Kwani tamaduni ya kuvisha pete ya uchumba imetokea tamaduni gani?Tuheshimu tamaduni zetu tuache kuiga tamaduni za watu kwan huo utamaduni wa mwanaume kupiga magoti upo jamii gani hapa Tanzania
Dah hii dunia,,, goti unapiga na bado wahuni wanakugongeaRapa msomi kutoka kiwanda Cha bongo fleva Nikki wa Pili amemvisha Pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi , akitarajia kuaga rasmi kambi ya ukapela
View attachment 960833
Mwamba alitemwa.Hivi waliishia wapi hawa?
Saivi yuko na Lamomy πππHuko wapi Countrywide ?
Yuko na LamomyMwamba alitemwa.
CarleenUsipoongea vizuri na wazee, haya uliyoyasema ni uhakika kabisa.
Lakini pia inawezekana huyo mwanamke hakuwa real kwake, atulie kisha atafute mwingine, life liendelee.
Duh washetamana kumbe ..?Mwamba alitemwa.
Gily Gru nipe mbinu mkuu ndo maana Nourhan anakupa ya hela yote?Walishaachana. Nikki ni mtu mpole na mwema kitu ambacho kinamgharimu sana. Wanawake wanapenda mtu chakaramu kama Diamond au Harmonize... ukiwa mstaarabu hawapendi. Huwa wanataka mtu anayewapa hekaheka.
dronedrakePongezi Sana
Mwigulu nchemba huyokigogo mmoja huko alifinyiwa kwa ndani
kafaidi mnoMwigulu nchemba huyo
Lamomy kaa chonjo πMpe mawasiliano yangu
Duh makubwa πππMwigulu nchemba huyo