Siasa na dini.We ulikua mtabe wa nn
Hilo jukwaa baba lilikuwa zito kinoma yani usimkumbushe Madame B anaweza kuandamana kudai uhuru wa JLW๐๐Najuta Sana kuchelewa kujiunga JF,kumbe ilikuwa Tami kiasi hicho?
Afu naskia pia palikuwepo na jukwaa la " wakubwa tu"๐
Jina lake ep.........nMkwe! Wewe hutaki mke
Taja herufi ya mwanzo mimi nitamjua nianze kazi chap december tule ubweche
Acha pombeJina lake ep.........n
Kwasasa mimi jf ni mgeni๐คฃMkuu,
Hivi umepotelea wapi mzee? Ujue naona like yako nikajiuliza hii muzee ilikuwa wapi?
MkweAcha pombe
Tayari haha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala sio uongoo!!!
Abee mkweMkwe
Apigiwe makofi asee kwa kuonesha hisia za kuipenda Jamii forum kutokana Moyoni.Apigwe au apigiwe?
Aaah mkuu,Kwasasa mimi jf ni mgeni๐คฃ
Haupo pekeako Kuna Muda wife huwa anakasirika sababu ya Mimi kutulia na kua busy busy na simu jamii forum..Aisee humu JF Kuna nini.
Me ndo natumia muda wote Sina hiyo Facebook, Instagram, x n.k.
Muda mwingi Niko hapa kusogoa, kutaniana, kujifunza, kushare mengi
Naipenda JamiiForums mno
True๐Sifa za watu wanaopenda huu mtandao ,ni watu wa kimya kwenye jamii wanaopenda kuzungumza kimoyo moyo.
4shuaTrue๐
Mkwe we wakiita nimeelewa?Abee mkwe