Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Jamani acheni JF ina pis kali, tumekulana sana huko nje jf kipindi hicho๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani acheni JF ina pis kali, tumekulana sana huko nje jf kipindi hicho๐ ๐ ๐
Hapo ulikuwa kijana shababi kabisa, stress sio kivile.....Maxence ni kama Bro, nilijiunga 2010 aisee halafu mambo ya Chadema ndio yalikuwa ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ halafu ukiwa kwenye industry ya IT. Mambo mengi yalikuwa ni accessible sana
22 ๐๐๐Hapo ulikuwa kijana shababi kabisa, stress sio kivile.....
๐ ๐ ๐ ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mkuu; hapo namba 2 nije PM unipe mwongozo? ๐Itoshe tu kesema JF ni bonge moja la platform kuwahi kutokea hapa nchini.
Ni chuo kikuu asee sema tu hakina lecture rooms na hostels
1.kununua na kuagizia bidhaa nje nimejifunza JF
2.Kutumia internet ya bure through vpn nimejifunza JF
3.Machimbo makali ya mitumba na bidhaa kibao mjini bongo nimewagundulia hapa.
4.Achana na apps kali za kudowlodia movie ,kucheki soka na 1Xbet kwa sisi wapiga ramli๐
5.Na kuna demu nimemla kimasihara sana mpaka sijaamin..
SHIKAMOO JF.
Demu wako alikua nani kipindi hiko? Maana 2013-2018 Cc zilikua nyingi sana๐ ๐ ๐ ๐
Hii avatar huwa inachekesha mnooo
USIOE KAMA SIO BIKRAAisee humu JF Kuna nini.
Me ndo natumia muda wote Sina hiyo Facebook, Instagram, x n.k.
Muda mwingi Niko hapa kusogoa, kutaniana, kujifunza, kushare mengi
Naipenda JamiiForums mno
Kumbe bado kinda kabisa๐22 ๐๐๐
Unaijuaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lete lipa namba hiyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Humu? ๐ ๐ ๐Demu wako alikua nani kipindi hiko? Maana 2013-2018 Cc zilikua nyingi sana
Alaaa hebu nichane ukweli basi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Kwahiyo nikucheki? ๐ ๐ ๐Unaijuaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wajuba mliteleza sana kipindi chenuHumu? ๐ ๐ ๐
Pisi moja amazing sana japo ilikuwa imenizidi miaka 3. Sitaki hata kuitaja na hata kuingia humu haingii tena
Watu wameua ID za zamani wamekuja upya, usipoangalia kama ni mtu wa totoz unarudia kutongoza mtu yule yule kwa ID nyingine.Humu? ๐ ๐ ๐
Pisi moja amazing sana japo ilikuwa imenizidi miaka 3. Sitaki hata kuitaja na hata kuingia humu haingii tena
Hapana aisee Mimi sio mtu wa totozi Mkuu. Mi ni Shehe bhanaWatu wameua ID za zamani wamekuja upya, usipoangalia kama ni mtu wa totoz unarudia kutongoza mtu yule yule kwa ID nyingine.
Kwahiyo hadi mimi nimerudi upya?Watu wameua ID za zamani wamekuja upya, usipoangalia kama ni mtu wa totoz unarudia kutongoza mtu yule yule kwa ID nyingine.
Hapo ni 70%-30%, yaani uwezekano wa wewe kurudi upya ni 70%๐คฃKwahiyo hadi mimi nimerudi upya?
๐ ๐ ๐Ila wajuba mliteleza sana kipindi chenu
KweliSifa za watu wanaopenda huu mtandao ,ni watu wa kimya kwenye jamii wanaopenda kuzungumza kimoyo moyo.
Safari ya Beach ๐ hutaki? ๐ ๐ ๐Kwahiyo hadi mimi nimerudi upya?
Mimi siendiSafari ya Beach ๐ hutaki? ๐ ๐ ๐
Wewe bado mgeni humu na ndio mara yako ya kwanza. Wala haujarudi upya