Nikki wa Pili jifunze jambo hili kwa Wakazi

Nikki wa Pili jifunze jambo hili kwa Wakazi

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
First of all najua wewe ni member wa Jf Kwa sababu Ur a graduate and "Every Tanzanian Graduate is presumed to be a member of Jamii Forums until proven otherwise"

Back to my topic.
Nikki wa Pili wewe umekuwa ukijinasibu kama msanii mwana hip hop msomi but kwenye interviews zako simuoni msanii mwana hip hop msomi. Kwenye interviews za Nikki wa Pili ninamuona "Msomi Graduate wa UDSM ambae anafanya muziki" Simuoni mwanamuziki wa hip hop msomi wa chuo.

From.Hiphop perspective, interview zako zinaboa Sana. Unaongea kistaarabu mno . Yani kama unafanya presentation kwenye seminar pale ss1. Huchangamki kwenye interviews zako. Msanii wa Hip-hop unatakiwa kuonyesha u hip hop wako Hadi kwenye interviews zako Bana.

Fanya udambwidambwi wa ki hip hop. Unaulizwa swali la kimuziki unajibu kwa kumquote Che Guevara, soon there after unaenda kum quote Sokoine. Are u serious bro!!! Una mquote Mzee Warioba kwenye interview ya Hip-hop? Kweli?

Wenzako akiulizwa swali kama Hilo anaanza Kwa kuchangamsha interview Kwa freestyle or acapella and stuffs.

Check interviews za Wakazi.

Yule Jamaa ni shule inayotembea.

NI msomi but haleti habari za madesa anapokuwa kwenye interviews zake.

Anaongea vitu vya kisomi ambavyo vinarelate na.muziki wa hip-hop, biashara ya muziki na show biz industry at large.

At least uwe kama Koffi Olomide. Usomi wa Koffi Olomide unaonekana kwenye ubora na umakini wa kazi zake.

Kama umechagua kuwa an entertainer then be an entertainer.

Mashabiki wa muziki hatutakujudge kama msomi wa Chuo Kikuu ambae anafanya muziki. Sisi tutakujudge kama mwanamuziki wa hip hop. So usituletee madesa kwenye hip-hop.

Msanii wa hip hop unatakiwa kuwa mtundu mtundu.
 
Watu hawawezi kuwa Sawa mkuu, kila mmoja anapaswa kuwa wa kipekee ili kuleta ladha tofauti, kikubwa asitoke kwenye Mada husika na jamii au mashabiki zake wamuelewe.

Chukulia mfano watangazaji wengi wa vipindi vya burudani wanaigana hadi wanaboa. Burudika na wimbo wa 'Zima - Nash Mc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu hawawezi kuwa Sawa mkuu, kila mmoja anapaswa kuwa wa kipekee ili kuleta ladha tofauti, kikubwa asitoke kwenye Mada husika na jamii au mashabiki zake wamuelewe.
Chukulia mfano watangazaji wengi wa vipindi vya burudani wanaigana hadi wanaboa. Burudika na wimbo wa 'Zima - Nash Mc

Sent using Jamii Forums mobile app
Hip hop is a system. It's either u fit in or u fit out. Huwezi kuongea ongea Tu kama Aristote au Juma Lokole halafu uendelee kujiita mwana hip hop
 
Kama unamleta Papa John kwenye Uzi wa Hip-hop😁😁😁we Nikki wa Pili nini? Maana Nikki wa Pili usipo mkatisha anaweza kukuletea hata nukuu ya Daniel Arap Moi wa Kenya au Mzee Warioba
Nadhani bado hujaijua the real meaning of Hip Hop.

Hip hop is what you live.
 
Kwani huyu naye anafanya hip hop? Me namwonaga anafanya fleva za kiarusha Arusha. Japo umri wangu km zimesoma juzi nimemsikiliza wakazi kwenye interview ya the switch, asee wakazi anamwacha mbali Sana Niki wa2
 
Kwani huyu naye anafanya hip hop? Me namwonaga anafanya fleva za kiarusha Arusha. Japo umri wangu km zimesoma juzi nimemsikiliza wakazi kwenye interview ya the switch, asee wakazi anamwacha mbali Sana Niki wa2
Yeah kamuacha mbali Sana.. Nikki kwenye interviews ana portray ustaarabu mpaka anaboa..

Nikki changamka kwenye interviews zako.

Halima Mdee Mwanasheria, Mbunge Lakini akiwa kwenye kampeni na vijana anaongea kimwamba. Haweki mambo ya madesa ya Sheria or something.

Be like that..
 
Hahahaha hao Niki na wakazi wote ni watoto wa mama mmoja hakuna wasanii wano jua kila jambo kama hao na kaka yao Nikki mbishi hahahaha hawa wasanii ni mapacha yani huwa hawakosei yani wajuaji hatari hahaa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
First of all najua wewe ni member wa Jf Kwa sababu Ur a graduate and "Every Tanzanian Graduate is presumed to be a member of Jamii Forums until proven otherwise"

Back to my topic.
Nikki wa Pili wewe umekuwa ukijinasibu kama msanii mwana hip hop msomi but kwenye interviews zako
Niliangalia kipindi Cha the switch kiukwel wakazi anajua kufanya interview aisee binafsi sijaona msanii yoyote Iwe wa bongofleva au hip-hop anaemfikia wakazi kwa kufanya interview.
 
Back
Top Bottom