Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Jf imevamiwa na watoto wengi sana, na watu wasiokua na uwezo kiakili.
Huyo mpuuzi ni wa kumfananisha na Nikki wa Pili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf imevamiwa na watoto wengi sana, na watu wasiokua na uwezo kiakili.
Wakazi ana usomi gani? Niki mbishi ana usomi gani? Uno ana usomi gani?Huyo jamaa mnamuhype kinyama au kisa kapata uDC ? [emoji23]. Kuna watu Wana akili na wasomi Ila wapo low key kina wakazi, mbishi naye pia, mwanaFA , Uno , mex Cortez and so on
Unajua mafuta na Maji hujitenga. Niliwahi kuwaambia hao tamaduni, Kama wanaamini wanakubalika waandae show tu ya bure, waone. Kuna mwenza alikua na show za bure kule tandika mwembeyanga. Akajjkuta yupo na watu 10 tu.Siupingi uwezo wa unjuuu ila Kuna siku nilishangaa Sana baada ya malalakiko kua mengi kua jamaa anabaniwa kina weusi wanapendelewa kupewa shows unju akabahatika kuitwa kwenye show za wasafi festival Kama sikosei ni shinyanga kiukweli aibu niliona Mimi maana jamaa alikua anajiimbia mwenyewe mashabiki hawajui nyimbo zake kuficha aibu akaanza kufreestyle za uwongo na kweli kuua msala nikaja nikacheki shows za weusi fiesta akiwepo Niki wa pilii mikoani dooh majamaaa walikua wanaaamsha na Kijiji chote maraia wanajua nyimbo zao karibia zote
Sasa hapa nikaja nikawaza ukali wa mtu unapimwa vipi yani?
Wewe ni punguani, Kama ana washabiki wake kwa nini asiandae show zake awapate hao watu wake? Muulize mauzo ya album na mixtapes zake kafikia wapi?Sasa mtu ameenda kumsikiliza zuchu anakutana Na Niki mbishi ataelewa Kweli? Hip hop Ni mziki wa wanaume lakini ngonjera Za Niki wa pili,bongo fleva Na taarabu Ni muziki ya wanawake Na mashago
Ni mafuta na MajiWA pili kwangu zaidi mkuu.
Wewe ni mpuuzi, Nani alianza Kati ya Nikki wa Pili na weusi?Niki wa Pili anabebwa na kivuli cha weusi.
Nikki WA pili ana usomi gani ? Tuambie mtoto mwenzetuWakazi ana usomi gani? Niki mbishi ana usomi gani? Uno ana usomi gani?
Mbona siku hizi kumejaa Watoto Watoto Sana humu?
[emoji23][emoji23]Dadeq uzi umevamiwa na mis wapili.
Wewe ni mpumbavu, ndio maana ninasema jf imevamiwa na watoto. Unauliza usomi wa Nikki wa pili?Nikki WA pili ana usomi gani ? Tuambie mtoto mwenzetu
Easy to bro si ujibu ana usomi gani Kwa uelewa wako ? Sasa jazba za nn au mna mahusiano ?Wewe ni mpumbavu, ndio maana ninasema jf imevamiwa na watoto. Unauliza usomi wa Nikki wa pili?
WEwe kwasababu umeshazoea zuchu Na hadija kopa huwezi kuamini kama Kuna wanaume TanzaniaWewe ni punguani, Kama ana washabiki wake kwa nini asiandae show zake awapate hao watu wake? Muulize mauzo ya album na mixtapes zake kafikia wapi?
Acheni ujinga nyie
Hii haiwezekani mkuuKatika snario hiyohiyo mbona akipanda fid q akichana anapata shangwe lake as usual y not Niki mbishi au fid q nae anaimba ngonjera
Sasa tuupimeje ukali wa mtu sio kwa kuangalia response ya audience wakati akiperform au labda wewe unawazaje ili mtu aonekane ni mkali apimwejeHii haiwezekani mkuu
NI Sawa na kupima ukali Kati ya MC na rapper ... Kiuwezo MC n hatari na anabaki na utamaduni halisi WA hip-hop ..rappers wanabadilika kutokana na trend hawa n wazee wa mainstream... audience inavutiwa zaidi na marappers au HIPHOP singers ..lkn ma MC tunawaelewa zaidi streetwiseSasa tuupimeje ukali wa mtu sio kwa kuangalia response ya audience wakati akiperform au labda wewe unawazaje ili mtu aonekane ni mkali apimweje
Hip hop inapimwa Kwa mistari sio umaarufu...kuhusu response ya stage hata Juma lokole akipanda akaanza kukata mauno stage itarespondSasa tuupimeje ukali wa mtu sio kwa kuangalia response ya audience wakati akiperform au labda wewe unawazaje ili mtu aonekane ni mkali apimweje
Dj JD ✍️NI Sawa na kupima ukali Kati ya MC na rapper ... Kiuwezo MC n hatari na anabaki na utamaduni halisi WA hip-hop ..rappers wanabadilika kutokana na trend hawa n wazee wa mainstream... audience inavutiwa zaidi na marappers au HIPHOP singers ..lkn ma MC tunawaelewa zaidi streetwise
Wewe ndio mpuuzi!? Kuanza ndio nini!? Nikki alianza kubebwa na Joe na akaendelea kubebwa na Weusi as a group. Nje ya kivuli hicho ni sawa sawa tu na Abdu Kiba.Wewe ni mpuuzi, Nani alianza Kati ya Nikki wa Pili na weusi?