nasisitiza hilo bwana mgumu mavi

Ndio simpendi nikki coz sio positive, mtu anaedis kila kitu, he thinks he is perfect while no one is perfect, imagine analine inamdiss hadi rose mhando, kamdis wema, sijui loveness love, he cnt mind his own bizness, sio kuwadiss tu weusi ye anadiss kila kitu, he aint positive, unajua we unafaa kuwa mke wa nikki, u wil b a gud step mother kwa malcolm.. ugumu wangu ni kwamba i only roll wit positive minded ones, the go getters, sio nyie wafuasi wa kufuata watu wanaojiona superiors while they aint shit..
 
Back
Top Bottom