Nikki wa Pili ayape heshima mavazi ya kitaaluma. Achague kuwa PhD holder ama abaki na swagger zake za kisela

Nikki wa Pili ayape heshima mavazi ya kitaaluma. Achague kuwa PhD holder ama abaki na swagger zake za kisela

Hizo Poor Hair Distribution huwa zinarithiwa au nunuliwa???

Endeleeni kununua tu......
 
Ni kama mtu anayevaa kanzu na barakashia alafu mkononi anachupa ya bia ama msokoto wa bangi. Si sahihi kabisa.

View attachment 756353

View attachment 756356
Habari za wakati huu ndugu zangu wa hapa JF.

Leo naomba tujadili hili suala la mtu mmoja kuvaa kofia mbili ambazo kwa mtazamo wangu haziwezi kuvalika kwa wakati mmoja.

Naomba tujadili hili with reference to Nikki wa pili msanii mwanamuziki wa hip hop mbaye yupo mbioni kutunukiwa PhD. Soon Nikki will be having a doctorate.

Hivi katika hali ya kawaida ya maisha inawezekana vipi kwa msanii mwenye kofia mbili (intellectual life pamoja na hip hop life) kama vile Nikki wa pili msanii ambaye tunajua fika yuko mbioni kuwa miongozi mwa watanzania wenye kiwango cha juu cha elimu (Phd Holder) kuweza ku balance maisha ya aina zote mbili yaani kuonekana kwenye video za hip hop zenye wanawake waliovaa nusu uchi, wanaume wenye kuvaa kata K na kuonesha kidole cha kati pamoja na kusuka nywele alafu kesho unamuona yupo na intellectuals wengine kama akina Prof. Kabudi and other high profile intellectual figures, wanajadili mambo mazito ya nchi yahusuyo maendeleo ya taifa letu. How's this possible?

Binafsi, simsemi Nikki vibaya, ila ninadhani anahitaji ku sacrifice kimoja wapo.

Aidha aendelee kuwa wana hip hop ama aachane au apunguze swagger za ki hip hop na avae muonekano wa kisomi zaidi kwa maana yeye ni kioo cha jamii sasa.

Simaanishi kuwa anapaswa kuwatenga wavaa kata K kama kaka yake Joe, hapana, ila kuna ulazima wa yeye kuipa hiyo PhD heshima yake.

I STAND TO BE CORRECTED.

Una PhD?
 
Kama issue ni usomi na maadili,ukiaaanza na Nikki wa pili utakuwa umemuonea saana...Naomba uanze kwa Maprofesa wetu kadhaa ambao kimaadili wameudhalilisha mno usomi.
 
Kuna mahali pameandikwa how a PhD holder should behave, labda kwa bahati mbaya hujawahi kupasoma! Kwa kuanzia tu, ungeanza kufahamu lile gauni linalovaliwa wakati wa mahafali lina maana gani, kofia (na zile pembe zake) au kile ki mkia (tassle). Pia hudhuria mahafali mtu anapokuwa anatunukiwa shahada ya Uzamivu (PhD). Mimi huwa naifananisha na ibada ya mageuzo!

Baada ya kufahamu hayo machache, utarudi hapa jukwaani tujadili!
Umekariri?

Phd holder ni ndani ya kichwa na sio muonekano wa mavazi
 
Wivu wa kimasikini acha kijiba cha roho mie napenda aendelee ili ilete ushawishi wasanii wetu warudi shule Mana wengi wao ni std7 na form 4
 
Hahaha bro kabla hujaanza kukosoa mavazi ya Niki kisa anatarajia kua doctorate ungejiuliza hao waliotangulia wanafanya lipi la maana?
Tena ma profesa kabisa wanaongoza kwa anasa za kila aina, wanavyowakunja dada zetu huko vyuoni na wanawake wa bar wanavyofanyiwa na hao unaowaita wasomi walai usinge hukumu uvaaji wa Niki.

Anyway, ushasema ana kofia mbili, naamini anazitumia kila moja mahala pake, akiwa kazi yake ya hip hop atavaa kulingana na kazi yake, akiwa na wasomi wenzake atavaa kulingana na mazingira hayo.

Tukitafuta kuvaa kwa maadili tutakimbiana maana hakuna asiyejua historia ya muafrica, mavazi walituletea hao hao waliotuletea na elimu.
 
Hakuna kitu kama hicho wala hasomei PHD uzushi mtupu.

Ana masters only.
 
Ni kama mtu anayevaa kanzu na barakashia alafu mkononi anachupa ya bia ama msokoto wa bangi. Si sahihi kabisa.

View attachment 756353

View attachment 756356
Habari za wakati huu ndugu zangu wa hapa JF.

Leo naomba tujadili hili suala la mtu mmoja kuvaa kofia mbili ambazo kwa mtazamo wangu haziwezi kuvalika kwa wakati mmoja.

Naomba tujadili hili with reference to Nikki wa pili msanii mwanamuziki wa hip hop mbaye yupo mbioni kutunukiwa PhD. Soon Nikki will be having a doctorate.

Hivi katika hali ya kawaida ya maisha inawezekana vipi kwa msanii mwenye kofia mbili (intellectual life pamoja na hip hop life) kama vile Nikki wa pili msanii ambaye tunajua fika yuko mbioni kuwa miongozi mwa watanzania wenye kiwango cha juu cha elimu (Phd Holder) kuweza ku balance maisha ya aina zote mbili yaani kuonekana kwenye video za hip hop zenye wanawake waliovaa nusu uchi, wanaume wenye kuvaa kata K na kuonesha kidole cha kati pamoja na kusuka nywele alafu kesho unamuona yupo na intellectuals wengine kama akina Prof. Kabudi and other high profile intellectual figures, wanajadili mambo mazito ya nchi yahusuyo maendeleo ya taifa letu. How's this possible?

Binafsi, simsemi Nikki vibaya, ila ninadhani anahitaji ku sacrifice kimoja wapo.

Aidha aendelee kuwa wana hip hop ama aachane au apunguze swagger za ki hip hop na avae muonekano wa kisomi zaidi kwa maana yeye ni kioo cha jamii sasa.

Simaanishi kuwa anapaswa kuwatenga wavaa kata K kama kaka yake Joe, hapana, ila kuna ulazima wa yeye kuipa hiyo PhD heshima yake.

I STAND TO BE CORRECTED.
ngoja tukualike jukwaa la wajamaa tanzania(JULAWATA) nikki atakujibu.
 
Ni kama mtu anayevaa kanzu na barakashia alafu mkononi anachupa ya bia ama msokoto wa bangi. Si sahihi kabisa.

View attachment 756353

View attachment 756356
Habari za wakati huu ndugu zangu wa hapa JF.

Leo naomba tujadili hili suala la mtu mmoja kuvaa kofia mbili ambazo kwa mtazamo wangu haziwezi kuvalika kwa wakati mmoja.

Naomba tujadili hili with reference to Nikki wa pili msanii mwanamuziki wa hip hop mbaye yupo mbioni kutunukiwa PhD. Soon Nikki will be having a doctorate.

Hivi katika hali ya kawaida ya maisha inawezekana vipi kwa msanii mwenye kofia mbili (intellectual life pamoja na hip hop life) kama vile Nikki wa pili msanii ambaye tunajua fika yuko mbioni kuwa miongozi mwa watanzania wenye kiwango cha juu cha elimu (Phd Holder) kuweza ku balance maisha ya aina zote mbili yaani kuonekana kwenye video za hip hop zenye wanawake waliovaa nusu uchi, wanaume wenye kuvaa kata K na kuonesha kidole cha kati pamoja na kusuka nywele alafu kesho unamuona yupo na intellectuals wengine kama akina Prof. Kabudi and other high profile intellectual figures, wanajadili mambo mazito ya nchi yahusuyo maendeleo ya taifa letu. How's this possible?

Binafsi, simsemi Nikki vibaya, ila ninadhani anahitaji ku sacrifice kimoja wapo.

Aidha aendelee kuwa wana hip hop ama aachane au apunguze swagger za ki hip hop na avae muonekano wa kisomi zaidi kwa maana yeye ni kioo cha jamii sasa.

Simaanishi kuwa anapaswa kuwatenga wavaa kata K kama kaka yake Joe, hapana, ila kuna ulazima wa yeye kuipa hiyo PhD heshima yake.

I STAND TO BE CORRECTED.
ngoja tukualike jukwaa la wajamaa tanzania(JULAWATA) nikki atakujibu.
 
Ni kama mtu anayevaa kanzu na barakashia alafu mkononi anachupa ya bia ama msokoto wa bangi. Si sahihi kabisa.

View attachment 756353

View attachment 756356
Habari za wakati huu ndugu zangu wa hapa JF.

Leo naomba tujadili hili suala la mtu mmoja kuvaa kofia mbili ambazo kwa mtazamo wangu haziwezi kuvalika kwa wakati mmoja.

Naomba tujadili hili with reference to Nikki wa pili msanii mwanamuziki wa hip hop mbaye yupo mbioni kutunukiwa PhD. Soon Nikki will be having a doctorate.

Hivi katika hali ya kawaida ya maisha inawezekana vipi kwa msanii mwenye kofia mbili (intellectual life pamoja na hip hop life) kama vile Nikki wa pili msanii ambaye tunajua fika yuko mbioni kuwa miongozi mwa watanzania wenye kiwango cha juu cha elimu (Phd Holder) kuweza ku balance maisha ya aina zote mbili yaani kuonekana kwenye video za hip hop zenye wanawake waliovaa nusu uchi, wanaume wenye kuvaa kata K na kuonesha kidole cha kati pamoja na kusuka nywele alafu kesho unamuona yupo na intellectuals wengine kama akina Prof. Kabudi and other high profile intellectual figures, wanajadili mambo mazito ya nchi yahusuyo maendeleo ya taifa letu. How's this possible?

Binafsi, simsemi Nikki vibaya, ila ninadhani anahitaji ku sacrifice kimoja wapo.

Aidha aendelee kuwa wana hip hop ama aachane au apunguze swagger za ki hip hop na avae muonekano wa kisomi zaidi kwa maana yeye ni kioo cha jamii sasa.

Simaanishi kuwa anapaswa kuwatenga wavaa kata K kama kaka yake Joe, hapana, ila kuna ulazima wa yeye kuipa hiyo PhD heshima yake.

I STAND TO BE CORRECTED.
Usimpangie cha kufanya.

Hao wanaomfundisha wanajua anachokifanya nje ya darasa, hawajaona shida wakaendelea kumfundisha.

Hizo PHD zilizo mtaani zimefanya lipi la maana kuisaidia Tanzania?

Hata wakina Gigi Money wakasomee tu hizo PHD.
 
Ni mbaya sana kumpangia mtu aishi maisha unayotaka wewe
 
Mi nafikili umekulupuka tu mwenyewe wapi imeandikwa ukiwa na elimu kiwango hichi vaa hiv kingine yupo kazini lazima awe na nguvu kushawishi vijana ndio wenye mziki acha avae atakavyo
 
Back
Top Bottom