God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
prof j anaakili sana kama angelienda darasani angeliongoza maana nyimbo zake nyingi zina maudhui na zinafundisha sana sio kama hawa marapa wa sikuizi wanarap upuuzi tuu na mapenzi na wengine wanaimba kabisa rnb!Ndo hivyo
Sikiliza nyimbo kama ndio mzee,