Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Kwanza ndo atangongwa vzr sema mdahuu ataenda hotel za high classMke wake sasa ataanza kua na heshima kidogo.
Mwenzako ameukwaa u CO wa wilaya ..huyo wakazi Ana cheo gani hapa Tanzania?Wakazi ni "Street Smart" na Exposure ya kutosha! Hivyo ndio muhimu kwenye Maisha. Vingine vyote ni Mbwembwe tuu.
Burnaboy unaongea na kuandika kiswahili???Kaula kaenda ushorobani.
Sasa tupumzike na vile vipost vyake.
Ndio mkuuBurnaboy unaongea na kuandika kiswahili???
Sawa sawa burnaboy wa tandale[emoji1][emoji1][emoji23]Ndio mkuu
Nyie wake zenu hawagongwi?Huyo Kwanza ndo atangongwa vzr sema mdahuu ataenda hotel za high class
Tandale moja 🙌🏽Sawa sawa burnaboy wa tandale[emoji1][emoji1][emoji23]
Wetu hawajianik Kama huyo changudoaNyie wake zenu hawagongwi?
Kwani Ukuu wa Wilaya we unaona Big Deal eenh?Mwenzako ameukwaa u CO wa wilaya ..huyo wakazi Ana cheo gani hapa Tanzania?
Mzazi mwenzie atapunguza trip za wistaz,mana sasa hivi jamaa atakua n pesa ya kuishiMheshimiwa ndani Ya V 8
Anakuja huku uzaramoni!ana bahati Mkurugenzi Musa Gama msela M/kiti wa Halmashauri Mwl Kizwezwe ndo Msela wa Rika lake.Niki huku Kisarawe Kaa na Jokate Vizuri akueleze maana hata yeye alikuwa anatembea na Panadol mfukoni Wazaramo Pasua kichwa watu wasio jari Jokate Mungu kamkumbuka maana alikuwa anazeeka.Kuna wa ukae ukiwa ndezi ndezi watakunyoosha.First of all najua wewe ni member wa Jf Kwa sababu Ur a graduate and "Every Tanzanian Graduate is presumed to be a member of Jamii Forums until proven otherwise"
Back to my topic.
Nikki wa Pili wewe umekuwa ukijinasibu kama msanii mwana hip hop msomi but kwenye interviews zako simuoni msanii mwana hip hop msomi. Kwenye interviews za Nikki wa Pili ninamuona "Msomi Graduate wa UDSM ambae anafanya muziki" Simuoni mwanamuziki wa hip hop msomi wa chuo.
From.Hiphop perspective, interview zako zinaboa Sana. Unaongea kistaarabu mno . Yani kama unafanya presentation kwenye seminar pale ss1. Huchangamki kwenye interviews zako. Msanii wa Hip-hop unatakiwa kuonyesha u hip hop wako Hadi kwenye interviews zako Bana.
Fanya udambwidambwi wa ki hip hop. Unaulizwa swali la kimuziki unajibu kwa kumquote Che Guevara, soon there after unaenda kum quote Sokoine. Are u serious bro!!! Una mquote Mzee Warioba kwenye interview ya Hip-hop? Kweli?
Wenzako akiulizwa swali kama Hilo anaanza Kwa kuchangamsha interview Kwa freestyle or acapella and stuffs.
Check interviews za Wakazi.
Yule Jamaa ni shule inayotembea.
NI msomi but haleti habari za madesa anapokuwa kwenye interviews zake.
Anaongea vitu vya kisomi ambavyo vinarelate na.muziki wa hip-hop, biashara ya muziki na show biz industry at large.
At least uwe kama Koffi Olomide. Usomi wa Koffi Olomide unaonekana kwenye ubora na umakini wa kazi zake.
Kama umechagua kuwa an entertainer then be an entertainer.
Mashabiki wa muziki hatutakujudge kama msomi wa Chuo Kikuu ambae anafanya muziki. Sisi tutakujudge kama mwanamuziki wa hip hop. So usituletee madesa kwenye hip-hop.
Msanii wa hip hop unatakiwa kuwa mtundu mtundu.
PhD vepee?Wakazi ni "Street Smart" na Exposure ya kutosha! Hivyo ndio muhimu kwenye Maisha. Vingine vyote ni Mbwembwe tuu.
Kikubwa kwenye Maisha ni akili ya kutengeneza Pesa na Cash Flow ya kila siku...kuna watu wana PHD wengi tuu na ni Broke.PhD vepee?