Jamani acheni JF ina pis kali, tumekulana sana huko nje jf kipindi hichoπ π π
Hapo ulikuwa kijana shababi kabisa, stress sio kivile.....Maxence ni kama Bro, nilijiunga 2010 aisee halafu mambo ya Chadema ndio yalikuwa π₯ π₯ π₯ halafu ukiwa kwenye industry ya IT. Mambo mengi yalikuwa ni accessible sana
22 πππHapo ulikuwa kijana shababi kabisa, stress sio kivile.....
π π π ππ€£π€£π€£
Mkuu; hapo namba 2 nije PM unipe mwongozo? πItoshe tu kesema JF ni bonge moja la platform kuwahi kutokea hapa nchini.
Ni chuo kikuu asee sema tu hakina lecture rooms na hostels
1.kununua na kuagizia bidhaa nje nimejifunza JF
2.Kutumia internet ya bure through vpn nimejifunza JF
3.Machimbo makali ya mitumba na bidhaa kibao mjini bongo nimewagundulia hapa.
4.Achana na apps kali za kudowlodia movie ,kucheki soka na 1Xbet kwa sisi wapiga ramliπ
5.Na kuna demu nimemla kimasihara sana mpaka sijaamin..
SHIKAMOO JF.
Demu wako alikua nani kipindi hiko? Maana 2013-2018 Cc zilikua nyingi sanaπ π π π
Hii avatar huwa inachekesha mnooo
USIOE KAMA SIO BIKRAAisee humu JF Kuna nini.
Me ndo natumia muda wote Sina hiyo Facebook, Instagram, x n.k.
Muda mwingi Niko hapa kusogoa, kutaniana, kujifunza, kushare mengi
Naipenda JamiiForums mno
Kumbe bado kinda kabisaπ22 πππ
Unaijuaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lete lipa namba hiyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Humu? π π πDemu wako alikua nani kipindi hiko? Maana 2013-2018 Cc zilikua nyingi sana
Alaaa hebu nichane ukweli basi π€£π€£π€£ Kwahiyo nikucheki? π π πUnaijuaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wajuba mliteleza sana kipindi chenuHumu? π π π
Pisi moja amazing sana japo ilikuwa imenizidi miaka 3. Sitaki hata kuitaja na hata kuingia humu haingii tena
Watu wameua ID za zamani wamekuja upya, usipoangalia kama ni mtu wa totoz unarudia kutongoza mtu yule yule kwa ID nyingine.Humu? π π π
Pisi moja amazing sana japo ilikuwa imenizidi miaka 3. Sitaki hata kuitaja na hata kuingia humu haingii tena
Hapana aisee Mimi sio mtu wa totozi Mkuu. Mi ni Shehe bhanaWatu wameua ID za zamani wamekuja upya, usipoangalia kama ni mtu wa totoz unarudia kutongoza mtu yule yule kwa ID nyingine.
Kwahiyo hadi mimi nimerudi upya?Watu wameua ID za zamani wamekuja upya, usipoangalia kama ni mtu wa totoz unarudia kutongoza mtu yule yule kwa ID nyingine.
Hapo ni 70%-30%, yaani uwezekano wa wewe kurudi upya ni 70%π€£Kwahiyo hadi mimi nimerudi upya?
π π πIla wajuba mliteleza sana kipindi chenu
KweliSifa za watu wanaopenda huu mtandao ,ni watu wa kimya kwenye jamii wanaopenda kuzungumza kimoyo moyo.
Safari ya Beach π hutaki? π π πKwahiyo hadi mimi nimerudi upya?
Mimi siendiSafari ya Beach π hutaki? π π π
Wewe bado mgeni humu na ndio mara yako ya kwanza. Wala haujarudi upya