Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Aisee! Hivi ilikuwaje mpaka lile jukwaa likaondolewa?Jukwaa la Wakubwa hatari sana, Malaya wa Kimboka walikuwa wanapostiwa sana kule. Kuna Mdau jina limenitoka ndio lilikuwa jukwaa lake pendwa
Bhana Mlongo hata sahivi watu wana enjoy JF, kukulana watu wanakulana km kawaa,[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu we acha tu, na kipindi kile Jamiiforums ilikuwa ina operate virtually, na watu wengi walikuwa wanashusha nondo za nguvu zile quotes zako na reactions kwa Member ndio zilikuwa zinaleta ukaribu. Halafu watu wengi humu walikuwa wana misimamo kwenye hoja. Majukwaa yalikuwa yamegawanyika kabisa. Members fulani ni MMU, Members fulani ni Siasa, Members fulani walikuwa kwenye jukwaa la dini. Sio siku hizi uzi wa Siasa unaanzishwa hata kwenye jukwaa la Sports. Kuaminiana ndio kulikuwa kunaanzia hapo.
Mwemyewe 2010 nikiingia Google naona links za jf ila sikuona ya maana, huenda kipindi hicho ningefanya yangu balaa...π€£Najuta Sana kuchelewa kujiunga JF,kumbe ilikuwa Tami kiasi hicho?
Afu naskia pia palikuwepo na jukwaa la " wakubwa tu"π
Mimi nimepona huu ulevi wa jf.Aisee humu JF Kuna nini.
Me ndo natumia muda wote Sina hiyo Facebook, Instagram, x n.k.
Muda mwingi Niko hapa kusogoa, kutaniana, kujifunza, kushare mengi
Naipenda JamiiForums mno
Acha kunipiga fix,hilo jukwaa lilishafutwa muda mrefu Sana halipo kabisa.Mbona lipo had sahivi, sema nafas ya kuingia kulee ni taabu.
Wajanjaa tupo na tunasererekaa naloo, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ongea na wakubwaa vizurii, wee c unajibana banaa.[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Nafanyaje Mie?
Aisifuye mvua imemnyeaπ€£Bhana Mlongo hata sahivi watu wana enjoy JF, kukulana watu wanakulana km kawaa,
Jf ina wakaka wazurii bhanaa, wamenyooka vyediii!! [emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas, JLW lipooo.Acha kunipiga fix,hilo jukwaa lilishafutwa muda mrefu Sana halipo kabisa.
Au Basi nitumie screenshot ya like jukwaa nione
Dogo langu hujambo?π€£Mwemyewe 2010 nikiingia Google naona links za jf ila sikuona ya maana, huenda kipindi hicho ningefanya yangu balaa...π€£
Mlongo hunichani nikaelewa vizuri bhanaa π€£Bhana Mlongo hata sahivi watu wana enjoy JF, kukulana watu wanakulana km kawaa,
Jf ina wakaka wazurii bhanaa, wamenyooka vyediii!! [emoji91][emoji91][emoji91]
ππ Siku hizi JF imevamiwa na watoto wa Facebook Haina ladha Kama zamaniMwemyewe 2010 nikiingia Google naona links za jf ila sikuona ya maana, huenda kipindi hicho ningefanya yangu balaa...π€£
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala sio uongoo!!!Aisifuye mvua imemnyea[emoji1787]
Mkuu,Dogo langu hujambo?π€£
Tuma screenshot ya lile jukwaa nione acha porojo nyingi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas, JLW lipooo.
Ongea na watu vizuriii.
Zamani watu walikula wakanawa mikono na kujifuta kwa kitambaa laini bila watu kujua. Sijui nini kimekumba hii jamii ya sasa!!ππ Siku hizi JF imevamiwa na watoto wa Facebook Haina ladha Kama zamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongoo nawee unapitwajeee hivyooo? Sitaki kuaminiiii.Mlongo hunichani nikaelewa vizuri bhanaa [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ibakiii hivyoooo!!!Tuma screenshot ya lile jukwaa nione acha porojo nyingi mkuu
Nikucheki kule??? π π π π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongoo nawee unapitwajeee hivyooo? Sitaki kuaminiiii.
Apigwe au apigiwe?Makofi kwako.... π