Nikki wa Pili jifunze jambo hili kwa Wakazi

Ukitaka kugombana na kasomi Ka Nikki wa pili we kaaambie kaandike maneno haya ; Vizuri,Dhamira, dhambi, mrembo, ruka, barabara.
 
Weus hip hop haon n kama ilienda na maji

stidy
Nako 2 Nako waliiweza hip hop,

Album yao nliisikiliza yote, ila hii vision ya Weusi aiseeh kwa sasa hawaonekani kabisa,, labda joh makini tu,, na G Nako,,

G Nako namkumbuka ile ngoma ya Dogo Hamidu - 26 number,, alitembea sijapata ona,, yule ndo G,
 
Nako 2 Nako waliiweza hip hop,

Album yao nliisikiliza yote, ila hii vision ya Weusi aiseeh kwa sasa hawaonekani kabisa,, labda joh makini tu,, na G Nako,,

G Nako namkumbuka ile ngoma ya Dogo Hamidu - 26 number,, alitembea sijapata ona,, yule ndo G,
Yah man..Verse ya mwisho kwenye NDIO ZETU ya N2N niggaz..noma sana
 
Sio Sawa but wote wapo ndani ya misingi. They both don't speak the " white men English "
Shida ya Nickson Makini ni kwamba maisha yake ya PhD ya darasani anayaleta mpaka kwenye maisha ya kawaida. Hapa ndipo shida inapoanzia, wewe unauizwa mpaka sasa muziki wa tz umepiga hatua gani katika katika kuleta mapinduzi ya muziki kwa ujumla wewe unaanza habari za akina Mandela, Cheguavara, Nk.
 
Shida yake pia huwaga ANAHISI hakuna aliyesoma zaidi yake
 
Point taken
 
Amekuwa DC.
 
Mwenzenu ameshalamba teuzi uko nyie endeleeni kupiga kelele
 
Kama unamleta Papa John kwenye Uzi wa Hip-hop[emoji16][emoji16][emoji16]we Nikki wa Pili nini? Maana Nikki wa Pili usipo mkatisha anaweza kukuletea hata nukuu ya Daniel Arap Moi wa Kenya au Mzee Warioba
Hatimaye Maza Hausi katambua nukuu zake na kumkabidhi kibaraza cha kunukuu ipasavyo
 
Kaula kaenda ushorobani.
Sasa tupumzike na vile vipost vyake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…