Tanzania ni moja ya nchi ambayo hutaacha kushangaa ya walimwengu. Wengi wa waswahili wanajua kila mwenye pesa ni mwizi wa Mali ya umma. Hivyo kwa kutambua hilo nimeona niliweke wazi kwa huyu mkuu wa wilaya mh.Nikki wa Pili ili baadae akiwa nje ya ukuu wa wilaya isije kuonekana alipata utajiri...