Ulikula ukanawa na kufuta mdomo mkuu🤣🤣🤣🤣Hii addiction nilikuwa nayo mwaka 2011 wakati nikiwa new member mpaka 2015 hapo.
JF ilikua ya moto kweli mpaka tukaunda na magrp ya whatsapp enzi hizo members mwisho 56
Jamani acheni JF ina pis kali, tumekulana sana huko nje jf kipindi hicho😅😅😅
Kaka mkubwa, nasikia mlikua mnajipakulia minyama tu😁Ulikula ukanawa na kufuta mdomo mkuu🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlikua na raha sana zamani sasa ivi tunaogopa elfu tatu zetu kuliwa kizembe mkuu .
Wajanja walikuwa wanajipakulia, sie wakuja tulikula kwa macho mkuu🤣🤣Kaka mkubwa, nasikia mlikua mnajipakulia minyama tu😁
Hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umejiunga 2019 leo 2024 una post 3k tu halafu unasema upo addicted kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Watu walio addicted wamejiunga mwaka huu na tayari wana post 20k kuendelea. Kila uzi wanatembea nao. Kila ukifungua uzi unapata coment yake pale.
ni hatari...😂😂Ulikula ukanawa na kufuta mdomo mkuu🤣🤣🤣🤣
Si ni kweli lakini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha ubakhirii bhana, [emoji23][emoji23][emoji23]Si ni kweli lakini?
Mimi sio bahili sema nina buku mbili tu nikiwapa 1000 nusu ya uchumi wangu wanaona mimi bahihi.Acha ubakhirii bhana, [emoji23][emoji23][emoji23]
Madam ile avatar yako ya kila siku inanoga sana,,ikikupendeza naomba uirudishe,,,nawasilisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kilichobaki ni kupigwa ban tu au sioItoshe tu kesema JF ni bonge moja la platform kuwahi kutokea hapa nchini.
Ni chuo kikuu asee sema tu hakina lecture rooms na hostels
1.kununua na kuagizia bidhaa nje nimejifunza JF
2.Kutumia internet ya bure through vpn nimejifunza JF
3.Machimbo makali ya mitumba na bidhaa kibao mjini bongo nimewagundulia hapa.
4.Achana na apps kali za kudowlodia movie ,kucheki soka na 1Xbet kwa sisi wapiga ramli😂
5.Na kuna demu nimemla kimasihara sana mpaka sijaamin..
SHIKAMOO JF.
wengi wao ni introvertsSifa za watu wanaopenda huu mtandao ,ni watu wa kimya kwenye jamii wanaopenda kuzungumza kimoyo moyo.
Rudisha a avatar ile ile bhanaAcha ubakhirii bhana, [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo namba 2 nichane mkuu hata PM Mimi huwa nahangaika na instabridge eti. 🤣Itoshe tu kesema JF ni bonge moja la platform kuwahi kutokea hapa nchini.
Ni chuo kikuu asee sema tu hakina lecture rooms na hostels
1.kununua na kuagizia bidhaa nje nimejifunza JF
2.Kutumia internet ya bure through vpn nimejifunza JF
3.Machimbo makali ya mitumba na bidhaa kibao mjini bongo nimewagundulia hapa.
4.Achana na apps kali za kudowlodia movie ,kucheki soka na 1Xbet kwa sisi wapiga ramli😂
5.Na kuna demu nimemla kimasihara sana mpaka sijaamin..
SHIKAMOO JF.
[emoji23][emoji23][emoji23] umeeleweka!! Taarifa yako inafanyiwa kazi.Madam ile avatar yako ya kila siku inanoga sana,,ikikupendeza naomba uirudishe,,,nawasilisha
Your number?