Nikki Mbishi aamua kuacha Muziki Rasmi

Nikki Mbishi aamua kuacha Muziki Rasmi

gwijimimi acha kuzingua ebu tueleze unachojua wewe kuhusu underground hiphop...Hujui chochote kuhusu hiphop mtoto mdogo tu wewe na watamaduni wenzio.

Yani anadandia dandia tu kila comment na kucriticize, lakn amna analojua.
 
Last edited by a moderator:
Yani anadandia dandia tu kila comment na kucriticize, lakn amna analojua.

Probably ni kweli hakuna nachojua as u say but umesema hujui chochote kuhusu underground aka mfumo handaki so how the hell can u differentiate btn underground and mainstream?
Nasisitiza tena sio vibaya kujifunza the ego u have inawafanya muendelee Kua maskin Wa fikra kila siku
 
Enheee sasa umekuja nlipokua napataka..
kwanza kabisa nakujibu navyoelwa undgrnd na mainstream, mainstream emceez ni wale mceez wanaopata kuskika sana kwenye media na undergrnd ni wale wasiopata media attention kubwa..
nakuja sasa kukuuliza kuusu nikki mbishi, tukichukulia mfano wa emceez wa mbele kina mos def, krs one, common hawanganganii hiyo media attention na kuclaim kuacha mziki?? iweje huyu wack kama ni undergrnd kwanin anganganie media attention na pale anapoona hapati promo na kadhalika kwanin aseme anaacha mziki.. mbna mnakua mmefungwa mawazo, nnacho taka kusema kuusu nikki mbishi ni kwamba alkua kati ya mainstream mc'z kipindi anatoa nyimbo za kueleweka lakini baada ya yeye kutokua creative na kadhalika ndo chanzo cha yeye kutopata airtime kwenye media.. he is a broke mainstream rapper

underground hiphop sio kuchezwa au kutochezwa kwenye media, underground ni aina ya muziki wa hiphop. Krs1 anafanya underground lakini kachezwa sana radio, redman kachezwa sana, Wu tang wamechezwa sana, kendrick lamar, lupe fiasco, camron, juelz santana, common wengi wengi sana wanafanya underground lakini wapo kwenye mainstream.

Kibongobongo Ngosha anafanya underground lakini yupo mainstream.
 
Probably ni kweli hakuna nachojua as u say but umesema hujui chochote kuhusu underground aka mfumo handaki so how the hell can u differentiate btn underground and mainstream?
Nasisitiza tena sio vibaya kujifunza the ego u have inawafanya muendelee Kua maskin Wa fikra kila siku

Okay mimi sijui tofauti ebu nielezee unipe elimu. wats the difference?
 
Enheee sasa umekuja nlipokua napataka..
kwanza kabisa nakujibu navyoelwa undgrnd na mainstream, mainstream emceez ni wale mceez wanaopata kuskika sana kwenye media na undergrnd ni wale wasiopata media attention kubwa..
nakuja sasa kukuuliza kuusu nikki mbishi, tukichukulia mfano wa emceez wa mbele kina mos def, krs one, common hawanganganii hiyo media attention na kuclaim kuacha mziki?? iweje huyu wack kama ni undergrnd kwanin anganganie media attention na pale anapoona hapati promo na kadhalika kwanin aseme anaacha mziki.. mbna mnakua mmefungwa mawazo, nnacho taka kusema kuusu nikki mbishi ni kwamba alkua kati ya mainstream mc'z kipindi anatoa nyimbo za kueleweka lakini baada ya yeye kutokua creative na kadhalika ndo chanzo cha yeye kutopata airtime kwenye media.. he is a broke mainstream rapper
Dude Nikki is out of your league aisee
Since when Nikki ni mainstream?
Probably u real don't knew the meaning of mainstream
Kupigwa na media ndo kua mainstream?dude plz
Mainstream/underground ni mifumo dude not just kua na airtime aisee
We hujiulizi umesikia nyimbo za Nikki Mara ngap redioni na bado tunakuambia alikua underground?
Listen mbele kuna hadi radio station za hip hop Tupu so airtime is nothing
 
gwijimimi acha kuzingua ebu tueleze unachojua wewe kuhusu underground hiphop...Hujui chochote kuhusu hiphop mtoto mdogo tu wewe na watamaduni wenzio.

Nadhani ukisoma comment zangu utajua uelewa wangu na pia utaelewa nasimamia wp
So sina haja ya kukupruvia naijua hip hop
Elewa unavyoelewa Fanya unachofanya but siwez kubishana na nyie mabishano yasiyo na tija maana mnabisha vitu msivyovijua
 
Last edited by a moderator:
underground hiphop sio kuchezwa au kutochezwa kwenye media, underground ni aina ya muziki wa hiphop. Krs1 anafanya underground lakini kachezwa sana radio, redman kachezwa sana, Wu tang wamechezwa sana, kendrick lamar, lupe fiasco, camron, juelz santana, common wengi wengi sana wanafanya underground lakini wapo kwenye mainstream.

Kibongobongo Ngosha anafanya underground lakini yupo mainstream.

U finally come to your senses but u r missing a point huwez kua underground at the same time upo mainstream dude
Airtime is nothng
 
Dude Nikki is out of your league aisee
Since when Nikki ni mainstream?
Probably u real don't knew the meaning of mainstream
Kupigwa na media ndo kua mainstream?dude plz
Mainstream/underground ni mifumo dude not just kua na airtime aisee
We hujiulizi umesikia nyimbo za Nikki Mara ngap redioni na bado tunakuambia alikua underground?
Listen mbele kuna hadi radio station za hip hop Tupu so airtime is nothing

Skia, u know nothin, and the nothing u know is wrong.. amna kitu unaojua kuusu hii culture, do some research kaa na watu wanajua hip hop, kaa na watu wanaojua somthin about the industry, watu wanaojua kuusu uhusiano wa media na industry ya mziki, before u do anythin, be positive minded.. acha kuangalia kitu na negativity, hii itakuasaidia, ww kupanuka kifikra.. upeo wako wa kufikiri ni mdogo na ni mdogo kutokana umezingirwa na chuki, wivu, superiority complex, u think unajua kumbe huna lolote, husda, unafki, kutokuappreciate, arrogance yani ukitoka huko uje kwenye positivity, njoo kwenye kuwaza maendeleo fikiria nje ya box, fikiria beyond the curtains, i cnt ansa questions directly ni kwajili ya kutokujiamini na kutokujua..
 
Skia, u know nothin, and the nothing u know is wrong.. amna kitu unaojua kuusu hii culture, do some research kaa na watu wanajua hip hop, kaa na watu wanaojua somthin about the industry, watu wanaojua kuusu uhusiano wa media na industry ya mziki, before u do anythin, be positive minded.. acha kuangalia kitu na negativity, hii itakuasaidia, ww kupanuka kifikra.. upeo wako wa kufikiri ni mdogo na ni mdogo kutokana umezingirwa na chuki, wivu, superiority complex, u think unajua kumbe huna lolote, husda, unafki, kutokuappreciate, arrogance yani ukitoka huko uje kwenye positivity, njoo kwenye kuwaza maendeleo fikiria nje ya box, fikiria beyond the curtains, i cnt ansa questions directly ni kwajili ya kutokujiamini na kutokujua..

Nikki is out of my league ndio coz am way too fly.. cnt lizen to his crappy music full of hatrade n jelousy. U cnt beat them, join them.. sio kujenga chuki dhidi ya watu
 
U finally come to your senses but u r missing a point huwez kua underground at the same time upo mainstream dude
Airtime is nothng

I do not miss any point my nigga wewe ndio hupo shallow kuhusu hii kitu...na ndio tatizo lenu tamaduni mlianza kusema eti ata Weusi hawafanyi hiphop hii nikuonesha ni kiasi gani hamjui mnachokisimamia....kwenu mtu akitengeneza pesa kupitia hiphop tayari ni wack na hafanyi hiphop.

Kulikuwa na mjadala siku moja kuhusu hiphop, nilimdharau sana huyu mgoroko zavara wannabe mnamwita nash mc akaanza kumu-attack Kibacha eti hajui hiphop, kisa kusema Weusi wanafanya real hiphop...point yake eti weusi wanaimba mapenzi, I was like dude ! real mcs hawaimbi mapenzi!? so Big sio real? pac sio real? ll cool j sio real? ......Japo hakuwa muwazi lakini point ya msingi alitaka kuonyesha ukitengeneza pesa kupitia hiphop hauwi mc wa kweli na ndio ujinga wa hawa watoto wa tamaduni hawaijui hiphop lakini wanafanya kazi ya kuihubiri.
 
I do not miss any point my nigga wewe ndio hupo shallow kuhusu hii kitu...na ndio tatizo lenu tamaduni mlianza kusema eti ata Weusi hawafanyi hiphop hii nikuonesha ni kiasi gani hamjui mnachokisimamia....kwenu mtu akitengeneza pesa kupitia hiphop tayari ni wack na hafanyi hiphop.

Kulikuwa na mjadala siku moja kuhusu hiphop, nilimdharau sana huyu mgoroko zavara wannabe mnamwita nash mc akaanza kumu-attack Kibacha eti hajui hiphop, kisa kusema Weusi wanafanya real hiphop...point yake eti weusi wanaimba mapenzi, I was like dude ! real mcs hawaimbi mapenzi!? so Big sio real? pac sio real? ll cool j sio real? ......Japo hakuwa muwazi lakini point ya msingi alitaka kuonyesha ukitengeneza pesa kupitia hiphop hauwi mc wa kweli na ndio ujinga wa hawa watoto wa tamaduni hawaijui hiphop lakini wanafanya kazi ya kuihubiri.

Dude unanisikitisha kuniita Mimi shallow wakat Maelezo yako yanathibitisha uko shallow
Anyway with below QN ntakuthibitishia how much uko shallow on this
1-unajua aina za uandishi Wa hiphop?let's assume unajua niambie hao mafifty cent Wa arusha wanafit kwenye uandishi gani
2nd-" kwenu mtu akitengeneza pesa kupitia hiphop tayari ni wack na hafanyi hiphop. ">>do u remember cassidy?do u knw how much hi is worth?
Do u knw Marley mall(producer wa hip hop lives)?do u knew how much he is worth?
Do u knw how mos def is worth?
But when was the last time u heard cassidy au mos def kwenye radio zenu hzo?
If they r not mainstream how do they make money?
Ni kasumba yenu tu ndo inazingua kwamba mtu akiwa na hela anakua sio hiphop what a shame dude
Am pretty sure u knew 50 after in da club joint but do u knw 50 had albums before?do u knw how much he made back in days?
U don't sababu mawazo na maisha yako ni mainstream ndo maana una kasumba kama hzo
U talking about weusi na unasema we unajua hiphop?wat ashamed dude
Hao copycat sio watu Wa kuwaongelea kwenye thread kama hzi aisee
Watu wenyewe hawajui hata freestyle n u call them emcs?u must be fu.cking kidding
Wanakopi kuanzia biti hadi flow orijinality yao iko wp sasa?
3rd thing
R we talking about tamaduni musik au Nikki?
Plus how come una include tamaduni?
4,th let's talk about Nash
Kuimba mapenz sio ishu ila unaimbaje?
Umetoa mifano ya mbali wakina big 2pac mos def n the alike but hujasema hayo mapenz wanaimbaje they do not cross the line that's the point dude
Besides hata Nash ana nyimbo za mapenz lakini anaimbaje(sikiliza nyimbo ya Nikki mbishi inaitwa michepuko )
Kuwapenda weusi au sijui tamaduni isiwe tabu ya kupotosha watu
Besides tamaduni sio kundi ni cipher(kilinge) so kama unajua maana ya kilinge cha hip hop utajua maana yake
U call nasha zavara wannabe kisa he has movements?duu aisee
Mi nadhan tufunge Huu mjadala endelea kuwasikiliza weusi nn mzuka
 
Skia, u know nothin, and the nothing u know is wrong.. amna kitu unaojua kuusu hii culture, do some research kaa na watu wanajua hip hop, kaa na watu wanaojua somthin about the industry, watu wanaojua kuusu uhusiano wa media na industry ya mziki, before u do anythin, be positive minded.. acha kuangalia kitu na negativity, hii itakuasaidia, ww kupanuka kifikra.. upeo wako wa kufikiri ni mdogo na ni mdogo kutokana umezingirwa na chuki, wivu, superiority complex, u think unajua kumbe huna lolote, husda, unafki, kutokuappreciate, arrogance yani ukitoka huko uje kwenye positivity, njoo kwenye kuwaza maendeleo fikiria nje ya box, fikiria beyond the curtains, i cnt ansa questions directly ni kwajili ya kutokujiamini na kutokujua..

Duuu hao wajuaji wenyewe ndo kama ww manaoshindwa hata kujua maana ya underground wala mainstream na bado mnakazana kubisha?duuu kazi IPO
Haya kama umeshinda we hip hop ww
Wewe nomaaaa
 
Nikki is out of my league ndio coz am way too fly.. cnt lizen to his crappy music full of hatrade n jelousy. U cnt beat them, join them.. sio kujenga chuki dhidi ya watu

Kwani lazima umsikilize Nikki?
Tatizo langu ni kwamba Maelezo yako yanajitosheleza kutuonesha upeo ulionao kuhusu hip hop n yet unajifanya unajua
What ashame
Have gud day wesi hipuhopu
 
Oyaaa wack rapper wenu, anaediss media atakua on air clouds fm muda si mrefu, atakua anazungumzia juu ya yeye kuachwa na hip hop, sio kuacha, KUACHWA NA HIP HOP..
 
Back
Top Bottom